Ni wakati sasa Serikali ya Tanzania kuibana Serikali ya Israel kutuambia miili ya Watanzania ipo wapi?

Ni wakati sasa Serikali ya Tanzania kuibana Serikali ya Israel kutuambia miili ya Watanzania ipo wapi?

Wanaukumbi.

Balozi wa Tanzania nchini Israel Alex Kallua aliwahi kuiambia BBC kuwa ofisi yake pia imepata uthibitisho kutoka kwa mamlaka za Israel kuwa raia wawili wa Tanzania ni mateka wa Hamas.

Jumapili yalifanyika makubaliano ya kudalishana wafungwa na mateka pamoja na miili ya marehemu, hamna mahali tumeambiwa na Israel kuwa kuna miili ya ndugu zetu Watanzania.

Ni wakati sasa wa Serikali ya Tanzania kuibana serikali ya Israel watuambie miili ya ndugu zetu ipo wapi maana jana Netanyahu, alisema wanayo majina yote na mateka na miili.

Jina la Joshua Molle, alipo kwenye orodha.
Yaani Leo ndio unauliza hivyo wakati ulisema vijana wetu walitumika na jeshi la Israel!!!
 
Si mlikua mnashangilia walivyouawa. Mnataka miili yao muile nyama?
Joshua Mollel Yupo wapi? Kuna wanafiki humu JF povu liliwatoka walivyoambiwa kwa Joshua Mollel kachukuliwa na Hamas kumbe Waisrael walikuwa waongo leo hii tulivyokuwa wanafiki baada ya kujua ilikuwa uongo hamna anayeuliza tena daaah😂
 
Aisee wewe jamaa, udini utakuua. Yaani joshua Mollel alipigwa risasi ni Hamas huku wanatamka maneno yenu ya allahu wakbar halafu huoni huo unyama wa kuuliwa mtanzania mwenzako kisa unalinda ndugu zako waarabu wa hamas.
Hakika Mungu akusamehe
Puuzi sana hilo vaa kobaz,anafikiri zile video tumezisahau,yaani baadhi ya waumini wa hiyo dini walivyokuwa brainwashed akili zao zinahamia makalioni
 
Wanaukumbi.

Balozi wa Tanzania nchini Israel Alex Kallua aliwahi kuiambia BBC kuwa ofisi yake pia imepata uthibitisho kutoka kwa mamlaka za Israel kuwa raia wawili wa Tanzania ni mateka wa Hamas.

Jumapili yalifanyika makubaliano ya kudalishana wafungwa na mateka pamoja na miili ya marehemu, hamna mahali tumeambiwa na Israel kuwa kuna miili ya ndugu zetu Watanzania.

Ni wakati sasa wa Serikali ya Tanzania kuibana serikali ya Israel watuambie miili ya ndugu zetu ipo wapi maana jana Netanyahu, alisema wanayo majina yote na mateka na miili.

Jina la Joshua Molle, alipo kwenye orodha.
Na miili ya wapinzani pia Iko wapi
 
😂 😂 😂 😂 😂 Nlichogundua ni kwamba wavaa kobazi ni watu emotional sana........ Ogopa sana mwanaume akiwa controlled by emotions Ataongea vitu mpaka utajiuliza huyu mtu anatumia akili za juu au za chini
 
Wanaukumbi.

Balozi wa Tanzania nchini Israel Alex Kallua aliwahi kuiambia BBC kuwa ofisi yake pia imepata uthibitisho kutoka kwa mamlaka za Israel kuwa raia wawili wa Tanzania ni mateka wa Hamas.

Jumapili yalifanyika makubaliano ya kudalishana wafungwa na mateka pamoja na miili ya marehemu, hamna mahali tumeambiwa na Israel kuwa kuna miili ya ndugu zetu Watanzania.

Ni wakati sasa wa Serikali ya Tanzania kuibana serikali ya Israel watuambie miili ya ndugu zetu ipo wapi maana jana Netanyahu, alisema wanayo majina yote na mateka na miili.

Jina la Joshua Molle, alipo kwenye orodha.
Naomba kuuliza, hivi kwa vile vita vikali vya Gaza, miili yote ya mateka ni lazima ipatikane? Hakuna iliyobaki kwenye vifusi baada ya Israel labda kuwashambulia Hamasi kwa makombora walimokuwa wanawashikilia mateka mfano kwenye mahandaki?
 
