Ni vituko gani ulishawahi kufanyiwa na mwenye nyumba wako hadi ukatamani uhame uache Kodi?

Ni vituko gani ulishawahi kufanyiwa na mwenye nyumba wako hadi ukatamani uhame uache Kodi?

Hii nadhani ni njia napaswa kuifuata, kuna demu kapanga kwangu ila pesa analipiwa na sponsor, sasa huyu kwenye bill ya maji halipi kabisa, nikimforwadia msg unit tumitumia hizi mimi nalipa 80% wewe malizia basi hapo zitakuja hata bill 3 hajalipa, ni mtihani kwakweli.

Kwahiyo hapa msiwashitumu wenye nyumba hata wapangaji wengine ni vichomi tu.

Nadhani biashara sahihi ya nyumba wakae wapangaji tupu na mwenye nyumba ukae kwenye nyumba yako peke yako unakusanya kodi tu, asiyelipa maji wacha akatiwe tu na usiponunuwa luku utalala mwenyewe gizani.
Kipengele cha maji kama bomba lipo kodi inabidi iinclude estimate flani ya maji hapo hapo
 
Kuna mzee mmoja wa kizaramu nilipanga kwake, Akiwa hana hela ya pombe anakuja kunisumbua alafu kibabe mara niwe nawai kurudi mara, oohh sitaki wauni kwangu mara sitaki kuona mwanamke kwangu. kuna siku alikamatwa na polisi kwenye ubanda wa gongo alikaa siku tatu kituoni Alivyo toka akaja kunizingua kwa nini sijaenda kumuangalia
kituoni. akarusha Kofi Nika kwepa Aisee nilimpa kichapo mpaka niliua. Kesi ilinisumbua Ila nashukuru imeisha vizuri.
Chai
 
Nilipanga nyumba Kinondoni, ina parking nzuri kabisa. Nolipohamia, na kuleta gari yangu, mama mwenye nyumba akaniambia gari yangu inatetemesha nyumba yake itavunjika, niwe na park CCM
Ungepeleka gereji mchangani tu.
Ukienda kupaki huku huna nyumba we vp..
Pale migo shemeji kaja na Volkswagen kaiacha nje kaenda kula mbususu.
Asubuhi anaenda kakuta watu wa kazi wamelamba kila kitu,wakaacha body tu.
Karudi anapiga makelele nimeibiwa nimeibiwa.
 
Kuna nyumba ya kwanza kupanga nilitamani niwahi kujenga coz ndio nimetoka home nakutana na visa nikaona labda nyumba za kupanga zote zipo hivyo.

Kwanza picha linaanza mzee mwenye nyumba kila mwezi anakuja kukagua nyumba anaingia hadi chumbani anakagua kama umetoboa ukuta ni kesi ilikuwa inanikela sana.

Cha pili mimi kazi zangu zilikuwa za kusafili naweza kusafili hata siku mbili sasa kwa usalama nilikuwa naacha taa ya nje inawaka ila nikitoka tu anakuja anafungua taa anaitoa panakua giza nikirudi nakuta taa haipo sasa siku ya kwanza nikajua labda taa wezi wameiba nashaangaa kesho yake nakutana nae ananiuliza umesharudi njoo uchukue taa yako nikamuuliza vipi mzee mbona unatoa taa yangu ananiambia eti taa unaposafiri unaicha wazi inatumalizia umeme wakati pesa ya umeme natoa hata nikiwa nimesafiri umeme ukiisha ananipigia simu kutaka nilipie umeme.
Nilimjibu tu nikiibiwa hapa basi chanzo ni wewe coz taa ndio ulinzi wangu pakiwa giza watu wanajua hakuna mtu hivyo ni rahisi kuibiwa

Swala jingine kama umeacha mlango wazi mzee alikuwa anaingia tu bila hodi ukimuuliza vipi mbona unaingia bila hodi anasema hii ni nyumba yangu.
Unajua gharama niliyotumia kujenga hii nyumba?
ila hakuacha hizo tabia ikabidi nihame tu
Kituko ni mwenye nyumba kuniachia mke wake nilale nae
 
Tulipanga nyumba aiseee naisifu ile nyumba usalama wake ni 102%. Ila kwa kuwa nikitoka ni mishe mishe kwahiyo mtaani sikai sana na wana kupiga stories.

