Trillions mbili za madafu zinazokufa thamani kila siku.You twatttttttttt.Unafahamu kwa sasa tunakusanya hadi Trilioni mbili kwa mwezi kama mapato? Unafikiri yangepatikana wapi kama siyo kuimarika kwa uchumi na shughuli za kiuchumi?
Itawezekana tu maana watanzania wanahitaji hivyo kuweka historia kwa vizazi vijavyoHizi ni akili matope! Yaani mnataka kutupiga pesa zetu na huyu maza mumuingize kwa noti? Haiwezekani
nimesema kuwa ukiachilia mbali kazi nzuri iliyofanywa na Mama yetu Mpendwa lakini pia Rais Samia ndiye Rais wa kwanza mwanamke katika Historia ya Taifa letu kwa hiyo anastahili kabisa heshima hiyo.Ukisikia ushauri wa hovyo kabisa, ndiyo huu!!
Kama mtu huna uelewa, jielemishe kwanza kabla ya kuleta mada ya kijinga kama hii!! Jiulize kwanza, ni nchi gani ina sarafu zilizojaa picha za marais mbalimbali?
Hata kama ingekuwa ni kweli Rais Samia amefanya vizuri kwenye upngozi wake (which is not true), bado hakuna kabisa hiyo haja yakuweka picha yake kwenye sarafu. Itakuwa ni nchi ya namna gani, endapo kila Rais anayefanya vizuri, picha yake uwekwe kwenye pesa?
Kama tungekuwa tupo makini, kila uchaguzi tunatakiwa kumpata Rais atakayefanya vizuri, na ikiwa hivyo, kwa ushauri wa huyu Lucas, ina maana kila baada ya miaka 10, tuwe na noti mpya yenye picha ya Rais mpya!! Hiyo itakuwa nchi, au danguro??
Pesa kuwa na sura ya kiongozi mkuu wa kwanza wa Taifa, inatosha sana.
Huna akili mamdogoNdugu zangu Watanzania,
Kwa kila jambo na wakati wake na majira yake kwa sababu maalumu.huu ni wakati na muda muafaka kabisa kuchapisha noti zitakazokuwa na picha na sura ya Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Hii ni katika kuweka historia itakayo dumu na kukumbukwa vizazi na vizazi na kuwa Sehemu ya historia ya Taifa letu. Rais Samia kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu Mwenyewe ameweka historia ya kipekee kabisa kwa kuwa Mwanamke wa Kwanza kushika nafasi ya Urais hapa Nchini na katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Rais Samia ni Mwanamke na Mama aliyelivusha Taifa katika wakati mgumu sana katika Historia ya Taifa letu.ikumbukwe kuwa ameshika Nchi katika kipindi ambacho Uchumi wa Dunia ulikuwa umetikisika kuwahi kushuhudiwa katika Historia ya Dunia ukiachana na ule uliotokea miaka ya 1930-1945 ambao ulisababishwa na mambo mbalimbali kama tunavyojifunza katika Historia.
Rais Samia amepokea nchi wakati Dunia ikishuhudia viwanda vingi vikiwa vimesimamisha uzalishaji ,ukosefu mkubwa wa ajira,mdororo wa kiuchumi kutokana na kupungua kwa shughuli za kiuchumi na uzalishaji,kupanda au mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa muhimu kama vile mafuta ya petroli na dizeli ambavyo ni injini ya uchumi,kupanda kwa bei ya Mbolea,mzunguko mdogo wa pesa mitaani na mengine mengi sana.
Ambavyo hivyo vyote vilichochewa na ugonjwa wa COVID-19 pamoja na vita vya ukrein.lakini kwa umadhubuti,uhodari, uimara ,ushupavu ,akili kubwa , maono makubwa na Uweza wa mwenyezi Mungu tulishuhudia Mama huyu shupavu na madhubuti akilivusha Taifa kwa kuchukua hatua mbalimbali. kama vile kutoa Ruzuku ya Billion mia moja kila mwezi katika nishati ya mafuta,kutoa Ruzuku ya Billion mia mbili hamsini katika mbolea hali iliyoshuhudia bidhaa hizo zikishuka bei.
Ndio Maana tuliona na kushuhudia wakenya wakivuka mpaka na kuingia Tanzania kununua mafuta kutokana na bei kuwa ndogo Nchini ukilinganisha na Nchini kwao.hali ya kiuchumi Nchini ilikuwa nzuri ukilinganisha na nchi yoyote ile hapa barani Afrika.lakini wakati akifanya haya Dunia ilishuhudia Mama huyu aliyeinuliwa na kupewa kibali na Mungu akitoa maelfu ya ajira kwa vijana,kujenga miundombinu,kusogeza huduma karibu ya wananchi,kuongeza bajeti katika kila wizara kama ambavyo tuliona katika kilimo kuongeza bajeti kutoka Billion 250 hadi Billion 970.
Tuliona akifanya juhudi kubwa ya kufungua nchi yetu ikiwa ni pamoja na kuvutia wawekezaji pamoja na watalii kupitia royal tour iliyopelekea ongezeko la watalii kufikia Millioni 1.8 kwa mwaka.tuliona bei ya mazao Kama vile korosho ikipaa bei tena hasa baada ya kufanya ziara rasmi Nchini India na kukutana na makampuni na wafanyabiashara wa korosho.
