Ni vitu Gani huvipendi katika Movie zilizotafsiriwa kwa Kiswahili?

Ni vitu Gani huvipendi katika Movie zilizotafsiriwa kwa Kiswahili?

Zile quality zao hahahaa sijui kwann zinqkuq mbaya

Movie za kutafsiriwa unaanzia wapi kusinzia mfano, hizo sauti zinavyoumiza na kudisturb masikio[emoji1787][emoji1787]
Ni kuenjoy mwanzo mwenga
Sauti zao zinakuwa za chini halafu original voices zinakuwa juu kiasi kwamba wakianza kupigana ndani tafrani
 
Acheche🤣🤣 jina linachekesha

Nilikua naangalia zile za Rufufu Mukandala, jaman alikua ni anatafsiri uongooo ila ndio movie zinanoga hatari😂😂
Daa RIP 😂😂😂
 
Lufufu nae dj jaman[emoji16]
Bora niwe nasoma tittle pale chini afu nastopisha nafunua dictionary ya E-S mpaka namaliza Movie
Watching subtitles is very addictive ukizoea kuangalia movie za Kora, India or China halafu ukawekewa hata movie ya kudhungu unaweza jikuta unaenda download suntitles.
 
Mi kuna siku nilichoka zaidi kwenye ile Tamthilia ya Kesari ya Azam yule anayetafsiri si akachomekea neno Royal Tour. [emoji28][emoji28]

Ikabidi nicheke tu sababu ule ni uongo uliokithiri.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuingizia vimisemo naona poa tu vinanogesha mfano niliona siku moja tamthilia ya kihindi mdada amepigiwa simu 'haloo mpenzi wangu' mdada akajibu 'mpenzi wangu hiyo kwio'[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Watching subtitles is very addictive ukizoea kuangalia movie za Kora, India or China halafu ukawekewa hata movie ya kudhungu unaweza jikuta unaenda download suntitles.
Yaani acha tu
 
Yaani acha tu
Dearest cha ajabu za kichina, kihindi na kikorea zinaangalika kwa subtitles; lakini ukiwekewa movie za France, Germany etc unaona kero kuangalia na subtilers 😬unaona kama hazielewek vile
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuingizia vimisemo naona poa tu vinanogesha mfano niliona siku moja tamthilia ya kihindi mdada amepigiwa simu 'haloo mpenzi wangu' mdada akajibu 'mpenzi wangu hiyo kwio'[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂
 
Dearest cha ajabu za kichina, kihindi na kikorea zinaangalika kwa subtitles; lakini ukiwekewa movie za France, Germany etc unaona kero kuangalia na subtilers [emoji51]unaona kama hazielewek vile
Nadhani mazoea tu, bora niangalie za kizungu sio nione ya kikorea iko dubbed [emoji16][emoji16] hunitazamishi hata kwa fimbo
 
Dearest cha ajabu za kichina, kihindi na kikorea zinaangalika kwa subtitles; lakini ukiwekewa movie za France, Germany etc unaona kero kuangalia na subtilers 😬unaona kama hazielewek vile
Mi bora nimtafute DJ murphy tu hahahaa subtitles naangalia picha naona zinanipita
 
Tv show yangu ya kwanza na ya mwisho kuangalia ilikuwa ni prison break season 1[DJ Murphy] mwaka 2015 na muvi ilikuwa Fast and furious 4 mwaka 2015[DJ mark] baada ya hapo niliacha na niliona niujinga kwasababu mbili

1. Ubora wa muvi ni mbovu kwa watu tuliozea kuangalia quality ya 1080.

2.Lugha ilikuwa inawapiga chenga.
 
Kuna wale ukigusa tu kumzunguzia JUMONG wanajua mpaka babu yake mzaa mama
[emoji51] [emoji1787] omba wasikusikie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wale rafiki zangu mbona na wanaelewa hili, mimi mambo yangu subtitles yaani nataka nikisikie kikorea chenyewe sio kizungu ambacho najua hawajaongea wao
 
Back
Top Bottom