Ni wakati sasa Serikali iingilie kati suala la wadada wanaojiuza

Ni wakati sasa Serikali iingilie kati suala la wadada wanaojiuza

Hiyo biashara haizuiliki.. unaambiwa Nuhu anajenga Safina watu wapo zao gesti wanapeana utamu kuja kushtuka tayari gharika imeanza ndo malaya nao kuanza kumwambia Nuhu tufungulie mlango.
Hahah Kaka Chawa hapa mbona kama unatupiga kamba.
 
mkiacha kuhongwa watapungua hao wanafamilia,mume na watoto wanamtegemea na bado wataongezeka kama hali itakuwa ngumu hv
 
Hi biashara sasa imekua holela sana, yani hawa wadada wanaamua popote kambi, mtaani imekua kero sana.

Sehemu haina baa wala nini lakini wanamua kuchukua nyumba na kuweka kambi.

Nimeshangaa kukuta wadada wanaojiuza kinyerezi mbuyuni na segerea chama sehemu ambayo haina baa na pako kimya ni makazi ya watu, tena saa tatu tayari wako barababarani.

Ku pretend hili suala halipo, ni kuweka vichwa vyetu kwenye mchanga huku miili yote iko nje.

Ni vema sasa hawa watu wawe na maeneo maalum ya mambo yao, watuachie mitaa /maeneo ya makazi. Si jambo jema kabisa.

Hata ni mtaa moja basi wapeni wakae
Kwani wanauza nyara za serikali?
 
Hi biashara sasa imekua holela sana, yani hawa wadada wanaamua popote kambi, mtaani imekua kero sana.

Sehemu haina baa wala nini lakini wanamua kuchukua nyumba na kuweka kambi.

Nimeshangaa kukuta wadada wanaojiuza kinyerezi mbuyuni na segerea chama sehemu ambayo haina baa na pako kimya ni makazi ya watu, tena saa tatu tayari wako barababarani.

Ku pretend hili suala halipo, ni kuweka vichwa vyetu kwenye mchanga huku miili yote iko nje.

Ni vema sasa hawa watu wawe na maeneo maalum ya mambo yao, watuachie mitaa /maeneo ya makazi. Si jambo jema kabisa.

Hata ni mtaa moja basi wapeni wakae
Ulijuaje wanaajiuza?
Watu wapo nje Wana discuss Mambo Yao wewe unawaza ngono.
 
Back
Top Bottom