Hayo na mengine mengi sana yalifanya Taifa na nchi yetu kusalia imara na yenye utulivu wa hali ya juu katikati ya hali mbaya ya kiuchumi iliyoikumba Dunia nzima.lakini sisi tukawa katika kisiwa chetu cha utulivu na ustahimilivu wa kiuchumi chini ya Jasusi wa uchumi Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Najuwa wenye upeo mdogo wataanza kujadili habari za gharama za kuchapisha pesa hizo,na wengine watasema siyo mahitaji ya watanzania.lakini niwaambieni tu kuwa faida aliyoliletea Taifa letu ni kubwa sana.asingetumia akili tungekuwa tumesambaratika kama Taifa.hali ya umaskini na uchumi ingekuwa mbaya sana hapa nchini.na tusingeona kuendelea kwa miradi mikubwa kama Bwawa la Mwalimu Nyerere lenye kutupatia megawati 2115 wala kuzinduliwa kwa reli ya SGR na usafiri huo wa treni ya umeme.
Tumpeni heshima yake huyu Mama ,tuache wivu na chuki binafsi,tuache ubaguzi kwa misingi ya Udini,ukabila,ukanda na jinsia .Mama yetu anastahili kupewa heshima hiyo ya kuchapisha noti zenye sura na picha yake.View attachment 3136898
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hali za maisha ya watanzania zinaendelea kuboreshwa kila siku na ndio maana unaona hali nzuri kwa watanzania,huku huduma za kijamii zikisogezwa karibu na watanzania,kuboresha maisha ya watumishi wa umma,kuweka sera nzuri zenye kuvutia wawekezaji ili kuzalisha fursa za ajira kwa vijana na kuongeza wigo wa mapato.Una utindio wa ubongo wewe.badala yakuwaza mambo ya maana unawaza ujinga.picha inatusaidia nini sisi.nchi yenyewe uchumi wa tozo,misaada na mikopo ya wahisani.badala mboreshe hali za wananchi mnawaza picha.Tena picha kwenye sarafu isiyo na thaman yoyote ya maana.chawa bure kabisa wewe.
Mimi siyo chawaNimejiridhisha pasipo shaka kuwa Lucas Mwashambwa ni Robot siyo binadamu! Hivyo msijibizane na hili lilidude liko programmed kichawa chawa tu!
Tatizo ni P.DiddyKadri siku zinavyoenda unazidi kuharibika. Tatizo nini?
Jibu swali nililokuuliza.Kuna Rais wa Dunia? Kuna nchi inaitwa Dunia? Nimesema Tanzania na siyo Dunia ,nimesema pesa ya Tanzania na siyo pesa ya nchi nyingine au jumuiya nyingine.uwe una fikiria kabla ya kuandikaKuna muda fulani nimekuambia uwe unaficha upumbavu wako hata kidogo.
Ngoja nikuulize swali la mtu mwingine unayemsifia sana.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana nafasi nyingine au cheo kingine kimataifa.
Hebu kitaje ili ujue kwa nini nimeandika neno Dunia unalolikataa.
Na hiyo Tanzania kama haihusiki Duniani.
Naomba unisaidie kuniunganisha na p.diddy atuchangie madawati ya shuleHali za maisha ya watanzania zinaendelea kuboreshwa kila siku na ndio maana unaona hali nzuri kwa watanzania,huku huduma za kijamii zikisogezwa karibu na watanzania,kuboresha maisha ya watumishi wa umma,kuweka sera nzuri zenye kuvutia wawekezaji ili kuzalisha fursa za ajira kwa vijana na kuongeza wigo wa mapato.
Mwashambwa huna thamani yoyote hapa JF. Wengi wanakuchukulia kama kichekesho.Mbona kila mtu hapa jukwaani anafahamu kuwa wewe ni chizi.au unataka mpaka watu waanze kukutenga
Labda wewe ndiye huna thamaniMwashambwa huna thamani yoyote hapa JF. Wengi wanakuchukulia kama kichekesho.
Huyu hana hata hadhi ya kufikia kupigiwa kura. Ukiyaona maji, halafu mjinga mmoja anasema kuwa ni oil, unaweza kupoteza hata muda wa kusema tutafute watu wapige kura kuwa haya ni maji na siyo oil? Lucas ni case inayojulikana.Sawa lakini tupigiwe kura mimi na wewe
Rudi toka mwanzo wa mada yako, pitia michango ya wote, jipime mwenyewe uweze kujua nafasi yako katika jamii ya JF. Kama utashindwa kuipata picha hiyo ya wazi, hayupo wa kukusaidia, bakia hivyo hivyo.Labda wewe ndiye huna thamani
Umewahi kusoma habari za Galileo? Kama umesoma habari zake basi utaelewa.ukweli ni ukweli tu hata ukipingwa na watu billion moja.Rudi toka mwanzo wa mada yako, pitia michango ya wote, jipime mwenyewe uweze kujua nafasi yako katika jamii ya JF. Kama utashindwa kuipata picha hiyo ya wazi, hayupo wa kukusaidia, bakia hivyo hivyo.
Huyo siyo mwanaume ni jinsia ya tatu huyo.Hata kama ni njaa sasa, hii yako imezidi.Mwanaume huwezi kujipendekeza hivyo
Naona umetoka kujifukiza moshi kichwani mwako na kutoka umekurupuka zako huko.Huyo siyo mwanaume ni jinsia ya tatu huyo.
Huyo kwani mzima unavyoona, haya mabandiko yake yanaonyesha kuwa ana fungus kwenye ubongo.Mjinga wewe unatukwaza sn, wanaugua watu wa maana unaachwa wewe na ujinga wako hapa.