Subiri katiba mpya mkuu!Ukitaka mambo ya siri kafugue ofisi binafsi,ofisi ya Umma ni lazima umma ujue.Kwa mfano Kenya Rais Uhuru Kenyatta amestaafu kila malipo yake na stahiki zake zipo public sasa nikuulize wewe Rais wa Tanzania analipwa mshahara shilingi ngapi na akistaafu stahiki zake ni zipi!
we ni mchawi? mishahara ya watu itakusaidia nini katafute shughuli ya kufanya acha kujisumbua na mambo yasiyokuhusu.Tunata kujua , mambo ya siri ya nini?
Mbona dunia ya kwanza huweka mshahara wazi?
Kwan siri ya nini kwenye masuala ya kiserikali. Mtumishi wa uma ni mali ya uma. Raia anatakiwa kujua mshahara wa kila mtendaji au mfanyakazi aliyepo serikalini.mshahara ni siri ya mfanyakazi, ujue mshahara wake ili iweje. Kafanye shughuli zako acha kuhangaika na visivyokuhusu. Ulisikia lini mfanyabiashara akatangaza mapato yake? Huyo mfanyakazi mlifanya kazi wote mpaka ujue mshahara wake? uwe serious kijana.
Hakuna anachoweza kusema zaidi ya kukisia kisia tu. Sababu kuna wizi mwingi sana unafanyika.Ukitaka mambo ya siri kafugue ofisi binafsi,ofisi ya Umma ni lazima umma ujue.Kwa mfano Kenya Rais Uhuru Kenyatta amestaafu kila malipo yake na stahiki zake zipo public sasa nikuulize wewe Rais wa Tanzania analipwa mshahara shilingi ngapi na akistaafu stahiki zake ni zipi!
Sisi huku kwetu Kila kitu ni Giza tupu.Hakuna anachoweza kusema zaidi ya kukisia kisia tu. Sababu kuna wizi mwingi sana unafanyika.
SIdhani kama halmashauri wangepata wahandisi.Kwa mentality ya vijana wa sasa kuna taasisi mishahara ikiwekwa hadharani hazitopata waombaji kazi kabisa
Hii wanaita nyundo kilo 20 ya kichwa!Hebu nitajie mshahara anaolipwa Mwalimu hapo London ili tujue uhalisia wa hiki unachokisema, au hata Mwanajeshi wa Russia ili utufumbue macho
Na wao wanasema huko kwa wenzetu mishahara ni siriHuko kwa wenzetu mishahara ni wazi