Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Inakera sana hiyo. Au ni ile misemo ya kiingereza inaletwa kwenye kiswahili kama ilivyo hivyo inakosa maana. Mfano msichana anamshauri mwenzie kuwa 'you should play hard to get' wenyewe wanatafsiri ' unatakiwa ucheze mgumu kupata'Mimi zilizofanyiwa dubbing naweza tazama lakini sio za akina DJ mack yani siwezi kabisa.
Movie zilizofanyiwa dubbing kuna vitu uwa wanabadilisha ili mtazamaji aelewi.
Mfano, mtu alisema chakula kitamu kama shushi, lakini mswahili hajui shushi ni chakula gani, so kwenye script wataibadili iwe chakula kitamu kama pilau au kiepe. Au nitakuwa mashuhuri zaidi ya Abdul Kabar, assume ni mtu mashuhuri huko lakini watz hawamjui, basi inakuwa nitakuwa mashuhuri zaidi ya diamond.