Ni vizuri mtoto kumkataa baba yake mzazi kutokana na matendo yake?

πŸ˜‚ anataka akalime kukuza uchumi wa nchi.

Equation x Ndio anaifaidi Fake ID, mara ni mzee, mara ni kijana, mara kamgeukia Mungu, hujakaa sawa mbio mbio na mashangazi na bia πŸ˜‚
Nikiona mada zake huwa nacheka kabla hata ya kuzisoma.
Na hanaga makasiriko hata atukanwe vipi wala hajali.
 
Mtafutieni kazi za kufanya
 
Sio vizuri mtoto kumkataa mzazi hata kama ana tabia mbaya kwani hakuna mbadala wa mzazi,maana mzazi wako atabaki kuwa huyo huyo siku zote na haitabadilika kamwe

KUMBUKA:Undugu ni kama kovu halifutiki kwa sabuni.
ova
 
Sio vizuri mtoto kumkataa mzazi hata kama ana tabia mbaya kwani hakuna mbadala wa mzazi,maana mzazi wako atabaki kuwa huyo huyo siku zote na haitabadilika kamwe

KUMBUKA:Undugu ni kama kovu halifutiki kwa sabuni.
ova
Vipi kama alikukataa akiwa na nguvu,ila baada ya kuishiwa nguvu na pesa ndo akukumbuke?
 
M
Mtu kama huyo mkatae Dunia imuadhibu anaweza pata akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…