Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa kweli aisee. Wengi wametoa siri za ndani kabisa za binafsi, za Jamii au hata Taifa kwa kupitia tendo hilo. Tendo hilo limewaangamiza wengi sana na hata nchi pia.Madada poa nao wanamchango kwenye kuimarisha usalama wa nchi.
Yeah. Kungekuwa hakuna wateja wa uhakika , soko lao lingeyumba sana na hatimaye lingelijifia lenyewe.Uzuri nyie ndio wateja wao.
Mbona unatutukana wa mkoani mkuu? Kosa letu kulima mahindi ili ule ugali ushibe uje ututukane faler wewe?Wekeni mazingira wezeshi,na muache shobo kenge nyie.
Mbeya iko wapi?Mbona mikoani iko kitamboo tyuuh.
Mkuu acha dharau, ndoa huwezi fananisha na umalayaBora hao wameamua kuwa wazi,je hao wengine wanaodanga au kuuza uchi kwa kisingizio Cha mahusiano,uchumba au ndoa!!yaani bila kutoa Hela hupewi gem,bila kumnunulia chocchote hupati kitu kana kwamba hawana hamu ya mapenzi!!
Wakuu wanapelekewa hotelini, kitu kimenyookakino pale ukitokea mnyamla kabla ya kwa robi wani ni mapema tu tena pembeni wanauza ftari afu wao wako kwa mbele kwenye uwanja alooo. Kazi sanaa. Afrika sana kumepoa siku hizi. Ilikuaga sa12 tu jion hata jua halijapotea, wako kama wote. Vita ngumu hii, ukute hata mkuu nae na kelele zile kumbe ni mteja wao tu.
Kijipakulia tu, futa tupuuuWazee wa nyama hii ni habar kubwa
Wazee wa vizimbuzi wata haki tu mchongoSerikali i officilize tu tupate na kodi.. wafungiwe meter kwenye vikojoleo ili kujua viwango vyao vya matumizi.
Ni mateso sema nyege ndo zinatupeleka na hela yao ndogo bk 5 tu.ila ukiwa na Demu ni shuhuli.Sawa, hatukatai uwepo wao, ila wana changamoto katika kutoa huduma zao. Unalipia lakini hutaambulia utamu mpaka mwisho. Wana mambo ya ajabu sana, wanaongeza bei ukichelewa kupiga bao la mwanzo, unaweza kujikuta unasukumwa mbali utoke kifuani mwake kama utachelewa kupiga bao
Mteja muamdamiziSawa, hatukatai uwepo wao, ila wana changamoto katika kutoa huduma zao. Unalipia lakini hutaambulia utamu mpaka mwisho. Wana mambo ya ajabu sana, wanaongeza bei ukichelewa kupiga bao la mwanzo, unaweza kujikuta unasukumwa mbali utoke kifuani mwake kama utachelewa kupiga bao
ikiondolewa kesi za ubakaji zitaongezekaHi biashara sasa imekua holela sana, yani hawa wadada wanaamua popote kambi, mtaani imekua kero sana.
Sehemu haina baa wala nini lakini wanamua kuchukua nyumba na kuweka kambi.
Nimeshangaa kukuta wadada wanaojiuza kinyerezi mbuyuni na segerea chama sehemu ambayo haina baa na pako kimya ni makazi ya watu, tena saa tatu tayari wako barababarani.
Ku pretend hili suala halipo, ni kuweka vichwa vyetu kwenye mchanga huku miili yote iko nje.
Ni vema sasa hawa watu wawe na maeneo maalum ya mambo yao, watuachie mitaa /maeneo ya makazi. Si jambo jema kabisa.
Hata ni mtaa moja basi wapeni wakae
Hiki ni chakula cha wenyewe, huwezi kuzuiaHi biashara sasa imekua holela sana, yani hawa wadada wanaamua popote kambi, mtaani imekua kero sana.
Sehemu haina baa wala nini lakini wanamua kuchukua nyumba na kuweka kambi.
Nimeshangaa kukuta wadada wanaojiuza kinyerezi mbuyuni na segerea chama sehemu ambayo haina baa na pako kimya ni makazi ya watu, tena saa tatu tayari wako barababarani.
Ku pretend hili suala halipo, ni kuweka vichwa vyetu kwenye mchanga huku miili yote iko nje.
Ni vema sasa hawa watu wawe na maeneo maalum ya mambo yao, watuachie mitaa /maeneo ya makazi. Si jambo jema kabisa.
Hata ni mtaa moja basi wapeni wakae
Kiongozi mimi nakaa Kinyerezi Mbuyuni mbona sijawahi kuwaona maeneo hayaKinyerezi mbuyuni
Sengerea chama
Noted