Ni vizuri mtoto kumkataa baba yake mzazi kutokana na matendo yake?

Ni vizuri mtoto kumkataa baba yake mzazi kutokana na matendo yake?

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Japo imeandikwa kuwa kila binadamu ana mapungufu yake
Ila mapungufu hayo yakizidi ayo tunaita makusudu.

Let me go straight to the topic
Ilikuwa mwaka 2010 baba alimuacha mama na kwenda kuishi na mwanamke mwingine alituacha sisi tukiwa bado watoto wadogo.

Mimi ndo first born katika familia yenu na kipindi icho nilikuwa na miaka 13 tu baba akaamua kuachana na mama na kwenda kuishi na mwanamke mwingine uko.

Mama akaendelea kutulea
Miaka ikaendelea kusonga kwa bahati mbaya na nzuri baba akaachana na Yule mwanamke akafukuzwa kabisa na Yule mwanamke.

Akawa anatangatanga usiku na mchana kulala nje maana alikuwa Hana Tena sehemu ya kuishi.

Sisi kama watoto wake tukaona hii haiwezi kuwa vizuri kumuacha baba yetu ateseke na tukiwa bado tupo Hai mimi na mdogo wangu tukamtafutia sehemu ya kuishi tukawa tunamlipia kodi ya nyumba.

Toka apate hiyo nyumba matukio yanatokea kila siku mara ashikwe na wake wawatu
Magomvi na majirani zake
Ila cha ajabu na cha kushangaza.

Mke wangu ana mdogo wake wakike kana miaka 18 tu anafikaka home kuja kumuangalia Dada yake na mara nyingine anatukuta na baba tunapiga mastory

Leo kamekuja kunionyesha sms za mzee wangu aki mtongoza kwenye simu.

Mpaka Sasa nashindwa na lakusema sijui ni decide kitu gani
 
Japo imeandikwa kuwa kila binadamu ana mapungufu yake
Ila mapungufu hayo yakizidi ayo tunaita makusudu.

Let me go straight to the topic
Ilikuwa mwaka 2010 baba alimuacha mama na kwenda kuishi na mwanamke mwingine alituacha sisi tukiwa bado watoto wadongo.

Mimi ndo first born katika familia yenu na kipindi icho nilikuwa na miaka 13 tu baba akaamua kuachana na mama na kwenda kuishi na mwanamke mwingine uko.

Mama akaendelea kutulea
Miaka ikaendelea kusonga kwa bahati mbaya na nzuri baba akaachana na Yule mwanamke akafukuzwa kabisa na Yule mwanamke.

Akawa anatangatanga usiku na mchana kulala nje maana alikuwa Hana Tena sehemu ya kuishi.

Sisi kama watoto wake tukaona hii haiwezi kuwa vizuri kumuacha baba yetu ateseke na tukiwa bado tupo Hai mimi na mdogo wangu tukamtafutia sehemu ya kuishi tukawa tunamlipia kodi ya nyumba.

Toka apate hiyo nyumba matukio yanatokea kila siku mara ashikwe na wake wawatu
Magomvi na majirani zake
Ila cha ajabu na cha kushangaza.

Mke wangu ana mdogo wake wakike kana miaka 18 tu anafikaka home kuja kumuangalia Dada yake na mara nyingine anatukuta na baba tunapiga mastory
Leo kamekuja kunionyesha sms za mzee wangu aki mtongoza kwenye simu.

Mpaka Sasa nashindwa na lakusema sijui ni decide kitu gani
Baba yako ni kichaa, mpeleke Hospitali
 
Mtaftieeni mishe kama bado nguvu zipo acheni kumuhudumia uyo ni sikio la kufa
Huyu inaonekana hasaidiki, unajua mtu wa ovyo akizeeka anakuwa mzee wa ovyo.

Ajiweke mbali nae, mpaka akihitaji msaada wake. Kuna wazazi ni narcissists, wabinafsi hawajali mtu mwingine isipokuwa wenyewe. Ni kujitenga mbali, saidia kwa mbali, saa nyingine ikibidi punguza sana mawasiliano isipokuwa habari muhimu. Atampa stress kijana wa watu, hashindwi kutongoza mkwe wake au kubaka wajukuu zake
 
Huyu inaonekana hasaidiki, unajua mtu wa ovyo akizeeka anakuwa mzee wa ovyo.

Ajiweke mbali nae, mpaka akihitaji msaada wake. Kuna wazazi ni narcissists, wabinafsi hawajali mtu mwingine isipokuwa wenyewe. Ni kujitenga mbali, saidia kwa mbali, saa nyingine ikibidi punguza sana mawasiliano isipokuwa habari muhimu. Atampa stress kijana wa watu, hashindwi kutongoza mkwe wake au kubaka wajukuu zake
Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom