Lijenje kama ulikojificha toka sasa tukuone dpp kafanya vitu vyake
Vyote vilikuwa mali ya Kingai.Hivi je na ile bastola na yale madawa ya kulevya?
Kwenye hukumu ya mwisho, jaji alitamka nini?Hivi kashinda au kaombewa msamaha
[emoji40][emoji40]RIP [emoji276]
Ayaaa! Walipe tu! Tena mmgempa maagizo mbowe jana wakat anayeenda kwa mama akawasemeeLaki sita, wakati wanawakamata
Atazitolea kwenye matundu yoyote yatakayopatikana mwilini mwake.Atazinya wallah
Kama hayamhusu umelileta la nini humu simngewasilia hukohukoHayakuhusu
Baba Jambazi toto Jambazi kuna familia nyingine zimelaaniwa