Ni wakati Rais Samia aheshimiwe, kumtusi ni kumkosea sana.

Ni wakati Rais Samia aheshimiwe, kumtusi ni kumkosea sana.

inspectorbenja

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
597
Reaction score
651
Watanzania wakati mwingine ni kama watu ambao hawajui nini hasa wanachotaka.Wakati wa utawqla wa Rais Kikwete,maneno yalikuwa mengi sana.,mlegevu,hashuguliki na masuala ya msingi ya nchi,nchi imeoza.
Akaja Rais Magufuli,yeye alikuwa strick sana,alikuwa hapendi bla bla au majadiliano sana.Alikuwa kanyooka kupita maelezo.Kelele zikawa nyingi mno,,kabana sana,kaua demokrasia, n.k.
Awamu hii tunaye mama.tena huyu ni mama hasa,kwa maana ya kwamba ananhisia na mapenzi kama mama wa kimwili kabisa na taifa lake.Na kusema kweli amejitahidi sana kuiweka nchi katika mzani.Anasikiliza,anashaurika,anaona,anaumia,anafanya jitihada kubwa sana nchi iwe mahali salama kwa kila mtu.Nachukizwa sana na vitendo vya kumshambulia Mhe Rais personaly,matusi ya nguoni,matusi ambayo hata hauwezi kumuambia mzazi wako.Kama ni kukosoa kwanini tusikosoe sera na hoja.Siyo matusi personal attacks.Hii haijakaa vizuri kabisa.Ni kujitafutia laana.
Mungu atusaidie
Tumpr mama nafasi,tena nasema mama nikiwa na fahari kabisa ya kusema mama.Tumpe nafaso na tumuonyeahe ushirikiano.Kuongoza nchi siyo kazi rahisi.Wewe chukulia mfano tu familia yako inavyokuhenyesha,sembuse nchi.
Namaliza kwa kusema mama aheshimiwe.
 
Watanzania wakati mwingine ni kama watu ambao hawajui nini hasa wanachotaka.Wakati wa utawqla wa Rais Kikwete,maneno yalikuwa mengi sana.,mlegevu,hashuguliki na masuala ya msingi ya nchi,nchi imeoza.
Akaja Rais Magufuli,yeye alikuwa strick sana,alikuwa hapendi bla bla au majadiliano sana.Alikuwa kanyooka kupita maelezo.Kelele zikawa nyingi mno,,kabana sana,kaua demokrasia, n.k.
Awamu hii tunaye mama.tena huyu ni mama hasa,kwa maana ya kwamba ananhisia na mapenzi kama mama wa kimwili kabisa na taifa lake.Na kusema kweli amejitahidi sana kuiweka nchi katika mzani.Anasikiliza,anashaurika,anaona,anaumia,anafanya jitihada kubwa sana nchi iwe mahali salama kwa kila mtu.Nachukizwa sana na vitendo vya kumshambulia Mhe Rais personaly,matusi ya nguoni,matusi ambayo hata hauwezi kumuambia mzazi wako.Kama ni kukosoa kwanini tusikosoe sera na hoja.Siyo matusi personal attacks.Hii haijakaa vizuri kabisa.Ni kujitafutia laana.
Mungu atusaidie
Tumpr mama nafasi,tena nasema mama nikiwa na fahari kabisa ya kusema mama.Tumpe nafaso na tumuonyeahe ushirikiano.Kuongoza nchi siyo kazi rahisi.Wewe chukulia mfano tu familia yako inavyokuhenyesha,sembuse nchi.
Namaliza kwa kusema mama aheshimiwe.
 
Watanzania wakati mwingine ni kama watu ambao hawajui nini hasa wanachotaka.Wakati wa utawqla wa Rais Kikwete,maneno yalikuwa mengi sana.,mlegevu,hashuguliki na masuala ya msingi ya nchi,nchi imeoza.
Akaja Rais Magufuli,yeye alikuwa strick sana,alikuwa hapendi bla bla au majadiliano sana.Alikuwa kanyooka kupita maelezo.Kelele zikawa nyingi mno,,kabana sana,kaua demokrasia, n.k.
Awamu hii tunaye mama.tena huyu ni mama hasa,kwa maana ya kwamba ananhisia na mapenzi kama mama wa kimwili kabisa na taifa lake.Na kusema kweli amejitahidi sana kuiweka nchi katika mzani.Anasikiliza,anashaurika,anaona,anaumia,anafanya jitihada kubwa sana nchi iwe mahali salama kwa kila mtu.Nachukizwa sana na vitendo vya kumshambulia Mhe Rais personaly,matusi ya nguoni,matusi ambayo hata hauwezi kumuambia mzazi wako.Kama ni kukosoa kwanini tusikosoe sera na hoja.Siyo matusi personal attacks.Hii haijakaa vizuri kabisa.Ni kujitafutia laana.
Mungu atusaidie
Tumpr mama nafasi,tena nasema mama nikiwa na fahari kabisa ya kusema mama.Tumpe nafaso na tumuonyeahe ushirikiano.Kuongoza nchi siyo kazi rahisi.Wewe chukulia mfano tu familia yako inavyokuhenyesha,sembuse nchi.
Namaliza kwa kusema mama aheshimiwe.
1724587213914.png
 
