Echisute
JF-Expert Member
- Oct 16, 2018
- 531
- 524
Subiri katiba mpya mkuu!Ukitaka mambo ya siri kafugue ofisi binafsi,ofisi ya Umma ni lazima umma ujue.Kwa mfano Kenya Rais Uhuru Kenyatta amestaafu kila malipo yake na stahiki zake zipo public sasa nikuulize wewe Rais wa Tanzania analipwa mshahara shilingi ngapi na akistaafu stahiki zake ni zipi!