Ni wakati sasa Serikali ya Tanzania kuibana Serikali ya Israel kutuambia miili ya Watanzania ipo wapi?

Ni wakati sasa Serikali ya Tanzania kuibana Serikali ya Israel kutuambia miili ya Watanzania ipo wapi?

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Balozi wa Tanzania nchini Israel Alex Kallua aliwahi kuiambia BBC kuwa ofisi yake pia imepata uthibitisho kutoka kwa mamlaka za Israel kuwa raia wawili wa Tanzania ni mateka wa Hamas.

Jumapili yalifanyika makubaliano ya kudalishana wafungwa na mateka pamoja na miili ya marehemu, hamna mahali tumeambiwa na Israel kuwa kuna miili ya ndugu zetu Watanzania.

Ni wakati sasa wa Serikali ya Tanzania kuibana serikali ya Israel watuambie miili ya ndugu zetu ipo wapi maana jana Netanyahu, alisema wanayo majina yote na mateka na miili.

Jina la Joshua Molle, alipo kwenye orodha.
 
Hawana uwo uthubutu
Joshua Mollel Yupo wapi? Kuna wanafiki humu JF povu liliwatoka walivyoambiwa kwa Joshua Mollel kachukuliwa na Hamas kumbe Waisrael walikuwa waongo leo hii tulivyokuwa wanafiki baada ya kujua ilikuwa uongo hamna anayeuliza tena daaah😂
 
Wanaukumbi.

Balozi wa Tanzania nchini Israel Alex Kallua aliwahi kuiambia BBC kuwa ofisi yake pia imepata uthibitisho kutoka kwa mamlaka za Israel kuwa raia wawili wa Tanzania ni mateka wa Hamas.

Jumapili yalifanyika makubaliano ya kudalishana wafungwa na mateka pamoja na miili ya marehemu, hamna mahali tumeambiwa na Israel kuwa kuna miili ya ndugu zetu Watanzania.

Ni wakati sasa wa Serikali ya Tanzania kuibana serikali ya Israel watuambie miili ya ndugu zetu ipo wapi maana jana Netanyahu, alisema wanayo majina yote na mateka na miili.

Jina la Joshua Molle, alipo kwenye orodha.
Walikufaje kufaje?
 
Wanaukumbi.

Balozi wa Tanzania nchini Israel Alex Kallua aliwahi kuiambia BBC kuwa ofisi yake pia imepata uthibitisho kutoka kwa mamlaka za Israel kuwa raia wawili wa Tanzania ni mateka wa Hamas.

Jumapili yalifanyika makubaliano ya kudalishana wafungwa na mateka pamoja na miili ya marehemu, hamna mahali tumeambiwa na Israel kuwa kuna miili ya ndugu zetu Watanzania.

Ni wakati sasa wa Serikali ya Tanzania kuibana serikali ya Israel watuambie miili ya ndugu zetu ipo wapi maana jana Netanyahu, alisema wanayo majina yote na mateka na miili.

Jina la Joshua Molle, alipo kwenye orodha.
Ila wee jamaa unawachukia wayahudi kuliko hata mtume wako aisee,duh!
 
Wanaukumbi.

Balozi wa Tanzania nchini Israel Alex Kallua aliwahi kuiambia BBC kuwa ofisi yake pia imepata uthibitisho kutoka kwa mamlaka za Israel kuwa raia wawili wa Tanzania ni mateka wa Hamas.

Jumapili yalifanyika makubaliano ya kudalishana wafungwa na mateka pamoja na miili ya marehemu, hamna mahali tumeambiwa na Israel kuwa kuna miili ya ndugu zetu Watanzania.

Ni wakati sasa wa Serikali ya Tanzania kuibana serikali ya Israel watuambie miili ya ndugu zetu ipo wapi maana jana Netanyahu, alisema wanayo majina yote na mateka na miili.

