Ni wakati muafaka sasa Mifugo itozwe kodi. Msukuma au Mmasai anamiliki zaidi ya ng’ombe 1,000 na hachangii chochote! It is not fair

Ni wakati muafaka sasa Mifugo itozwe kodi. Msukuma au Mmasai anamiliki zaidi ya ng’ombe 1,000 na hachangii chochote! It is not fair

IMkuu hata wamachinga wanaozurura na bidhaa zao huko na kule wanachangia kupitia kipande cha 20,000/=. Nafikiri wanaozurura na mifugo ndo walipe kodi kubwa. Wanaharibu mazingira ambapo gharama za kuyarekebisha ni kodi ya mfanyakazi na mfanyabiashara.
Sijakupinga ila huyo mchunga ng'ombe anaweza amua kuishi pori la akiba na hifadhi miaka 100 hawajengi.

Na hakuna mwanadamu wa kwenda kumkabili huko.
Labda majeshi ya kubangua korosho kwa mabomu, yapewe kazi maalum.
Hawa jamii za wafugaji ni watataaaaa!
Angalia tu mtu fulani hivi, top manyota hapa nchini.


Everyday is Saturday............................... 😎
 
Inabidi wahaya na wachaga walipie kodi migomba kila mgomba mmoja utozwe dola 50$ .

Najua wachaga na wahaya ni matajiri Sana wakikasirika watalipia mgomba mmoja dola 100$.
Hiyo ni mada tofauti,
 
Inabidi wahaya na wachaga walipie kodi migomba kila mgomba mmoja utozwe dola 50$ .

Najua wachaga na wahaya ni matajiri Sana wakikasirika watalipia mgomba mmoja dola 100$.
Huu ni ubaguzi wanyakyusa kule Rungwe waachiwe tu Ile migomba yao bure bure!

Everyday is Saturday................................😎
 
Hivi karibuni kumeibuka manung'uniko makubwa ya uonevu kwa wafanyabiashara kuhusu tozo kubwa za kodi.

Mishale na lawama wamekuwa wakitupiwa ndugu zetu wa TRA.

Lakini, ukichunguza kwa umakini utagundua tatizo la msingi haliko kwao.

Tatizo ni ubunifu usiotosheleza wa nchi yetu katika kubainisha vyanzo vya kodi.

Vyanzo vikubwa kama Mifugo, vimeachwa bila sababu.

Kwa hesabu ndogo tuu, mfano Wilaya kama Meatu ina takriban ya ngombe zaidi ya laki nne. Ukitoza kodi angalau 2,000/= kwa kichwa cha ngombe kwa mwaka utapata almost 800 million, bado mbuzi na wanyama wengine.

Hiki chanzo kingeweza kupunguza lengo la makusanyo ya Wilaya yaliyoelekezwa kwa wafanyabiashara tu.

Halikadhalika, Serikali hutumia gharama kubwa kutengeneza miundombinu ya mifugo. Ni kwa nini gharama hizo zisitokane na kodi ya mifugo,badala ya kutumia kodi za wafanyakazi na wafanyabiashara.


Ni maoni yangu kuwa sekta zote za kipato rasmi,zichangie kwa usawa maendeleo ya nchi yetu badala ya kuelekeza nguvu zote kwa kundi dogo.
Bonge la point mkuu
 
Hivi karibuni kumeibuka manung'uniko makubwa ya uonevu kwa wafanyabiashara kuhusu tozo kubwa za kodi.

Mishale na lawama wamekuwa wakitupiwa ndugu zetu wa TRA.

Lakini, ukichunguza kwa umakini utagundua tatizo la msingi haliko kwao.

Tatizo ni ubunifu usiotosheleza wa nchi yetu katika kubainisha vyanzo vya kodi.

Vyanzo vikubwa kama Mifugo, vimeachwa bila sababu.

Kwa hesabu ndogo tuu, mfano Wilaya kama Meatu ina takriban ya ngombe zaidi ya laki nne. Ukitoza kodi angalau 2,000/= kwa kichwa cha ngombe kwa mwaka utapata almost 800 million, bado mbuzi na wanyama wengine.

Hiki chanzo kingeweza kupunguza lengo la makusanyo ya Wilaya yaliyoelekezwa kwa wafanyabiashara tu.