Siku nimenda kunyoa saloon ndio kuna mshkaji akaniambia ww ile nyumba umeipendea nini huoni watu wengi wakija pale hawachui muda wanahama.?

Nikavuta picha kuna wanafunzi wa duce walipanga wakahama. Ila sie tupo tu kama nyumba yetu vile.

Jamaa akawa anasema ile nyumba sio poa.Dah nikaanza kuwauliza madogo mbona nasikia fununu kuhusu hii nyumba na wale na wao wakaanza kufunguka kuwa kuna mchizi chumba cha mwisho alistuka usiku anakuta baba mwnye nyumba Kamkalia kama dog style anataka kummaliza dah.
Jamaa kastuka wakagombana kinoma ikawa msalama ,jamaaa akahama pale .hii cenario ilinistua sana nikasema isije ikawa ndio michezo yake huyu mzee wa chochote kitu.

Nikajaribu kuwauliza wapangaji wengine na wao waliohama ila hawakunipa ushirikiano basi kodi ilipoisha tukahama maeneo sio mbali sana na pale.

Ila huyu mwenye nyumba ilikuwa mara nyingi sana lazima utakutana nae usiku wakati unatoka chooni

Kama usiku mzima anatembea.na hana mke chumba chake hata watoto hawaiingiii ni marufuku
 
Nikiwa chuo mwaka wa tatu nilipangisha sehemu nzuri tu enzi hizo nyota imekubali vijisenti nnavyo, nkaanza kumla mtoto wa mama mwenye nyumba, shida nilikuwa napiga mzigo bila huruma. Mama mwenye nyumba akanipenda na kunipa pia kinapiga. Nlipokuja kugundua ni mtu na mwanae nilihama kimya jumapili usiku hata kodi ya miezi mitatu sikuitisha.
😂😂😂🤲
 
Kuna mzee mmoja wa kizaramu nilipanga kwake, Akiwa hana hela ya pombe anakuja kunisumbua alafu kibabe mara niwe nawai kurudi mara, oohh sitaki wauni kwangu mara sitaki kuona mwanamke kwangu. kuna siku alikamatwa na polisi kwenye ubanda wa gongo alikaa siku tatu kituoni Alivyo toka akaja kunizingua kwa nini sijaenda kumuangalia
kituoni. akarusha Kofi Nika kwepa Aisee nilimpa kichapo mpaka niliua. Kesi ilinisumbua Ila nashukuru imeisha vizuri.
Chai
 
Mwenye nyumba hataki niskilize mzk anadai namuharibia nyumba kwan mzk unadunda sn kwahiyo utalegeza misumari ya bati, pili wakati wa masika chooni mafunza yanatoka unakuta choo kmetapakaa funza ukmwambia ananuna.
 
Wenye nyumba wengi wachawi sana!! Kuna siku nimetoka kuoga nikawa napaka mafuta, ghafla nikaona mlango unafunguka wenyewe na nilifunga na funguo.!! Nikatulia nione nani anaingia, holaa hakuna mtu.
Siku nyingine nimelala nimevaa kipensi na tshirt, asubuhi nimejikuta niko kichele 🤣🤣🤣
Nikajua labda itakuwa nimejimix nikaanza kuitafuta ile pensi sijaiona, baada ya siku tatu naona mtoto wa mwenye nyumba ananiletea eti alianua kwenye kamba na nguo zao.!! Nikamwambia hiyo nguo una uhakika umeianua kwenye kamba?? Nikaona anaona km aibu, baada ya siku kadhaa akanisimulia story nzito.
Siku nyingine nimerudi nimechoka nimekaa naangalia tv, naona mkono wa skeleton unanifanyia massage dadeq 🤣🤣🤣🤣

Mwisho nilimtolea uvivu mwenye nyumba akanipa notisi.!! Ila baada ya kuomba mzigo nikamwambia ntamwambia mkeo.
Punguza fix........😅
 
Back
Top Bottom