Ni wakati gani ndani ya CCM kulikosekana Ufisadi na mafisadi?

Ni wakati gani ndani ya CCM kulikosekana Ufisadi na mafisadi?

Tuchangie kwa uwazi bila unafiki. Eti Ile CCM ya kuelekea 2015 iliyochukiwa hadi kulinganishwa na Jiwe kwenye Uchaguzi kwa rushwa na ufisadi. Ile CCM iliyozaa Mawaziri mizigo na kuokolewa na Nape na Kinana na CCM ya Leo ya DP World ipi inaongoza kwa ufisadi?

Tujadili kwa hoja ili mwisho tuamue kukibakisha Ikulu au kiende likizo. Karibu.
Toka dunia iumbwe lini ufisadi ulitokomezwa?!!!!

Ufisadi ulikuwepo kipindi cha awamu ya kwanza ya utawala wa taifa hili....ulikuwepo Jana na utaendelea kuwepo....

Kazi ya serikali adhimu ya CCM ni kupambana nao na kuupunguza tu....

Akitokea mgombea urais atakayesema anakwenda kuufuta UFISADI na kubaki historia basi huyo ni wa KUZOMEWA na akishuka jukwaani apelekwe kutibiwa pale WODI NAMBARI 14 MIREMBE HOSPITALI......

#SiempreJMT[emoji120]
 
Tuchangie kwa uwazi bila unafiki. Eti Ile CCM ya kuelekea 2015 iliyochukiwa hadi kulinganishwa na Jiwe kwenye Uchaguzi kwa rushwa na ufisadi. Ile CCM iliyozaa Mawaziri mizigo na kuokolewa na Nape na Kinana na CCM ya Leo ya DP World ipi inaongoza kwa ufisadi?

Tujadili kwa hoja ili mwisho tuamue kukibakisha Ikulu au kiende likizo. Karibu.
Hakuna hiyo kitu na kamwe hakutakua na mpinga ufisadi ndan ya CCM!! NB; Hata uvccm wanatega tu waje wapate nafas ni kuiba kadiri uwezavyo!!
 
Samia akivunje hichi Chama cha CCM ili Nchi ibaki salama.
 
Huwezi tenganisha CCM na ufisadi🤣maza kajifunza hadi kanogewa aamua kuwa highest bidder wa bandari ya Tanganyika.
 
Tuchangie kwa uwazi bila unafiki. Eti Ile CCM ya kuelekea 2015 iliyochukiwa hadi kulinganishwa na Jiwe kwenye Uchaguzi kwa rushwa na ufisadi. Ile CCM iliyozaa Mawaziri mizigo na kuokolewa na Nape na Kinana na CCM ya Leo ya DP World ipi inaongoza kwa ufisadi?

Tujadili kwa hoja ili mwisho tuamue kukibakisha Ikulu au kiende likizo. Karibu.
Niruhusu nipite kwanza
 
Back
Top Bottom