Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
-
- #21
Usitarqjie Lissu atashinda huo uchaguzi. Hata dola itajipenyeza kuhakikisha Mbowe anashinda.chama chetu pendwa kimeuzwa kwa mama abduli, tukomae Lisu awe mwenyekiti hakuna kujitoa
Lisu anashinda safari hii wapiga kura wako nyuma yakeCCM wote wapo nyuma ya mbowe na LISSU hawezi kishinda uchaguzi huu...
Mbowe angekubali Tu kuachia chama Kwa kifupi mbowe na lipumba ni kulwa na doto
Lakini wapiga kura wana bei.Lisu hana bei
Watu wengi wenye akili tuliowasuport cdm tumeisha achana nao kitambo baada ya kuanza kuona mambo ya ajabuNaomba kutamka kuwa sina imani na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe.
Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.
No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?
No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.
No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.
Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa
Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.
Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.
Alitangaza, alikuja na wimbi la LowasaWakati unajiunga ulitangaza?
Una personal issue na mwenyekiti wewe..Naomba kutamka kuwa sina imani na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe.
Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.
No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?
No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.
No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.
Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa
Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.
Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.
Halafu eti mtu anajitolea hata kufa kwenye uozo kama huo , yale matukio ya watu kutekwa kwa hili linaloendelea inafikirisha sana🤔🤔🤔Tamaaa ya madaraka mzeee Mbowe amekua kama Malaya la CCM wanamtumia wanavotaka
Ni mali yake binafsi,, kwahiyo ni vema aachiwe yeye na familia yake.Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.
Ni kumuachiq chama chake tuone atafika wapiNi mali yake binafsi,, kwahiyo ni vema aschiwe yeye na familia yake.
Wanajisifia kuwa chadema haiwezi kufa,. Let's wait and see!
Nawaonea huruma wakina soka na mdude na wengineoHalafu eti mtu anajitolea hata kufa kwenye uozo kama huo , yale matukio ya watu kutekwa kwa hili linaloendelea inafikirisha sana🤔🤔🤔
Kura zinapigwa na machawa wake akina Boni Yai, Wenge, Yericko Nyenyere na Devota Minja, Ntobi, n.k. Unategemea nini?Amekosa utashi wa kuachia nafasi hiyo kwa heshima, ngoja kura zitaamua. Unapozira unaonekana hata wewe una agenda yako iliyokosa nafasi.
ni kama yanga kwenye makundi ya CAFTamaaa ya madaraka mzeee Mbowe amekua kama Malaya la CCM wanamtumia wanavotaka