Halikadhalika, Serikali hutumia gharama kubwa kutengeneza miundombinu ya mifugo. Ni kwa nini gharama hizo zisitokane na kodi ya mifugo,badala ya kutumia kodi za wafanyakazi na wafanyabiashara.


Ni maoni yangu kuwa sekta zote za kipato rasmi,zichangie kwa usawa maendeleo ya nchi yetu badala ya kuelekeza nguvu zote kwa kundi dogo.
Hiyo ndiyo sababu ya vipngozi wengi kujishughulisha na ufugaji. Kigwangala, Bashe, Musukuma, Rais mstaafu Kikwete, Rais Magufuli, etc; wote wafugaji, na hawalipi kodi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi karibuni kumeibuka manung'uniko makubwa ya uonevu kwa wafanyabiashara kuhusu tozo kubwa za kodi.

Mishale na lawama wamekuwa wakitupiwa ndugu zetu wa TRA.

Lakini, ukichunguza kwa umakini utagundua tatizo la msingi haliko kwao.

Tatizo ni ubunifu usiotosheleza wa nchi yetu katika kubainisha vyanzo vya kodi.

Vyanzo vikubwa kama Mifugo, vimeachwa bila sababu.

Kwa hesabu ndogo tuu, mfano Wilaya kama Meatu ina takriban ya ngombe zaidi ya laki nne. Ukitoza kodi angalau 2,000/= kwa kichwa cha ngombe kwa mwaka utapata almost 800 million, bado mbuzi na wanyama wengine.

Hiki chanzo kingeweza kupunguza lengo la makusanyo ya Wilaya yaliyoelekezwa kwa wafanyabiashara tu.

Halikadhalika, Serikali hutumia gharama kubwa kutengeneza miundombinu ya mifugo. Ni kwa nini gharama hizo zisitokane na kodi ya mifugo,badala ya kutumia kodi za wafanyakazi na wafanyabiashara.


Ni maoni yangu kuwa sekta zote za kipato rasmi,zichangie kwa usawa maendeleo ya nchi yetu badala ya kuelekeza nguvu zote kwa kundi dogo.

Kumbuka wakipita nyama utaisikia kwa jilani yako.wakiweka kodi utakuja kuilipa wewe wamwisho vyote vinakuhusu
 
Kumbuka wakipita nyama utaisikia kwa jilani yako.wakiweka kodi utakuja kuilipa wewe wamwisho vyote vinakuhusu
Miaka ya 90 hii kodi ilikuwepo, nyama ilikuwa bei ya chini, haina effect yoyote. Mwenye bucha akinunua ngombe kwa mfugaji lets say kwa 200,000/= akimchinja anaweza kupata 100,000 mpaka 200000/= faida kwa kuuza nyama yake. So, effect ya kulipia 2000/= ya kodi ya ngombe kwenye bei ya nyama ni ndogo sana. Inaweza kuwa accomodated ktk faida ya kuuza nyama kwa bei kutopanda.
 
Miaka ya 90 hii kodi ilikuwepo, nyama ilikuwa bei ya chini, haina effect yoyote. Mwenye bucha akinunua ngombe kwa mfugaji lets say kwa 200,000/= akimchinja anaweza kupata 100,000 mpaka 200000/= faida kwa kuuza nyama yake. So, effect ya kulipia 2000/= ya kodi ya ngombe kwenye bei ya nyama ni ndogo sana. Inaweza kuwa accomodated ktk faida ya kuuza nyama kwa bei kutopanda.

Mwenye ngombe mfano
Ushuru wa kila ngombe kwa mfugaji+ushuru wa ngombe pale unapouza huyo ngombe+ushuru ngombe kusafirisha mfano mikoani+ushuru wa machinjio+ushuru wa bucha hapo= alafu nyama shingapi hapo
 
Kelele za wangapi walipe Kodi zingepelekwa kwa Kodi zetu zinafanya nini, na je ni value for money..., makusanyo ya migodi, maliasili na watalii ? Itakuwa ni Fikra potofu / upeo mfupi iwapo tunashangilia mkulima aongezewe / apigwe kodi wakati huyo Bwana ndio anatulisha hivyo indirectly ni wewe, wewe pia utakayelipia..., Bidhaa kupanda bei....
Mkuu umeongea kitu muhimu sana.

