EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Anauliza the obvious question 😂😂😂😂Kufanya hivyo ni sawa na kuuza ramani ya vita kwa Adui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anauliza the obvious question 😂😂😂😂Kufanya hivyo ni sawa na kuuza ramani ya vita kwa Adui.
Japo sio wote ila dodoma wengi wa sistimuDom ina mikwara balaa bora tulivokuwa Dar hasa ukute mta yupo MTUMBA/CHAMWINO ndio wanakuaga USALAMA 🤣🤣🤣🤣
Never!Ni vizuri kumwambia mkeo kiwacho Cha pesa unacholipwa kazini?
Mzazi na HESLB tu.Huko kwenye ndoa stress hua mnazitafuta wenyewe, kias unacholipwa anaestahili kujua ni aliekusomesha tu
Watu wa Dodoma wote si wanajulikana Tiharahei kama walipa kodi. PAYE”Watakubali sasa wanajifanya waajiriwa😂😂😂
😂😂 na kuna ambao hata hao waliowasomesha hawajui watoto zao wanalipwaje.Huko kwenye ndoa stress hua mnazitafuta wenyewe, kias unacholipwa anaestahili kujua ni aliekusomesha tu
Wadom dada ni maafisa Usalama 😂😂😂😂🤣🤣🤣hasa wa Mtumba/ChamwinoWatu wa Dodoma wote si wanajulikana Tiharahei kama walipa kodi. PAYE”
Ndiyo..Ni vizuri kumwambia mkeo kiwacho Cha pesa unacholipwa kazini?
Kama yeye amekwambia kiasi anacholipwa yeye, basi si vibaya na wewe kumwambia. Ila kama hajakwambia......sijui itakuwa unawashwa na nini mpaka umwambie.Ni vizuri kumwambia mkeo kiwacho Cha pesa unacholipwa kazini?
Maana yake hapo kama unamla mara 2 (X 2) kwa mwezi - utenge bajeti ya Tshs. 300,000.Ni sawa umuambie Kwa sababu asije akawa na expectations kubwa kumbe unalipwa laki 7.
Ukimwambia mshahara ishini within the salary.Mimi mama yenu anajua mshahara wangu,anajua pin ya ATM card me mwenyewe siijui.
changamoto ni hapo ukitaka Hela ya kuhonga huna ujajanja mpaka ukamuone Mkeo.
Kitu kizuri kuhonga huwezi kuhonga maana pesa zinajulikana na Mkeo.
Nawaambia ngono inamaliza zana pesa.Lodge 30k tena ya kawaida binti atataka kusuka 30k msuko wa kawaida,vinywaji kama anakunywa savanna 5 ni 25k,chakula 15k,mkimaliza mpe nauli 50k .
Angalia hiyo garama yoote ya Nini?kama muhasibu ni mke je unazitoaje kutoka Kwa danga kwenda kwake?
Naomba mtafakari vizur na muwe na akili.