Pre GE2025 Ni wajinga pekee ndiyo watazisifia drama za Makonda

Pre GE2025 Ni wajinga pekee ndiyo watazisifia drama za Makonda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hiyo mikutano ya hadhara si ndiyo watu walikuwa wanaililia miaka iliyopita au shida kafanya Makonda?

Hao wengine waliozurura nchi nzima wana mamlaka gani au unadhani chopa haina bajeti?

Hayo ndiyo matumizi ya ruzuku kwa vyama vya siasa!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".

Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.

Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".

Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.

Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Wivu. Kijana kawashika pabaya saanaaaaaaa hadi pumzi imewakata.
 
Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe alipozurura na chopa kanda yote ya ziwa kabla ya kuvurugwa na uteuzi wa Makonda alitatua Kero gani .....Ila chini ya mwamba tuvushe ni weupe Sana aisee
 
Wewe usiye mjinga wala kuwa na drama, ebu tuambie umewafanyia nini wananchi wa Tanzania? Ni wananchi wangapi uliowadondoshea angalau hilo tone la maji?
Tumia Akili kujenga hoja, kwa madaraka yapi na fedha ipi ya walipa kodi uliyompa ili awafanyie wananchi hicho unachokihoji? Watu wanajadili fedha ya wananchi anayoitumia Makonda kufanya drama tofauti kabisa na mipaka ya wajibu wake.
 
waerevu wamezidiwa mambo mengi sana na huyu mjamaa,
na wanaumia kweli kweli [emoji1787]kijana akichanja mbuga,

na kwa ubunifu wa kiwango cha juu sana zaid yao, kijana amekua
akitatua kero za wananchi, akiagiza utekelezaji na ukamilishwaji wa miradi iliyosimama, akihoji na kuonyesha njia ya kutatua changamoto mbalimbali za kisekta maeneo mbalimbali nchini na hili linawakera zaid waerevu dah [emoji205]

kama una gubu huwezi mpenda mtu wa aina hii hata kidogo [emoji851]
Drama na kiki zisizo na tija, Ni kero zipi anazowatatulia wananchi kwenye hii zungukazunguka yake?
 
Drama na kiki zisizo na tija, Ni kero zipi anazowatatulia wananchi kwenye hii zungukazunguka yake?
with negative mindset,
your are completely and totally blind politically speaking 🐒

never ever!
huwezi ona au kuelewa chochote with negativity 🐒 huwezi!!! na haiwezikani mpaka utakapopona hiyo homa mbaya sana ya negative mindset disorder.

Na sio kwa huyu mjamaa tu , hata kwa mambo mengine with negativity huwezi move on

ni mbaya sana aise
 
Makonda ndiyo mdomo na macho ya chama ni halali kwake kupita mitaani kuona ilani inatekelezwa?, na wananchi wanauonaje utekelezaji wa serekali yao,ikiwamo kuhoji pale palipokwama alimradi watanzania kero zao zinaondoka,kwa utaratibu wa Makonda The failure ministries must cry-out .
Aliyekuzaa kalamba garasha, ila ni maoni yangu mimi kama mimi yanaweza kuwa siyo sahihi kwa watu dizain ya Bashite
 
waerevu wamezidiwa mambo mengi sana na huyu mjamaa,
na wanaumia kweli kweli [emoji1787]kijana akichanja mbuga,

na kwa ubunifu wa kiwango cha juu sana zaid yao, kijana amekua
akitatua kero za wananchi, akiagiza utekelezaji na ukamilishwaji wa miradi iliyosimama, akihoji na kuonyesha njia ya kutatua changamoto mbalimbali za kisekta maeneo mbalimbali nchini na hili linawakera zaid waerevu dah [emoji205]

kama una gubu huwezi mpenda mtu wa aina hii hata kidogo [emoji851]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
So mkuu na wewe ni Bashite gang
 
Hao wanaomwona kuwa ni jembe ndio ninaowaita wapumbavu
Mpumbavu ni yule ambaye hajui na hajijui kuwa hajui,ambaye ni wewe,chuki imeharibu uoni wako,makonda acha apige kazi,wewe kwa ufinyu wa fikra zako,endelea kuona ni drama,na wewe uwezo wako wa kufikiri ndio umekomea hapo.
 
Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".

Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.

Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Mwenezi alipaswa kuwa mwenye akili hata kidogo, huyo bashite akili ziro ziro, hakuna Cha maana anachoongea, mzushi mzushi mno
 
Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".

Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.

Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Zaidi ni kuwa, ziara zake zinaonesha namna gani Taasisi zetu zilivyo weak.

Angetumia muda wake kujenga taasis imara.
 
Back
Top Bottom