Ni wakati muafaka BoT kuchapisha Noti zenye picha na sura ya Rais Samia kuweka historia kwa vizazi na vizazi

 

Attachments

  • IMG_2941.jpeg
    42.5 KB · Views: 3
  • IMG_2939.jpeg
    14.2 KB · Views: 2
  • IMG_8869.jpeg
    53.9 KB · Views: 3
Hakuna hoja yoyote ile uliyoandika.umeelewa msingi wa hoja yangu au umekurupuka zako tu kutoka usingizini?
 
Soma andiko ndio utaelewa vizuri na hiyo akili yako ndogo.unafahau Ureno ipo kwenye mpango wa kutoa shilingi itakayo kuwa na picha ya Christiano Ronaldo katika kutambua mchango wake kwa Taifa lake?
Huo ndio unaitwa upumbavu. Yaani ukiwa mjinga unaweza kuelimika.
Kama ureno wanataka kufanya hivyo ndio muige huko?
Kwa nini musiige maendeleo yanayofanwa na mataifa mengine munaiga upuuzi?

Haya tuambie Rais yupi hajaonyesha mchango wake katika hii nchi?

Ficha upumbavu wako hata kidogo.
 
Maana wao ndiyo wenye maamuzi

Ova
 
Nimegundua huna akili kabisa wewe.hoja yangu ipo wazi kabisa sababu za kutaka kufanyika jambo hilo.
 
Nimeelezea mengi zaidi ya maendeleo.ndiye mwanamke wa kwanza kushika Urais hapa Nchini.niambie ni Mwanamke yupi mwingine aliyeshika Urais hapa Nchini zaidi ya Rais Samia?
Na unafahamu kuwa sio mwanamke wa kwanza kuwa Rais Duniani?
Wenye akili hilo haliwashangazi kabisa.
Wanaelewa kuwa mwanamke anauwezo wa kushika nafasi yoyote kama mwanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…