Ni wakati sasa kwa Serikali kumuomba radhi Tundu Lissu aliyeshauri mapema kuachana na madai ya Barrick

Ni wakati sasa kwa Serikali kumuomba radhi Tundu Lissu aliyeshauri mapema kuachana na madai ya Barrick

Nikuulize swali kwani watu wakiwa wanakwenda kufanyiwa operation let's say Cesarean section huwa hawasaini.?

Ulishawahi kujiuliza dhumuni kuu la kusaini?
Kumbe nachart na empty kichwani,nimekuliza chanjo hipi kutoa hii ya coronavirus amboyo ulikwenda kuchanja mpaka unakula kiapo, Wewe unaonge eti operation, unaweza wananisha chanjo na operation kweli.
 
Kumbe nachart na empty kichwani,nimekuliza chanjo hipi kutoa hii ya coronavirus amboyo ulikwenda kuchanja mpaka unakula kiapo, Wewe unaonge eti operation, unaweza wananisha chanjo na operation kweli.
Mimi nilidhani unaelewa hata mambo ya msingi kumbe unatetea legacy uchwara haya nenda kajadiliane na walio kwenye ligi yako.
 
Mataga walikuwa wanashangilia na kukenua tu meno.
Crimea mmojawapo
Kila mwenye akili timamu alijua kuwa madai yale ulikuwa uwongo mkubwa. Ni sawa uambiwe kuwa mwenye duka la mtaji wa 2m anadaiwa kodi ya sh 2 bilioni. Lazima uwe punguani kiasi kuweza kuliamini hilo.

Total gold resource ya migodi yote ya Barrick kwa Tanzania ni 0.75MOz Tulawaka + 4MOz Buzwagi + 7MOZ North Mara + 12MOZ Bulyanhulu = 23.75MOz. Mineable resource haiwezi kuzidi 60% = 14.25MOz. Dhahabu iliyokwishachimbwa, japo sina uhakika, haiwezi kuzidi 50%.= 7.1MOz. Thamani ya hii dhahabu iloyochimbwa, kwa bei ya juu kabisa, ya U$2,000 kwa oz = $14 billion (14 billion ×2,300 = TZS 32 trillion)

Hata ungesema hiyo hela yote iwe kodi, halafu wasiwe wametoa kodi hata shilingi moja, bado haifikii hata 10% ya trilioni 360 ambayo waliotuona wajinga walikuwa wakituaminisha.

Hata kama walitaka kuwadanganya wananchi, wangeweka huo uwongo wao uwe unakaribia na ukweli. Lakini wahusika kwa vile walijua wanaongoza nchi ya wasio na kitu vichwani, walijua wapo wenye vichwa vitupu kabisa, ambao ni wengi, watashangilia na kuwaona ni mashujaa. Uwongo ule ni miongoni mwa mambo yaliyotufanya waafrika tuendelee kuonekana kuwa siyo binadamu timilifu.

Kwa namna ambavyo baadhi ya watu wakati ule walivyokuwa wameshibishwa ujinga, hata wangeambiwa kuna mpango wa Serikali wa kumnunulia kila mwananchi ndege aina ya Boeing 737-800, wangeshangilia na kusema tumepata mkombozi. Ujinga ni laana kubwa, hasa ujinga ule unaoelekea kwenye upumbavu.
 
Sijui walimfanya nini!
Wewe unajulikana una chuki binafsi na Tundu Lissu hilo halina mjadala. Mbona best wako Mwigulu Nchemba alivyochana bajeti kivuli ya kambi ya upinzani kwa maneno ya kejeli kubwa Bungeni hukutia neno? Wewe una chuki binafsi na Tundu Lissu na unaichukia Chadema kwa nguvu zako zote.
 
Kuamini na kujua ni vitu viwili tofauti. Unaweza kuamini chochote. Unaweza kuamini kuwa Tanzania ipo mwezini, ni imani yako.

