Ni wakati sasa kwa Serikali kumuomba radhi Tundu Lissu aliyeshauri mapema kuachana na madai ya Barrick

Ni wakati sasa kwa Serikali kumuomba radhi Tundu Lissu aliyeshauri mapema kuachana na madai ya Barrick

I heard something like this kuwa he pulled his own gun using his own hand and done him away!. I don't buy this!, I just don't believe that!.

Ila kama ni kweli, karma imeisha mshughulikia, karma ina ubaya mmoja na uzuri mmoja. Ubaya wa karma unalipwa kwa kadri ya matendo yako, ukitenda uovu utalipwa uovu, ukiua, utauliwa, ila pia ukitenda mema utalipwa mema.

Mtu anaweza kutenda uovu halafu akatenda wema mkubwa kuliko ule uovu, huu wema ukaufuta ule uovu akashangaa kumkuta Osama, Gadafi na Saddam peponi halafu Bush, Blair na Obama wakaenda motoni!.

Karma pia ina uzuri mwingine, ukiadhibiwa na karma deni la karma linakuwa limelipwa in full na baada ya hapo unabarikiwa, hivyo huyu jamaa yuko peponi Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Pasiko Bwana
 
Pia unaweza kukokotoa namna hii.

300 000 000 ÷ 191 000 000 000 =

(3 ÷ 1910 ) × 100 = 0.157 %

Barrick wamelipa 0.16% ya deni lote.

Makisio ya haraka ni sawa na mtu akuibie sh 1000 halafu wewe ukubali akulipe senti 16.
 
Ripoti za Mruma na Osoro juu ya Barrick/Acacia kulimbikiza deni hadi kufikia Trln 425 zilizua mjadala mkubwa ambapo aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu alizikosoa na kuziita ni “Professorial Rubbish Report”.

Lissu alitoa ushauri wake kuwa kutokana na repoti hizo Barrick hawatalipa hilo deni na wakilazimishwa wakienda MIGA watashinda. Lissu alibezwa alipuuzwa na baada ya siku chache alimiminiwa risasi kuwa ni msaliti anayeshirikiana na mabeberu.

Barrick walitoa fedha za (Good faith) US$ 300M sawa na tsh 700b tu kati ya deni lote.

Jana Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba kwa niaba ya serikali amesema serikali imeisamehe Barrick/Acacia deni lote.

Imeichukua serikali miaka mitano 5yrs kukubaliana na ushauri wa Lissu.

Uungwana ni vitendo mnyonge mnyongeni lakini haki zake apewe, Tundu Lissu aombwe radhi.

June 19, 2017
View attachment 2366316
Kuna watu wananifaika na mgawo WA hista za uwekezaji ambazo ni muwekezaji na wazawa. Wazawa ni kinani? He baada ya kuondoka adui Yao mkubwa wapo tayari kuendeleza madai? Kifupi Bora upiganie tumbo kuliko kupigania Tanzania imejaa unafiki na mawazo ya kimaskini. Mtu asijiamini na kujitambua ni ngumu sana kusadia. Juhudi zinafanyika kuhakikisha wananchi wanaaminishwa hapakuwa na msingi WA madai hayo.
 
Si mngeomba tu kuliko kuwa blackmail kwa madai ya uongo? Au mliomba mkanyimwa mkaona muwabambikie kama ilivyokua ada?

Bahati mbaya mkawakuta wazungu ni wasomi na hawaburuzwi, mkakubali wenyewe kukaa mezani.
Haswa! ujanja kupata bibie, 700 B si haba
 
Hakuna anayejali yaliyoko nyuma ya kuibuka hilo suala sasa, lakini toka wakati lilipoibuka huko nyuma tulisema kuna uongo mwingi kwenye ripoti ile. Wafuasi wa CDM wako active, hivyo ni lazima wajadili jambo lolote kwa namna wanavyoona wao. Hao wafuasi wa vyama vingine wao wako wapi kujadili, au wao ni maiti hai hivyo hawajigusi kwa lolote?
Ni mazuzu
 
Kuna watu wananifaika na mgawo WA hista za uwekezaji ambazo ni muwekezaji na wazawa. Wazawa ni kinani? He baada ya kuondoka adui Yao mkubwa wapo tayari kuendeleza madai? Kifupi Bora upiganie tumbo kuliko kupigania Tanzania imejaa unafiki na mawazo ya kimaskini. Mtu asijiamini na kujitambua ni ngumu sana kusadia. Juhudi zinafanyika kuhakikisha wananchi wanaaminishwa hapakuwa na msingi WA madai hayo.
Inawezekana
 
Moja ya vitu ambavyo JPM aliisaidia hii nchi na WaAfrica kwa ujumla ni kuitingisha Barrick na kuionyesha dunia huku Africa sio watu wote WAPUMBAVU.... bali ni wajinga na wapumbavu wachache ndio husababisha yoote haya.

Barrick kwa sasa imebadilisha baadhi ya strategies zake za kufanya kazi Tanzania baada ya ule mgogoro, ikiwa ni pamoja na kuwepo wenyewe kwenye operation na sio kuendelea kudeal na madalali wahuni kama ACACIA mara sijui PANGEA mara ABG nk ili watu wapigie 10% huko.., hii imesaidia kuwepo kwa kampuni iitwayo TWIGA kama joint venture ya GOT na BARRICK pamoja na kuongeza baadhi ya shares za nchi yetu.

TL ni moja yawanufaika kwa ACACIA, yeye na "Shangazi" kupitia kampuni ya IMMA advocate, binafsi naona alikuwa na maslahi ya moja kwa moja na ACACIA..

