Ni Wakati Muafaka Now kwa Tume ya Katiba Kuondoka!!;- They Should Go Now!!

Nikiwa kama mtanzania, na bila kuwa na political patronage kwa chama chochote cha siasa suala la TUME YA KATIBA ni suala la nchi wala si chama chochote cha siasa kuliweka suala la katiba kisiasa ni ujinga kimtazamo na kiutendaji na kupelekea watu hao kifalsafa tuwaite "reductio absurdities"(wapumbavu wa mwisho). Tume imefanya kazi yake from grassroots to top! basi ni utashi wa kiweledi tuiache tume imalize kazi yake! Tanzania inajengw na matabaka kama uchumi,jamii,siasa na asasi hivyo kuweka mjadala wa katiba kisiasa ni upumbavu wa mwisho!! THINK BIG hasa unavopost mambo hapa jamvini hii sio FACEBOOK! Reduction absurdity!!!!!!
 
- Either huna hoja au huelewi hili darasa, Waliteuliwa kusikiliza na kuandika chini tu maoni ya wananchi sio kutuandikia maoni yao, so sasa wamekabidhi maoni tayari waondoke and then ndio walie lie wakiwa nje ya kamati not now!!

Le Big Shoow!!
uwe unafikiria kidogo mkuu
hayo unayosema mawazo yao yako wapi?
hawa wametoa mawazo ya wananchi na hawapendi yacakachuliwe na ninyi mijambazi.
MKUU UNGECHUKUA AKIRI KIGOGO TU YA MZEE WAKO INGEKUSAIDIA SANA TATIZO MELI ZIMEMALIZA UBONGO WOTE.
 
- Eti nitumie jina la bandia ili kulinda hadhi ya baba yangu? ha! ha! ha! ha! ha!, kwa sababu wewe unalinda hadhi ya baba yako kwa kutumia id ya bandia? ha! ha1

Le Mutuz

Ushauri wake ni mzuri tu anamaanisha ungetumia tu ID ile ile uliyokuwa unaitumia kumtukana Jakaya Kikwete.

Kama unabisha hili muulize Field Marshal Es. Kama hujaumbuka mchana kweupe mnafki mkubwa wewe.
 

This is simply piece of craaaaaaaap
 
hata mimi nashangaa mkuu mbona baba yake zipo kichwani!

Baba yake zipo kichwani kivipi? Angekuwa nazo angeng'ang'ania kuwa mbunge wa maisha mpaka akaja kung'olewa na standard seven failure? Hivi huyu Kibajaji ana hadhi hata ya Mwenyekiti wa mtaa?

Like Father like son like step Mother all a bunch of mediocre and political losers.
 

hiyo ni hali ya kawaida ya mwanadamu kutaka kukamadarakani maisha na kumbuka ndoto za babayake zilikuwa nikuwa president ila hili ni hamnazo kabisa mkuu!
 
- Either huna hoja au huelewi hili darasa, Waliteuliwa kusikiliza na kuandika chini tu maoni ya wananchi sio kutuandikia maoni yao, so sasa wamekabidhi maoni tayari waondoke and then ndio walie lie wakiwa nje ya kamati not now!!

Le Big Shoow!!
nani atatolea ufafanuzi rasimu kipindi mjadala ukianza?au hasira za serikali 3 mkuu
 
Msameheni bure, huenda ameisha kunywa mvinyo wa Dodoma
 
Msameheni bure, huenda ameisha kunywa mvinyo wa Dodoma

Hilo joho lisikutishe kabisa hata watoto wa Nursery schools hayo wanayavaa, si kila umuonaye na koti jeupe ukadhani ni daktari labda hujawahi kufika buchani.

Huyo ni muhitimu wa chuo cha wavuvi ndiko alikopata Diploma, enzi zetu ilikuwa ukikosa credit za kuendelea high school chuo cha wavuvi ndio ilikuwa option ili ufike Ulaya kiurahisi.
 

Sasa ni kijana au mzazi?Kwenye kundi la wazazi haupo kwa kua umetelekeza familia!Nashanga wewe kuwepo uvccm wakati ndio waliomua ndugu yako IPYANA
 

Nadhani huyu atavunja rekodi, sijawahi kuona mtoto wa kiongozi au wa aliyekuwa kiongozi wa juu mpuuzi na mropokaji kama huyu. Huyu ni zaidi Nape sema tu hana jukwaa la kusememea tofauti na huku kwenye social media kama jf. Hili ni bonge la kilaza, lingetokea likazaliwa familia masikini kama yangu mimi lingekuwa linachunga ng'ombe huko vijijini na kuvuta bangi na wala lingejua kusoma wala kuandika. Maana kama limezaliwa na kukulia kwenye fursa lukuki namna hiyo na bado liko hivyo lilivyo, imagine kama ingekuwa vice verse.
 
Hivi unajua maana ya Great Thinkers au unaishi kwa ku-copy na ku-paste tu?Hizi elimu za Kata zimeharibu kizazi cha sasa kabisa.
Kumbe na wewe umo kwenye kundi hilo? Shukrani kwa kujiweka wazi
 
Tatizo ni kuwaacha Watu kama hawa wanapewa nafasi za juu wanaharibu nchi sisi tunalalamika tuu.. Tukapambane nao huko huko mpaka kieleweke
 

wewe ni mmoja kati ya mbumbumbu wa CCM unayeshiriki vema kuizika CCM.

Ninaamini bandiko lako hili limewakwaza sana wanaCCM wengi hasa wale wenye akili timamu.

Are you the man with real two balls hanging between your legs???
im doubt.
 
Bwana Mdogo WJ MALECELA naona sasa unafirisika kisiasa kila siku inayopita.
Hata kama ni kujipendekeza na kujipitisha ili angalau term ijayo uingie kwenye system kama mdingi wako! Nafikiri hekima katika kujadiri hoja ni muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…