Ni Wakati Muafaka Now kwa Tume ya Katiba Kuondoka!!;- They Should Go Now!!

Ni Wakati Muafaka Now kwa Tume ya Katiba Kuondoka!!;- They Should Go Now!!

Kumbe ndugu yangu Bill ni mvuvi?

Hilo joho lisikutishe kabisa hata watoto wa Nursery schools hayo wanayavaa, si kila umuonaye na koti jeupe ukadhani ni daktari labda hujawahi kufika buchani.

Huyo ni muhitimu wa chuo cha wavuvi ndiko alikopata Diploma, enzi zetu ilikuwa ukikosa credit za kuendelea high school chuo cha wavuvi ndio ilikuwa option ili ufike Ulaya kiurahisi.
 
Ati ni bouncer wa Bulembo.........

CHUNYA+LEO+028.JPG

Hawa jamaa bana wana dharau hata kwa wapiga kura wao!!

Check the "broke" big show
 
Tanzania hakuna upinzani makini na hata mwaka 2010 ni kama ilikuwa CCM dhidi ya CCM. Mwenye macho haambiwi tazama. CCM sasa hivi wanahaha kwa sababu ya upinzani huo huo ambao mwenzetu anauona dhaifu, lakini si hivyo tu uchaguzi wa 2005 rais alipata zaidi ya asilimia 80 lakini mwaka 2010 akapata asilimia 60. Ni kwa nini, subiri 2015 time will tell.
 
Back
Top Bottom