Ni vizuri kumwambia mkeo kiwacho Cha pesa unacholipwa kazini?

Ni vizuri kumwambia mkeo kiwacho Cha pesa unacholipwa kazini?

Pesa inabaki salama na ni njia rahisi na nzr ya kujenga uchumi na maendeleo katika familia,... Matumizi sahihi na yenye tija lazima yawe na msimamizi mkaguzi wa mahesabu, atayeweza kukuhoji namna ya matumizi yako sahihi uliyoyafanya. Kumwambia kiasi unachopata si kumkabidhi awe nacho, lah!.. Ukiwa nacho kwa siri kinakupa room ya kukifanyia matumizi ya hovyo, kama kuhonga, kunywea kupita kiasi nk. NI SAHIHI NA VEMA KUMWAMBIA kwa nia njema ya kujenga uchumi na maendeleo ya familia, mimi imenisaidia saaana!
Hahahahah akili ya unayemwambia sasa ikoje. Maana wengine ukimwambia basi ndio inakuwa sababu ya ku misuse. Ukikoroma unaambiwa kwani million 2 yote inafanya nini.
 
Tatizo letu ni kuigana. Ndugu zangu hakuna formula ya kuendesha familia hako kwa sababu binadamu tunatifautiana. Kila mtu ifaavyo kwa familia yake
 
Back
Top Bottom