Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Kwa vyovyote hawa ndugu zetu wasiotakia mema taifa letu, watakuwa wamesambaza vipeperushi vya hovyo katika jumuiya mbali mbali za kimataifa, ili mradi tu, malengo yao ovu, yatimie ikiwepo extensions za ukaazi wao wa kikimbizi huko ughaibuni, pia ikiwepo kutafuta huruma ili wamiminiwe fedha kwa ajili ya matumbo yao!,
Ni hekima, kukaa nao, na kuwaelewesha kinachoendelea, na jitihada za serekali juu ya kutatua haya yaliyojitokeza.
-WASALAAM
Ni hekima, kukaa nao, na kuwaelewesha kinachoendelea, na jitihada za serekali juu ya kutatua haya yaliyojitokeza.
-WASALAAM