huo ni upotoshaji,ππ Kunusuru nini weye, Sema wajomba hawataki usumbufu kwenye vitalu vyaoπ€π wanataka wajimwae mwae wenyewe. Kwa mafweza waliotoaπππ hata Mimi ningewasahau Wallah.
Just in a brief mimini baba wa watoto wazuri wawili.relax, calm down and be free gentleman, usiogope π
πππ Wewe ndio mpotoshaji mbona ipo kihalaliπ°π° au nikupe na Grid ref za becon mipaka za kule wasso? π€huo ni upotoshaji,
wananchi wazalendo waliokua wakiishi ndani ya hifadhi ya Taifa ya ngorongoro, hamehamia msomera,
na kwahivyo pale ngorongoro wamenusuru kupotea kwa hifadhi yenyewe, lakini pia wamenusuru kuharibika mali asili hifadhini, zaidi sana wamesaidia kurahisisha utunzaji wa mali asili ile muhimu sana kwa maslahi mapana ya waTanzania wote π
Wapatie Madini..bampa to bampa sio?
Yes,
usiondoke ili ushuhudie wise replies with full detailed informations bila mbambamba, dah aiseπ
Pole sanashukrani sana mrangi,
kwani umeumia?π
ukweli saa zingine ndivyo ulivyo, utazoea tu pole pole...
Pale kulikua na Hospital na huduma zote za kijamii,Serikali imewakuta wamasai pale ila leo wanahamishwa.Na kijiji chao kufutwa?πππ Wewe ndio mpotoshaji mbona ipo kihalaliπ°π° au nikupe na Grid ref za becon mipaka za kule wasso? π€
Wamasai wamekuwa wakiishi hapo zaidi ya miaka 100 leo hii wanatolewa duhPale kulikua na Hospital na huduma zote za kijamii,Serikali imewakuta wamasai pale ila leo wanahamishwa.Na kijiji chao kufutwa?
Mh! ngoja tuone hatima ya Kizimkazi afterrwards
Nasikitika tu maana wamasai wamekuwa wakiishi huko miaka na miaka,na wamekuwa wakiishi huko kabla hata ccm sjui TANU haijaanzishwashukrani sana mrangi,
kwani umeumia?π
ukweli saa zingine ndivyo ulivyo, utazoea tu pole pole...
usimtaje Mungu kwa majonzi na hofu basi....dah,Just in a brief mimini baba wa watoto wazuri wawili.
Wacha niwahudumie kaka nitapotea bureee.
Hiki Chama Mungu ndio anaandaa mpango wake
inafaa uwapongeze pia,Nasikitika tu maana wamasai wamekuwa wakiishi huko miaka na miaka,na wamekuwa wakiishi huko kabla hata ccm sjui TANU haijaanzishwa
Ngorongoro na maeneo yake naijuwa vizuri syo blah blah
I hope mzee wangu wa kimasai clemence parsiato enkirisani taa ele Lee yupo huko bado!
Nawapa pole sana wamasai huko
Ova
hakuna propaganda gentleman, it's real...Propaganda tuu hizi.
Ngorongoro masai wameishi miaka na miaka nini kibaya wanachofanyaaaa?
Wale wanafuga tuu ila kilimo hawafanyi ili kulinda mazingira na ni sehemu ya kivutio kikubwa sana pale ngorongoro. Yan watu kuishi na wanyama pori.
Ila hili la kuwaamisha sijui limekaaje
kwahivyo miaka 100 ndio ingezuia wasihamie msomera mkoani Tanga, right?πWamasai wamekuwa wakiishi hapo zaidi ya miaka 100 leo hii wanatolewa duh
Ova
Fedha ya kuwahamishia huko ilitoka wapi?Wananchi wazalendo wa msomera mkoani Tanga, ambao hapo kabla walikua wakiishi ndani ya hifadhi ya Taifa ngorongoro, ambapo baadae kwa kushauriana na mamlaka za serikali, na kwa hiyari na utashi wao, Lakini pia kwa kuzingatia maslahi mapana ya Taifa, na urithi wa vizazi vijavyo, wananchi wale waTanzania wazalendo walikubali kuondoka kutoka hifadhini na kwenda kuishi katika eneo mbadala walilotengewa huko msomera mkoani Tanga..
Wananchi hawa wazalendo nchini, kaya zaidi ya elfu moja, zenye watu zaidi ya elfu nane, walikubali wito wa Serikali wa kuondoka maeneo yale, ili kuepusha uharibifu wa mazingira ya hifadhi na kutunza mali asili katika eneo hilo ambazo zilikua zimaanza kuharibika na zilikua hatarini zaidi kupotea na kutoweka kabisa...
Na kwa hatua za kisheria na kikatiba ilizichukua serikali, eneo la hifadhi ya Taifa ya ngorongoro hakuna tena watu wanaishi ndani yeke..
Wavamizi wa hifadhi zote za Taifa nchini watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria, ili kuilinda na kutunza maliasili za Taifa kwa maslahi mapana ya waTanzania wote...π
Mungu Ibariki Tanzania