Ni vitu Gani huvipendi katika Movie zilizotafsiriwa kwa Kiswahili?

Ni vitu Gani huvipendi katika Movie zilizotafsiriwa kwa Kiswahili?

na wala siyo ujinga ,kuna wapenzi movie hata kama haelewi lugha utakuta anaangalia na anaelewa content ,movie nyingi tu za kifaransa na latino unaaangalia hata bila tafsiri,kwahiyo mjinga nini wewe
Kuangalia movie usioelewa lugha yake ni Upunguani, Utatoka na nini sasa kama lugha husika huielewi na unakaza fuvu hutaki zilizotafsiliewa si bora ukacheze game tu.
Kana vichwa vina funza kabisa unaanzaje kuangalia movie ya kifaransa,kikorea nk na hizo lugha huzijui tena zinatittle za kigiriki kabisa si kwamba utasoma.
Ni ulimbukeni na kuforce Ughaibu, Vuta chuma iliyotafsiliwa uangalie movie kwa raha sio kwa imagination kama unafunua albam ya Picha mnato(Photo)
 
Mm sipend maneno yao ya matusi tuuuuu...ohooo mara kulana mzigo.
 
Mimi natazama movie iliyotafsiriwa na DJ AFRO.
hatafsiri maneno ila anaeleezea matukio kwa uelewa wake in funny way.

Ila wabongo hapana aisee.
We ndo unajua maana ya "Sanaa ni burudani" siyo Makasiriko kama unaangalia Vita ya Kagera ujue Mapindi mengine hayanaga Mitihani kabisa unaangalia movie haijatafsiliwa na hiyo lugha hauko vizuri unatafuta nini sasa[emoji848]
 
Hakuna mwenye akili timamu akaangalia huo ujinga.

Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
Kwa siku hizi nimekua siyo mpenzi, filamu, ila miaka ya nyuma filamu akina Rambo, Komandoo kipensi, Delta force, Swazniger, Van Damme, Jack Chen, Arnold Schwarenegger, na Zingine nyingi za kipindi kile, Siku hizi sina muda wa kuangalia filamu kabisa.

Ila ndugu ya hizi filamu mengi tunayoangalia ni ya uongo, hivyo iwe inaiangalia kwa Lugha ya Kiswahili, ama Kiingereza, jua unaangalia uwongo mwingi kuliko ukweli, Hivyo kuona wenzio wajinga siyo sawa, wakati hata wewe unaangalia uongo huohuo.

Ila tambua hivi movie, tuna angalia kupunzisha akili kama sehemu ya burudani tu, ndiyo maana hata waliosoma kama nyie mnaangalia ingawa maudhui yake mengi ni ya Uwango.
 
Sijapata muda wa kuangalia muvi zilizotafsiriwa, Ila nikiwa nakatisha street ktk mishe zangu huwa navutiwa na sauti za ma Dj flan huwa wachekeshaji sana!
 
Wasengerema sana hawa jamaa tena km yule mjukuu.
Alice in borderland kaita Squid game season 2 kibaya zaidi Episode 1, yeye kaweka 4. Kila kipande kina dk 10 mitangazo mingi.
Episode 1 kiuhalisia ina dk 20-54 hivi ila yule mpuuzi kakata kaweka dk 10.
Huwa nadownload tu, maana episode moja huwa mpk ina 79mb mpk 80mb kwa baadhi ya website
Ukitaka kujua level yakko ya ujinga imefikia kiwango gani anza kuangalia huo upuuzi

Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
 
Huyu msengerema yaani episode moja yeye anatoa 4. Mnaoangalia hizi series za kutafsriwa mna kazi sana. Episode 1 ina dk 10?
Baada ya bando kupanda, nikasema ngoja nikarushe nilichokutana nacho bora niendelee kudownload tu.
Mimi namkubali Dj mjukuu mwana mbambadu japo anauongo mwingi lakini ananogesha muvi kea stori na maneno yako na amefanya niacha hata kuangalia za Subtitle coz hakuna madoido.
 
Habari ,Binafsi sio mpenzi za sana wa hizi movie zilizo tafsiriwa ila kuna kitu kimoja nlikiona siku moja nlipoangalia movie moja ya lugha ya kiingereza ni kwamba Tafsiri haiendani na kinachongelwa nilikereka sana .​

We je vitu gani huvipendi ? Ingawa kuna Madj wako poa
Kuna limovie limoja la kiganda niliona jamaa wanaangalia......cha kushangaza dj anatafsiri kwa kiganda pia
Nilichoka sana😳😒🤣
 
Kuangalia movie usioelewa lugha yake ni Upunguani, Utatoka na nini sasa kama lugha husika huielewi na unakaza fuvu hutaki zilizotafsiliewa si bora ukacheze game tu.
Kana vichwa vina funza kabisa unaanzaje kuangalia movie ya kifaransa,kikorea nk na hizo lugha huzijui tena zinatittle za kigiriki kabisa si kwamba utasoma.
Ni ulimbukeni na kuforce Ughaibu, Vuta chuma iliyotafsiliwa uangalie movie kwa raha sio kwa imagination kama unafunua albam ya Picha mnato(Photo)
Naona dj umeamua uingie mzimamzima sababu kitumbua chatiwa mchanga. Dj wa kiswahili ni Afro tu.

1. Anaielewa movie mwanzo mwisho kabla hajaipeleka kwenye hadhira.

2. Ana maneno ya kutia vionjo lakini hakutoi kwenye maudhui ya movie

3. Kiswahili anachotumia kinavutia (lafudhi ya kikenya)

4. Huwapa wahusika majin ya kuchekesha ili mtazamaji asiboeke.

Madj wa bongo hamna kitu
 
Back
Top Bottom