Kuna mtu aliweka uzi hapa kwamba watu wa Norway wanapenda kulipa kodi. Nikasema ni kwa sababu wanaona wazi kodi yao inavyowafaidisha, serikali ina mipango mizuri.

Siyo sisi tunatoza kodi sana watu, halafu tunanunua midege ambayo hata haitumiki na manunuzi yake hayafuati tender process. Na hata vitabu vya shirika la ndege havikaguliwi.

 
Watoze kodi pia ya matundu ya vyoo.

Kama nyumba ina matundu matano ya vyoo basi walipie kila tundu la choo japo buku kumi kwa mwak, kwa hiyo alipe 50, 000
 
Hivi karibuni kumeibuka manung'uniko makubwa ya uonevu kwa wafanyabiashara kuhusu tozo kubwa za kodi.

Mishale na lawama wamekuwa wakitupiwa ndugu zetu wa TRA.

Lakini, ukichunguza kwa umakini utagundua tatizo la msingi haliko kwao.

Tatizo ni ubunifu usiotosheleza wa nchi yetu katika kubainisha vyanzo vya kodi.

Vyanzo vikubwa kama Mifugo, vimeachwa bila sababu.

Kwa hesabu ndogo tuu, mfano Wilaya kama Meatu ina takriban ya ngombe zaidi ya laki nne. Ukitoza kodi angalau 2,000/= kwa kichwa cha ngombe kwa mwaka utapata almost 800 million, bado mbuzi na wanyama wengine.

Hiki chanzo kingeweza kupunguza lengo la makusanyo ya Wilaya yaliyoelekezwa kwa wafanyabiashara tu.

Halikadhalika, Serikali hutumia gharama kubwa kutengeneza miundombinu ya mifugo. Ni kwa nini gharama hizo zisitokane na kodi ya mifugo,badala ya kutumia kodi za wafanyakazi na wafanyabiashara.


Ni maoni yangu kuwa sekta zote za kipato rasmi,zichangie kwa usawa maendeleo ya nchi yetu badala ya kuelekeza nguvu zote kwa kundi dogo.
Wee una shida wenye mabucha na wenye viwanda vya mazao ya mifugo si wanalipa kodi au unazan serikali wajinga
 
Watoze kodi pia ya matundu ya vyoo.

Kama nyumba ina matundu matano ya vyoo basi walipie kila tundu la choo japo buku kumi kwa mwak, kwa hiyo alipe 50, 000
Nimekumbuka mkuu, kila mji waweke Geti kubwa kuingia mjini lazima uwe na kiingilio,

Kwa siku ni elfu 5000.
 
Kodi ya mifugo isiyojuliana inapatikanaje?

Mifugo haina vaccines wala matibabu yoyote.

Serikali ingepata chanzo maridhawa cha kodi kama hawa wanyama kungekuwa na subsides kwenye pembejeo na chanjo za uhakiki. Pia wawe na bima ndio kingekuwa chanzo maridhawa cha ilivyo kwenye kodi na bima za magari.

Usione vyaelea mkuu wamaasai mpaka wanaywesha gongo wanyama wao wanapougua, maana hata dawa ya magonjwa mengine wao hawazijui.

Lazima serikali ikitaka hiki kuwa chanzo cha mapato iwekeze. Imagine katika mipango miji (master plan) huwezi kuona mahali pametengwa kama mahali pa kufuga au malisho ya wanyama.

Sasa hawa wanyama wanakuwa attached na makazi ya binadamu ila serikali haiwatambui hata kwa makazi tu halafu ukiite chanzo cha mapato. Magonjwa, ukame na udhoofu unapowakumba wanaokufa mpaka unaogopa.
Huko vyuoni viongozi wetu walienda kusomea ujinga ama walienda kuondoa ujinga?
Kuna mmoja wa afya anajua misuto yote ya kizaramo, sijui kama huko vyuoni huwa wanajifunza na masomo ya kuzodoana?
 
Awamu hii mtatoza hadi minba za wake zetu!! Laah
 
Wazo zuri
Ni wazo zuri la kuongeza gharama kwa mlaji wa mwisho maana ndiye atayebeba huo mzigo,

Mleta mada anadhani anakomoa mfugaji kumbe anawakomoa walaji, huwezi jua hata mleta mada naye ni rastafarian hali nyama Ila analalamikia bei ya nyama iongezwe.
 
Back
Top Bottom