Ni wakati muafaka Watanzania kuipongeza serikali na wananchi wazalendo wa Msomera Tanga kwa kuinusuru hifadhi ya Ngorongoro kupotea

Pale kulikua na Hospital na huduma zote za kijamii,Serikali imewakuta wamasai pale ila leo wanahamishwa.Na kijiji chao kufutwa?

Mh! ngoja tuone hatima ya Kizimkazi afterrwards
ni katika kuhifadhi mali asili na mazingira ya hifadhi za Taifa ambazo ndio urithi wa Taifa zisipotee....

kwa kutambua hilo na kwa uzalendo wa kiwango cha juu sana, wananchi waliokua wakiishi ndani ya hifadhi ya Taifa ya ngorongoro, kwa hiyari yao walihamia msomera mkoani Tanga, na wanaendelea na maisha yao kama kawaaida πŸ’
 
Fedha ya kuwahamishia huko ilitoka wapi?
ni fedha ya serikali sikivu ya CCM iliyotokana na utalii katika maeneo ya hifadhi, kodi, tozo na ushuru kidogo ambazo mimi na wewe tunatozwa na serikali kwa maslahi mapana ya waTanzania wote...

hata hivyo,
kwa kuzingatia maslahi mapana kwa Taifa, wananchi waliokua wakiishi ndani ya hifadhi ya Taifa ya ngorongoro kwa hiyari yao walihamia msomera mkoani Tanga πŸ’
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wewe ndio mpotoshaji mbona ipo kihalaliπŸ’°πŸ’° au nikupe na Grid ref za becon mipaka za kule wasso? πŸ€”
dah,
aise na wew kumbe uko nyuma ya wakati kama ilivyo kwa Prof.ShivjiπŸ’

yaani serikali iko hatua ya mwisho ya kufuta kata, vijiji na vitongoji wewe bado umeng"ang'ana na becon 🀣

huko ni nyuma mno gentleman,
hizo mambo ziliisha kitambo sana,

na wahusika wa hizo becon ni wananchi wazalendo ambao wanaishi msomera, wanakula maisha tu,

mmekwamia wapi ndrugu zango kujua haya yote ambayo yako wazi kabisa?πŸ’
 
Hivi ni kwa nini hasa nyinyi Chawa ambao kazi yenu kubwa ni kusifu na kuabudu Watawala huwa mnakuwa na upeo mfupi Sana wa akili (short-sighted mind) ???? Wengi wenu kwa nini mna uwezo Mdogo Sana ktk kujenga Hoja au ku-reason??? Why????
 
Hivi ni kwa nini hasa nyinyi Chawa ambao kazi yenu kubwa ni kusifu na kuabudu Watawala huwa mnakuwa na upeo mfupi Sana wa akili (short-sighted mind) ???? Wengi wenu kwa nini mna uwezo Mdogo Sana ktk kujenga Hoja au ku-reason??? Why????
sasa ndrugu muerevu mwenye upeo mkubwa hapo umepanic au umehemka?🀣

na mbona sasa,
huna mawazo mapya wala fikra mbdala dhidi ya hoja ya ukweli jukwaani?

ubaya uko wapi?, wananchi wazalendo waliokua wakiishi ndani ya hifadhi ya ngorongoro kwa kuzingatia maslahi mapana ya waTanzania wote, na kwa hiyari yao na dhamira zao njema wakahamia msomera mkoani Tanga, kuna ubaya ubwela wowote hapo ndrugu zango?πŸ’

halafu relax tu gentleman πŸ’
 
na kuwaambia ukweli tutawaambia tu vile vile bila mbambamba yoyote πŸ’
Rudini shule aisee ili mwende kupunguza ujinga, mnatia aibu.
Ndio maana Tundu Lissu alisema kwamba hawezi kurudi CCM kwa sababu yeye "ana akili timamu.," Sasa nimemuelewa vizuri Sana kuwa anamaanisha nini.
 
Wale waarabu wameingiaje mle
 
Dont kick out Masais and bring arabs. That would be a sin and crime
gentleman,
that is misinformations and it is crime arconding to the law of the land,

be warned before your keyboard πŸ’
 
Wale waarabu wameingiaje mle
hakuna waarabu wala mTanzania anaishi ndani ya hifadhi ya Taifa ya ngorongoro, epuka kupotoshwa na wanaharakti uchwara na wanasiasa walio filisika sera πŸ’
 
Rudini shule aisee ili mwende kupunguza ujinga, mnatia aibu.
Ndio maana Tundu Lissu alisema kwamba hawezi kurudi CCM kwa sababu yeye "ana akili timamu.," Sasa nimemuelewa vizuri Sana kuwa anamaanisha nini.
elimu Tanzania itaendelea kutolewa bure, bila kuzingatia ushirikiana wa u huyo anaekupotosha na utu uzima wako...

ni vizuri kua na hekima na busara katika kujivunia masuala mbalimbali, Lakini sio kujivunia kupotoshwa kama ambavyo unajipambanua, dah...

umaskini wa fikra ni mzigo sana hasa kwa mtu mzima πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…