Ni viumbe 2 tu wanafanya ngono mojawapo ya starehe duniani

Ina maana jogoo anavyomkimbiza kuku jike mtaa mzima....ni kwa ajili ya kuzaliana tu....
Mimi nakataa
Lazima kuna kitu kinamnyevua tu na sio kingine bali ni genye.....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mbona nyani dume hupiga punyeto? kwani punyeto lengo ni kuzaliana? Ishu ni kwamba viumbe vingine havina utashi wa kuvutiana nyege, hivyo husuburi majike wawe on-heat ili wapate raha. Ingekuwa ishu ni kutimiza wajibu wa kuzaliana basi madume ya ng'ombe, mbwa, majogoo wasinge pigana kisa majike. Mwisho wa siku wote wanapata starehe.
 

Hii mpya kwangu, asante mkuu
 
Hiyo mpya, tena kali, haya tena...
 
Nimepata darsa kubwa. Ila kwa Binadamu wa kike akiwa kwny Ovulation huwa na Nyege sana ndio sababu naamini Mtu yoyote anaedai kubakwa na kusababishwa Mimba hata nae alikuwa na Nyege nyingi na za kutosha hivyo Zoezi la Ubakaji huwa na idhini kwa kiwango fulani.
 
Kwanini hujamuuliza huyo alokwambia ili utupe shule?
 
That is not true. Just think of how dogs and goats to mention but a few nuggingly run after a female colleague on heat.
Wewe mbwa wanapandana wakati wa kuzaa tu.. ndo maana majira yakifika kwa jike kunajaa madume kibao
 
Nilikua najua ni binaadamu tu lakini dolphin sijasikia
 
Yani c kwamba viumbe hivi vingine havipati utamu, la hasha.. bali haviwezi kupandana bila ya jike kuwa kwenye hedhi..
binadamu na dolphin wanapanda anytime.. ngombe akinusa akiona mzigo haupo siku zake basi hapigi hata awe na migenye kiasi gani
 
kuna mnyama anaitwa kicheche naskia anasex kwa kupata raha na anafanya mara nyingi
 
Yuko sahihi japo watu wa wildlife wanasema na nyani pia. Mbwa ni for reproduction only, na ndio maana hapandwi akiwa hayuko kwenye heat, mbuzi halikadhali.
Nakubaliana na wewe 100%, huwa nafatilia sana wildlife, nyani hasa Sokwe hufanya mapenzi kwa starehe, na wanakatika kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…