Ni wakati sasa Serikali ya Tanzania kuibana Serikali ya Israel kutuambia miili ya Watanzania ipo wapi?

Ni wakati sasa Serikali ya Tanzania kuibana Serikali ya Israel kutuambia miili ya Watanzania ipo wapi?

Wanaukumbi.

Balozi wa Tanzania nchini Israel Alex Kallua aliwahi kuiambia BBC kuwa ofisi yake pia imepata uthibitisho kutoka kwa mamlaka za Israel kuwa raia wawili wa Tanzania ni mateka wa Hamas.

Jumapili yalifanyika makubaliano ya kudalishana wafungwa na mateka pamoja na miili ya marehemu, hamna mahali tumeambiwa na Israel kuwa kuna miili ya ndugu zetu Watanzania.

Ni wakati sasa wa Serikali ya Tanzania kuibana serikali ya Israel watuambie miili ya ndugu zetu ipo wapi maana jana Netanyahu, alisema wanayo majina yote na mateka na miili.

Jina la Joshua Molle, alipo kwenye orodha.
Hawakuweza kupata miili ya watu wao wenyewe mpaka walipotolewa jana kwa hiari ya Hamas.

Wanawezaje kujua Watanzania wako wapi ? Get a grip.
 
Umesema ww sio HAMAS Hamas kama wamesema idadi yote lkn awa wetu awamo nitaendelea kuamin watanzania walikufa kwaabahati mbaya kutoka kwa walowezi wa kizayuni ambao wkt wanakimbia ile Kambi iliovamiwa kuelekea ndani zaid ya Israel wakakutana na wahuni wa kizayuni kila mmoja alipita njia yake uyu moja ndio akanasa kwa Zayuni wakidhani awa ndio wavamizi wao vile awakuwa na ufaam wa maeneo ayo pengine Maiti yake itapatikana baada ya miez 6 ivi ikiwa aman itakuwepo wachunguzi wataitaji muda naamin sio watz tu ndio awaonekani watakuwepo na wengine lkn hii inataji muda kuchunguza vile Babake kaenda kule waisrael wanaweza kuwa wamemchukua sampuli ya yake ayu kwasasa atapatikana ndani ya Israel lkn wao watasema alizikwa GAZA
Leta uthibitisho wa baba yake akisema sio mtoto wake kwenye video hayo maneno mengi ya nini
 
Wewe ni boya na fala uliyepitiliza. Ni lini uliongea na baba yake akasema huyo siyo Joshua.
Yaani utumwa wa kiarabu umekukaa akilini hadi umekuwa msukule.
Kwa hiyo marafiki zake waliyosoma naye SUA nao walikataa. Matusi tu kumbe ushakuwa zwazwa la kiarabu. Usiniweke kundi moja na wewe kwa sababu mimi sishobokei tamaduni za watu kama wewe.

Huo uislmau wako haukupeleki popte na haitotokea ukawa mwarabu na huo weusi wako. Kuna watu mna laana na upambavu umewazidi sana.
Nimemwambia alete clip baba yake joshua akisema yule sio mtoto wake amebaki anarukaruka tu
 
Walipotosha Quran wakaiamini wenyewe.. sasa kifo cha Joshua ambacho Hamas walirekodi kabisa mtumwa wa Allah anasema upumbavu ni kumuacha mjalana huyu.. upumbavu na ujinga ni mafunzo ya Allah
 
Wanaukumbi.

Balozi wa Tanzania nchini Israel Alex Kallua aliwahi kuiambia BBC kuwa ofisi yake pia imepata uthibitisho kutoka kwa mamlaka za Israel kuwa raia wawili wa Tanzania ni mateka wa Hamas.

Jumapili yalifanyika makubaliano ya kudalishana wafungwa na mateka pamoja na miili ya marehemu, hamna mahali tumeambiwa na Israel kuwa kuna miili ya ndugu zetu Watanzania.

Ni wakati sasa wa Serikali ya Tanzania kuibana serikali ya Israel watuambie miili ya ndugu zetu ipo wapi maana jana Netanyahu, alisema wanayo majina yote na mateka na miili.

Jina la Joshua Molle, alipo kwenye orodha.
Waulize waabudu shetani kaallah wenzako
Screenshot_20250112-233952_Chrome.jpg
 
Ulivyokuwa punguani unashikiwa akili hao ni Hamas? Pimbi kweli wewe. Niulize nani kapost hivyo video.
Kama mtume wenu Mohammad alikuwa na mambo ya kike, tutegemee nini kwa wafuasi wake
Screenshot_20240923-160638_Chrome.jpg
 
Uko sahihi! Njia rahisi zaidi ni kuinyima misaada; fanyeni hivyo! Ikishindikana pelekeni fighter jets mkafanye yenu.
Hebu rudia tena!!!!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😃
 
Hebu rudia tena!!!!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😃
Wakati mwingine tumia akili yako aliyekupa Mungu, usipende kushikiwa akili kama punguani, Israel walisema mwili wa Joshua umechukuliwa na Hamas, wakati wa makubaliano ya wafungwa na mateka pamoja na miili israel hawajasema jina la Joshua, Hamas wana maiti nyingi lakini hawana maiti ya Joshua, sasa hapo tumia akili yako.
 
Wakati mwingine tumia akili yako aliyekupa Mungu, usipende kushikiwa akili kama punguani, Israel walisema mwili wa Joshua umechukuliwa na Hamas, wakati wa makubaliano ya wafungwa na mateka pamoja na miili israel hawajasema jina la Joshua, Hamas wana maiti nyingi lakini hawana maiti ya Joshua, sasa hapo tumia akili yako.
Kwanza baki ukijua Israel si Hamas wanaoshikilia mpaka maiti za watu waliowaua wao wenyewe ili walipwe!! Israel si wajinga kama Magaidi ya Hamas. Oct 07,2023 magaidi ya Hamas waliteka watu na wakateka mpaka maiti za watu waliowauwa wao wenyewe wakitarajia kulipwa pesa. Israel haiwezi kulaumiwa kwa uvamizi na mauaji ya Oct 07,2023 yaliyofanywa na magaidi wa Hamas. Ni uzuzu kutaka kuisukumizia lawama Israel
 
Mtume aliwachinja Wayahudi kabisa pale qurayza Hawa makobaz wa kwenye mitandao huandika andika tu ila hawana uwezo wa chochote.
Kumbe ndio chuki ilipoanzia. Mtume aliwachinga kwa sababu gani?! Au walikataa kusilimu na kufuata dini ya haki
 
Back
Top Bottom