Sijamalizia bandiko ila nimesoma kichwa cha habari tu

Sio tu kumtusi rais bali kumtusi mtu yeyeote sio katika maadili ya watu waungwana

Mitandao ya kijamii na uzungu mwingi umeharibu watu wengi hususana vijana

Unamtukana mtu kwafaida na maslahi na heshima ipi hasa ulofunzwa

Wanaotukana watu wazima sikwambii viongozi wa sirkali na taasisi zingine popote pale mitandaoni mitaani au pengine washughulikiwe haswa

Tena wakishatolewa hukmu kama yakifungo ama faini inatakiwa waekwe sehemu watiwe bakora zakutosha ili wawe na adabu

Kutukana watu wowote wakiwemo viongozi haujawahi kua uhuru wakutoa maoni bali ushenzi na utovu wanidhamu
 
Watanzania wakati mwingine ni kama watu ambao hawajui nini hasa wanachotaka.Wakati wa utawqla wa Rais Kikwete,maneno yalikuwa mengi sana.,mlegevu,hashuguliki na masuala ya msingi ya nchi,nchi imeoza.
Akaja Rais Magufuli,yeye alikuwa strick sana,alikuwa hapendi bla bla au majadiliano sana.Alikuwa kanyooka kupita maelezo.Kelele zikawa nyingi mno,,kabana sana,kaua demokrasia, n.k.
Awamu hii tunaye mama.tena huyu ni mama hasa,kwa maana ya kwamba ananhisia na mapenzi kama mama wa kimwili kabisa na taifa lake.Na kusema kweli amejitahidi sana kuiweka nchi katika mzani.Anasikiliza,anashaurika,anaona,anaumia,anafanya jitihada kubwa sana nchi iwe mahali salama kwa kila mtu.Nachukizwa sana na vitendo vya kumshambulia Mhe Rais personaly,matusi ya nguoni,matusi ambayo hata hauwezi kumuambia mzazi wako.Kama ni kukosoa kwanini tusikosoe sera na hoja.Siyo matusi personal attacks.Hii haijakaa vizuri kabisa.Ni kujitafutia laana.
Mungu atusaidie
Tumpr mama nafasi,tena nasema mama nikiwa na fahari kabisa ya kusema mama.Tumpe nafaso na tumuonyeahe ushirikiano.Kuongoza nchi siyo kazi rahisi.Wewe chukulia mfano tu familia yako inavyokuhenyesha,sembuse nchi.
Namaliza kwa kusema mama aheshimiwe.
Mara tu unapokubali kuwa kiongozi wa nchi au kiongozi wa umma maana yake umekubali kuwa "Mali ya umma" ambayo Inamilikiwa na kila mtu katika nchi, hivyo unapswa kukubali pia na matokeo yatakayotokana na kukubali kwako huko. Endapo kama unaona huwezi kukubaliana na matokeo yatokanayo na cheo hicho Cha umma ulichokubali, basi inapaswa kukataa kupokea cheo hicho au ujiuzuru kutoka kwenye cheo hicho.
 
Sijamalizia bandiko ila nimesoma kichwa cha habari tu

Sio tu kumtusi rais bali kumtusi mtu yeyeote sio katika maadili ya watu waungwana

Mitandao ya kijamii na uzungu mwingi umeharibu watu wengi hususana vijana

Unamtukana mtu kwafaida na maslahi na heshima ipi hasa ulofunzwa

Wanaotukana watu wazima sikwambii viongozi wa sirkali na taasisi zingine popote pale mitandaoni mitaani au pengine washughulikiwe haswa

Tena wakishatolewa hukmu kama yakifungo ama faini inatakiwa waekwe sehemu watiwe bakora zakutosha ili wawe na adabu

Kutukana watu wowote wakiwemo viongozi haujawahi kua uhuru wakutoa maoni bali ushenzi na utovu wanidhamu
Watu watoe maoni siyo matusi
 
Back
Top Bottom