Huwezi kudeal na BARRICK mamafia kupitia mifumo hii ya kisheria inayomilikiwa na hawa wala rushwa, wezi na wanafiki wanaowaza maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, njia pekee ya kudeal na Barrick ni either uwe mafia zaidi yao au "UJITOE AKILI" NA KUWACHANGANYA KABISA.
JPM anapaswa kupewa tuzo kwa kuwatingisha hawa watu kwa maslahi ya Taifa..

TL anawaza "KITOTO" na sio mtu wakumuamini, uwezo wa mambo ya kidunia ni mdogo sana sana kudeal na haya mambo zaidi ya kuongozwa na mihemuko ya kisiasa na kiburi cha ujuaji, TL anaweza kuwa mzuri kwenye taaluma yake ya sheria kama ambavyo kila mtu anaweza kuwa mzuri kwenye taaluma yake lakini sio UELEWA MPANA WA MAMBO...
 
ACACIA ilikuwa kampuni ya kihuni aka middle man iliyotengezwa na BARRICK kulinda image yake incase of problems, kupitia ACACIA 10% zoote za wanasiasa wapumbavu na wajinga wote wabinafsi zilikuwa zikipita huko...

ACACIA haipo popote Africa kwenye business na Tanzania ni sehemu pekee Barrick alioperate kupitia Agency ( ACACIA) lengo ni kufanya cover siku kibao kikigeuka.

Watanzania tungekuwa na akili sana kama tungeandamana kushinikiza wanufaika woote wa ACACIA na uwepo wake watafutwe wafirisiwe na kukamatwa maana wameitafuna sana nchi yetu.
 
Japo ni kweli lakini sio busara kufanya ukosoaji kwa kutumia maneno makali yenye lugha ya maudhi, wewe huna Ph.D, ripoti ya Ph.D holder, huwezi kuita "a professior rubish". Hata akina sisi tuliikosoa ripoti hiyo lakini tulitumia lugha ya kistaarabu! Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni swali tu...


Serikali, mabenki na taasisi za fedha ziko huru kusamehe sehemu ya deni au deni lote, kitu muhimu ni wenye fedha zao kujulishwa. Licha ya umasikini wote uliotopea wa nchi yetu, hakuna ubaya wowote kusamehe deni lolote kwa yeyote, lakini lazima utoe sababu why unasamehe, ila pia unaposamehe majizi ndio muhimu zaidi kuwa transparent, ili isije kuonekana viongozi wetu wamekuwa compromised !.

Kwenye hili hebu msikilizeni kwa makini,


View attachment 2366449

Mtu anayeongea lugha hizi, ombwe radhi kwa lipi?. Ila pia Tundu Lissu aliishaondoa hilo neno "professiol rubish"
P
ukiondoa maneno yanayoudhi, zinabaki facts ulizowasilisha. ahukumiwe kwa hizo facts. ukwell ni kwamba wamekiri alikuwa right. ss kama mlimhukumu na mlikosea kuna ubaya gani kusema "...we're sorry, you were very right and we were wrong". ni uungwana pia... au!
 
Ripoti za Mruma na Osoro juu ya Barrick/Acacia kulimbikiza deni hadi kufikia Trln 425 zilizua mjadala mkubwa ambapo aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu alizikosoa na kuziita ni “Professorial Rubbish Report”.

Lissu alitoa ushauri wake kuwa kutokana na repoti hizo Barrick hawatalipa hilo deni na wakilazimishwa wakienda MIGA watashinda. Lissu alibezwa alipuuzwa na baada ya siku chache alimiminiwa risasi kuwa ni msaliti anayeshirikiana na mabeberu.

Barrick walitoa fedha za (Good faith) US$ 300M sawa na tsh 700b tu kati ya deni lote.

Jana Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba kwa niaba ya serikali amesema serikali imeisamehe Barrick/Acacia deni lote.

Imeichukua serikali miaka mitano 5yrs kukubaliana na ushauri wa Lissu.

Uungwana ni vitendo mnyonge mnyongeni lakini haki zake apewe, Tundu Lissu aombwe radhi.

June 19, 2017
View attachment 2366316
😅😅😅Daah
 
ACACIA ilikuwa kampuni ya kihuni aka middle man iliyotengezwa na BARRICK kulinda image yake incase of problems, kupitia ACACIA 10% zoote za wanasiasa wapumbavu na wajinga wote wabinafsi zilikuwa zikipita huko...

ACACIA haipo popote Africa kwenye business na Tanzania ni sehemu pekee Barrick alioperate kupitia Agency ( ACACIA) lengo ni kufanya cover siku kibao kikigeuka.

Watanzania tungekuwa na akili sana kama tungeandamana kushinikiza wanufaika woote wa ACACIA na uwepo wake watafutwe wafirisiwe na kukamatwa maana wameitafuna sana nchi yetu.
Wahuni ni ccm iliyowakabidhi rasilimali za Watanzania kwa maslahi yao
 
Pia unaweza kukokotoa namna hii.

300 000 000 ÷ 191 000 000 000 =

(3 ÷ 1910 ) × 100 = 0.157 %

Barrick wamelipa 0.16% ya deni lote.

Makisio ya haraka ni sawa na mtu akuibie sh 1000 halafu wewe ukubali akulipe senti 16.
Pasca Mayalla alisema nikishika Uchumba
 
Kwa hiyo mtu akiwa na PhD akiongea/kuandika ujinga uitwe werevu kisa yeye amesoma ana PhD?
Mm nasema hapana ujinga ni ujinga hata kama mtu ni mzee,ana digrii milioni tuwe wakweli kuna wasomi nchi hii ni mizigo na useless kabisa.
Ndio maana Mbunge Msukuma anawadharau wasomi kama akina Pascal Mayalla.

Unaona hizo aguement zake za ajabu.
 
Back
Top Bottom