KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
umejuaje kama ni raha?
Hata ma chimp pia, tena nimeambhwa wao huwa wanahonga pia
Bata dume likimaliza huwa linashangilia.
Yes hiyo ni kweli hata mi nilishaisikia long ago, although nguruwe anakaa kwenye orgasm for 30 mins
Most animals will only have sex "mate" during certain times of the year. When the female is in season and the usual out come is offspring.
Dolphins mate all year round at any time and not just to reproduce, so the deduction would be that this is done for fun.
The same way we know that apart for humans and apes dolphins and elephants are the only species that recognise themselves in a mirror.
Also apart from humans and their distant cousins,dolphins and elephants are the only animals that have their breasts between their front legs.
Fun Trivia Quizzes - World's Largest Trivia and Quiz Site!
Hiyo mpya, tena kali, haya tena...Si kweli kwamba ni binadamu na Dolphins tu ndio wanafanya 'sex' for fun...Masokwe aina ya Bonobo wa misitu ya Congo hutumia sex kama njia mojawapo ya kubond kifamilia na between families, ni moja kati ya wanyama ambao wanafanya sex mara nyingi sana kwa siku duniani. Nguruwe hufanya sex kwa starehe pia, hata ukiweka madume watupu wa Nguruwe basi watageuzana (lawitiana) kwa zamu...Nguruwe na Sokwe Bonobo ni kati ya wanyama ambao wameonyesha mahusiano ya jinsia moja (homosexual) kwa madume.
Jogoo kazidi Mkuu ..yupo radhi asile ili ahonge ...Kuhonga hata jogoo anahonga mkuu
Kwanini hujamuuliza huyo alokwambia ili utupe shule?Katika mazungumzo yangu ya kawaida tu,nimekutana na prof wa biology,katika kuongea hapa na pale akanieleza unajua katika viumbe vyote vilivyopo duniani hapa ni BINADAMU NA DOLPHIN tu ndio huwa wanaigeuza purposely ngono kuwa starehe,viumbe vingine vyote ni purposely for reproduction!!!!Sasa kuna ukweli katika hili?na kama kuna ukweli ni kwa nini viumbe hivi vilifikia huko kuifanya starehe na reproduction kutokea ndani ya starehe na si vingine vinavyokutana purposely for reproduction?
Wewe mbwa wanapandana wakati wa kuzaa tu.. ndo maana majira yakifika kwa jike kunajaa madume kibaoThat is not true. Just think of how dogs and goats to mention but a few nuggingly run after a female colleague on heat.
Nguruwe wanafaidi sanaaaaaa......Yes hiyo ni kweli hata mi nilishaisikia long ago, although nguruwe anakaa kwenye orgasm for 30 mins
Nakubaliana na wewe 100%, huwa nafatilia sana wildlife, nyani hasa Sokwe hufanya mapenzi kwa starehe, na wanakatika kweli kweli.Yuko sahihi japo watu wa wildlife wanasema na nyani pia. Mbwa ni for reproduction only, na ndio maana hapandwi akiwa hayuko kwenye heat, mbuzi halikadhali.