Lakini ukweli itabakia pale pale kuwa report ya Mruma ilikuwa ya uwongo mtupu. Maana haiingii akilini kodi ya kampuni moja izidi thamani ya dhahabu ya migodi yote ya dhahabu ya Tanzania. Kukubali hilo, siyo tu inahitajika uwe mjinga hasa, bali inatakiwa ukose akili kabisa.

Lakini kwa Tanzania siyo ajabu sana. Rais Mwinyi wakati anagombea Urais, kule Kigoma alipata kura nyingi za ndiyo kuzidi idadi ya wapiga kura wote wa mkoa wa Kigoma. Huenda na marehemu walifufuka, wakaja wakapiga kura, halafu wakafariki tena mara baada ya kupiga kura.
😅😅😅kumbe wizi hawajaanza leo
 
Wewe unajulikana una chuki binafsi na Tundu Lissu hilo halina mjadala. Mbona best wako Mwigulu Nchemba alivyochana bajeti kivuli ya kambi ya upinzani kwa maneno ya kejeli kubwa Bungeni hukutia neno? Wewe una chuki binafsi na Tundu Lissu na unaichukia Chadema kwa nguvu zako zote.
Pascal bwana ana mikosi sana. Huko ccm hawamtaki na huku nje pia anakataliwa😅😅
 
Hivi ni halali kuiita ripoti za Professor Osoro na Mruma kuwa Professorial Rubish kabla kufanya utafiti mwingine wa kisayansi ili kupata matokeo sahihi.Kwa sasa mtazamo wangu katika taaluma ya Research mpaka sasa Ripoti za Professor Osoro na Mruma ni sahihi mpaka pale itakapofanywa study nyingine.Kwaiyo katika jicho la kitafiti yeye Lissu hoja zake ndiyo Rubish!
Kwa wale ambao tupo au tumewahi kufanya kazi za Research and Consultancy nadhani mmenielewa
Mkuu, japo Kwa sehemu uko sahihi lakini mtu akija kukuambia ameuona mmea wa mahindi mrefu kilometa moja, nadhani huhitaji counter research kuthibitisha au kubatilisha huo uongo. Kwa wachimbaji, na wenye uzoefu na uchimbaji wa dhahabu hawakuhitaji counter research kuthibitisha kwamba the numbers were overly stretched.
 
Mkuu, japo Kwa sehemu uko sahihi lakini mtu akija kukuambia ameuona mmea wa mahindi mrefu kilometa moja, nadhani huhitaji counter research kuthibitisha au kubatilisha huo uongo. Kwa wachimbaji, na wenye uzoefu na uchimbaji wa dhahabu hawakuhitaji counter research kuthibitisha kwamba the numbers were overly stretched.
Naona kinachoudhi ni neno Rubish au kuna kingine?
 
Kwa hiyo mtu akiwa na PhD akiongea/kuandika ujinga uitwe werevu kisa yeye amesoma ana PhD?
Mm nasema hapana ujinga ni ujinga hata kama mtu ni mzee,ana digrii milioni tuwe wakweli kuna wasomi nchi hii ni mizigo na useless kabisa.
Bro lakini si unamjua Pascali Mayala....sijajúa anamaanisha nini,ila rubbish is rubbish,it doesn't matter una PhD au wewe ni Prof
 
Ripoti za Mruma na Osoro juu ya Barrick/Acacia kulimbikiza deni hadi kufikia Trln 425 zilizua mjadala mkubwa ambapo aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu alizikosoa na kuziita ni “Professorial Rubbish Report”.

Lissu alitoa ushauri wake kuwa kutokana na repoti hizo Barrick hawatalipa hilo deni na wakilazimishwa wakienda MIGA watashinda. Lissu alibezwa alipuuzwa na baada ya siku chache alimiminiwa risasi kuwa ni msaliti anayeshirikiana na mabeberu.

Barrick walitoa fedha za (Good faith) US$ 300M sawa na tsh 700b tu kati ya deni lote.