Jina la Joshua Molle, alipo kwenye orodha.
Waulize hamas waliowauwa
 
Wanaukumbi.

Balozi wa Tanzania nchini Israel Alex Kallua aliwahi kuiambia BBC kuwa ofisi yake pia imepata uthibitisho kutoka kwa mamlaka za Israel kuwa raia wawili wa Tanzania ni mateka wa Hamas.

Jumapili yalifanyika makubaliano ya kudalishana wafungwa na mateka pamoja na miili ya marehemu, hamna mahali tumeambiwa na Israel kuwa kuna miili ya ndugu zetu Watanzania.

Ni wakati sasa wa Serikali ya Tanzania kuibana serikali ya Israel watuambie miili ya ndugu zetu ipo wapi maana jana Netanyahu, alisema wanayo majina yote na mateka na miili.

Jina la Joshua Molle, alipo kwenye orodha.
Tuache kuwabana waliofanya mauaji tukabanane na waliookota miili? Hizi ni akili za wapi?
 
Wanaukumbi.

Balozi wa Tanzania nchini Israel Alex Kallua aliwahi kuiambia BBC kuwa ofisi yake pia imepata uthibitisho kutoka kwa mamlaka za Israel kuwa raia wawili wa Tanzania ni mateka wa Hamas.

Jumapili yalifanyika makubaliano ya kudalishana wafungwa na mateka pamoja na miili ya marehemu, hamna mahali tumeambiwa na Israel kuwa kuna miili ya ndugu zetu Watanzania.

Ni wakati sasa wa Serikali ya Tanzania kuibana serikali ya Israel watuambie miili ya ndugu zetu ipo wapi maana jana Netanyahu, alisema wanayo majina yote na mateka na miili.

Jina la Joshua Molle, alipo kwenye orodha.
Mwenyezi Mungu anisamehe, ila wewe si punguani tu bali umelaaniwa. Tafuta tiba la sivyo, ngoja niishir hapo
 
Ningeshangaa mwanamgambo wa Buza awe na akili timamu.

 
Aisee wewe jamaa, udini utakuua. Yaani joshua Mollel alipigwa risasi ni Hamas huku wanatamka maneno yenu ya allahu wakbar halafu huoni huo unyama wa kuuliwa mtanzania mwenzako kisa unalinda ndugu zako waarabu wa hamas.
Hakika Mungu akusamehe
 
Gaidi ni gaidi tu haijalishi hata awe mmatumbi wa Kilwa Kivinje atabaki kuwa gaidi ili mradi tu afuate utamaduni wa kiarabu. Bure kabisa.
 
Wanaukumbi.

Balozi wa Tanzania nchini Israel Alex Kallua aliwahi kuiambia BBC kuwa ofisi yake pia imepata uthibitisho kutoka kwa mamlaka za Israel kuwa raia wawili wa Tanzania ni mateka wa Hamas.

Jumapili yalifanyika makubaliano ya kudalishana wafungwa na mateka pamoja na miili ya marehemu, hamna mahali tumeambiwa na Israel kuwa kuna miili ya ndugu zetu Watanzania.

Ni wakati sasa wa Serikali ya Tanzania kuibana serikali ya Israel watuambie miili ya ndugu zetu ipo wapi maana jana Netanyahu, alisema wanayo majina yote na mateka na miili.

Jina la Joshua Molle, alipo kwenye orodha.
Uko sahihi! Njia rahisi zaidi ni kuinyima misaada; fanyeni hivyo! Ikishindikana pelekeni fighter jets mkafanye yenu.
 
Gaidi ni gaidi tu haijalishi hata awe mmatumbi wa Kilwa Kivinje atabaki kuwa gaidi ili mradi tu afuate utamaduni wa kiarabu. Bure kabisa.
Utakuta miarabu koko bibi zao walibakwa ikaja duniani nayo inatetea ujinga humu!
 
Back
Top Bottom