Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
Ni wakati muafaka Sasa walimu waachwe wapumzike na mazoezi haya kama ilivyo kwenye sensa, post code na mazoezi mengine ya kitaifa serikali itumie Hawa vijana wasio na ajira ili kuinua vipato vyao.
Tuache kuwatumia walimu kwenye uchaguzi
Tutumie Hawa vijana wasio na ajira.
Mwisho.
Tuache kuwatumia walimu kwenye uchaguzi
Tutumie Hawa vijana wasio na ajira.
Mwisho.