Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Toa codeUnataka location?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa codeUnataka location?
Mwaga maji MkuuUnataka location?
Hahah Kaka Chawa hapa mbona kama unatupiga kamba.Hiyo biashara haizuiliki.. unaambiwa Nuhu anajenga Safina watu wapo zao gesti wanapeana utamu kuja kushtuka tayari gharika imeanza ndo malaya nao kuanza kumwambia Nuhu tufungulie mlango.
Kheri 30miaka au kwenda huko?!Kinyerezi mbuyuni
Sengerea chama
Noted
Kasheshe 😆mkiacha kuhongwa watapungua hao wanafamilia na bado wataongezeka kama hali itakuwa ngumu hv
Wewe K uwe na adabu. Mimi sio chawaHahah Kaka Chawa hapa mbona kama unatupiga kamba.
Kwani wanauza nyara za serikali?Hi biashara sasa imekua holela sana, yani hawa wadada wanaamua popote kambi, mtaani imekua kero sana.
Sehemu haina baa wala nini lakini wanamua kuchukua nyumba na kuweka kambi.
Nimeshangaa kukuta wadada wanaojiuza kinyerezi mbuyuni na segerea chama sehemu ambayo haina baa na pako kimya ni makazi ya watu, tena saa tatu tayari wako barababarani.
Ku pretend hili suala halipo, ni kuweka vichwa vyetu kwenye mchanga huku miili yote iko nje.
Ni vema sasa hawa watu wawe na maeneo maalum ya mambo yao, watuachie mitaa /maeneo ya makazi. Si jambo jema kabisa.
Hata ni mtaa moja basi wapeni wakae
Ulijuaje wanaajiuza?Hi biashara sasa imekua holela sana, yani hawa wadada wanaamua popote kambi, mtaani imekua kero sana.
Sehemu haina baa wala nini lakini wanamua kuchukua nyumba na kuweka kambi.
Nimeshangaa kukuta wadada wanaojiuza kinyerezi mbuyuni na segerea chama sehemu ambayo haina baa na pako kimya ni makazi ya watu, tena saa tatu tayari wako barababarani.
Ku pretend hili suala halipo, ni kuweka vichwa vyetu kwenye mchanga huku miili yote iko nje.
Ni vema sasa hawa watu wawe na maeneo maalum ya mambo yao, watuachie mitaa /maeneo ya makazi. Si jambo jema kabisa.
Hata ni mtaa moja basi wapeni wakae