Jana Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba kwa niaba ya serikali amesema serikali imeisamehe Barrick/Acacia deni lote.

Imeichukua serikali miaka mitano 5yrs kukubaliana na ushauri wa Lissu.

Uungwana ni vitendo mnyonge mnyongeni lakini haki zake apewe, Tundu Lissu aombwe radhi.

June 19, 2017
View attachment 2366316
Wala huelewi kitu wewe ndio maana unakimbilia kumsifu yule kichaa lisu.
Sababu ya barric kukubali deni la kodi japo kubwa sana na halilipiki ni ukweli walikua wametuibia kwa miaka mingi kupitia makinikia. Maelewano ya kuboresha mafao ya tz ndio ikawa matokeo ya maelewano mapya.
 
Ripoti za Mruma na Osoro juu ya Barrick/Acacia kulimbikiza deni hadi kufikia Trln 425 zilizua mjadala mkubwa ambapo aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu alizikosoa na kuziita ni “Professorial Rubbish Report”.

Lissu alitoa ushauri wake kuwa kutokana na repoti hizo Barrick hawatalipa hilo deni na wakilazimishwa wakienda MIGA watashinda. Lissu alibezwa alipuuzwa na baada ya siku chache alimiminiwa risasi kuwa ni msaliti anayeshirikiana na mabeberu.

Barrick walitoa fedha za (Good faith) US$ 300M sawa na tsh 700b tu kati ya deni lote.

Jana Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba kwa niaba ya serikali amesema serikali imeisamehe Barrick/Acacia deni lote.

Imeichukua serikali miaka mitano 5yrs kukubaliana na ushauri wa Lissu.

Uungwana ni vitendo mnyonge mnyongeni lakini haki zake apewe, Tundu Lissu aombwe radhi.

June 19, 2017
View attachment 2366316
Lissu alitoa ushauri wake kuwa kutokana na repoti hizo Barrick hawatalipa hilo deni na wakilazimishwa wakienda MIGA watashinda. Lissu alibezwa alipuuzwa na baada ya siku chache alimiminiwa risasi kuwa ni msaliti anayeshirikiana na mabeberu.
 
Ni upuuzi kudhani kila kitu kinahitaji research. Hivi mtu akikuambia amekamata mwizi akiwa amebeba tani 1,000 za mchele kwenye bajaji, utahitaji kwenda kifanya research, kusema kuwa ni uwongo?

Zile report, ya Mruma na Osoro, zilikuwa ni takataka. Na hata wao ukiwauliza (sisi wengine ni watu wa karibu nao), wanakuambia wazi jinsi walivyolazimishwa kuandika upuuzi ule.

Yaani kodi inazidi thamani ya dhahabu yote iloyowahi kuchimbwa Tanzania, halafu bado unahitaji research kujua kuwa zile report zilikuwa takataka?
Tena tulionekana mataahira kweli duniani. Niliangalia vyombo vya habari vya nje jinsi walivyokuwa wanajadili hii issue mpaka unaona aibu. Wakasema hiyo kodi inazidi thamani ya migodi mitatu mikubwa hapa duniani. Waliitaja ila nimesahau majina.
 
Mimi bado naamini ripoti za Wataalam akina prof Muruma ilikuwa sahihi.

Kosa lilikuwa kwenye aapproach ya kuzidai
Unaamini kuwa kodi inazidi mpaka thamani ya dhahabu yote iliyowahi kuchimbwa hapa Tanzania!!! Au unafanya utani?
 
Kwanini nisimwamini, Wakati mambo yote yalifanyika hadharani,na mpaka Sasahivi tokea amefariki akuna aliyejitokeza kusema Magufuli alikuwa mwongo, ukweli ni huu.
Amesemwa kwenye hii issue from the beggining hata kwenye huu uzi, labda kwa sababu ya mapenzi yako kwake unajifanya kipofu huoni.
 
Back
Top Bottom