Hamas ndo waliomuua
Umesema ww sio HAMAS Hamas kama wamesema idadi yote lkn awa wetu awamo nitaendelea kuamin watanzania walikufa kwaabahati mbaya kutoka kwa walowezi wa kizayuni ambao wkt wanakimbia ile Kambi iliovamiwa kuelekea ndani zaid ya Israel wakakutana na wahuni wa kizayuni kila mmoja alipita njia yake uyu moja ndio akanasa kwa Zayuni wakidhani awa ndio wavamizi wao vile awakuwa na ufaam wa maeneo ayo pengine Maiti yake itapatikana baada ya miez 6 ivi ikiwa aman itakuwepo wachunguzi wataitaji muda naamin sio watz tu ndio awaonekani watakuwepo na wengine lkn hii inataji muda kuchunguza vile Babake kaenda kule waisrael wanaweza kuwa wamemchukua sampuli ya yake ayu kwasasa atapatikana ndani ya Israel lkn wao watasema alizikwa GAZA !!!
 
Wanaukumbi.

Balozi wa Tanzania nchini Israel Alex Kallua aliwahi kuiambia BBC kuwa ofisi yake pia imepata uthibitisho kutoka kwa mamlaka za Israel kuwa raia wawili wa Tanzania ni mateka wa Hamas.

Jumapili yalifanyika makubaliano ya kudalishana wafungwa na mateka pamoja na miili ya marehemu, hamna mahali tumeambiwa na Israel kuwa kuna miili ya ndugu zetu Watanzania.

Ni wakati sasa wa Serikali ya Tanzania kuibana serikali ya Israel watuambie miili ya ndugu zetu ipo wapi maana jana Netanyahu, alisema wanayo majina yote na mateka na miili.

Jina la Joshua Molle, alipo kwenye orodha.
Miili ya Ben Saanane, Azori.......iko wapi ?.
 
Wanaukumbi.

Balozi wa Tanzania nchini Israel Alex Kallua aliwahi kuiambia BBC kuwa ofisi yake pia imepata uthibitisho kutoka kwa mamlaka za Israel kuwa raia wawili wa Tanzania ni mateka wa Hamas.

Jumapili yalifanyika makubaliano ya kudalishana wafungwa na mateka pamoja na miili ya marehemu, hamna mahali tumeambiwa na Israel kuwa kuna miili ya ndugu zetu Watanzania.

Ni wakati sasa wa Serikali ya Tanzania kuibana serikali ya Israel watuambie miili ya ndugu zetu ipo wapi maana jana Netanyahu, alisema wanayo majina yote na mateka na miili.

Jina la Joshua Molle, alipo kwenye orodha.
Balozi zetu huko nje ni burereee
Waulize walengwa usikitika
 
Wewe ni taahira. Hivi hukuona video ya Joshua kipindi anauliwa na wahuni wa Hamas? Hivi Watanzania mbona akili zetu ni matope kiasi hiki? Hivi huo uislamu unawasiadia nini kama umewafanya mazezeta kiasi hiki?
Wewe zwazwa la kidini ww na Babake Joshua nani anamjua zaid Joshua tukiwaita mazwazwa mnaona tunawatukana kumbe ndio ukweli wenyewe nyie ni zigo la kinyesi kwa taifa sasa Babake JOSHUA ile clip kaiyona kakataaa kuwa yule sio mtoto wake wala awafanani na mtoto wake manake ile clip ni kijana mwengine pengine kutoka Africa au America lkn yule sio Joshua zwazwa ww!!!!!!
 
Hivi kumbe Kuna watu wetu hawajarudishwa na walitekwa?

Hao mbwa wa Israel warudishe watu wetu haraka sana.
 
Wewe zwazwa la kidini ww na Babake Joshua nani anamjua zaid Joshua tukiwaita mazwazwa mnaona tunawatukana kumbe ndio ukweli wenyewe nyie ni zigo la kinyesi kwa taifa sasa Babake JOSHUA ile clip kaiyona kakataaa kuwa yule sio mtoto wake wala awafanani na mtoto wake manake ile clip ni kijana mwengine pengine kutoka Africa au America lkn yule sio Joshua zwazwa ww!!!!!!
Alikataa lini ebu onyesha clipp mzee akikataa sio mtoto wake mbona unaruka-ruka
 
Wewe zwazwa la kidini ww na Babake Joshua nani anamjua zaid Joshua tukiwaita mazwazwa mnaona tunawatukana kumbe ndio ukweli wenyewe nyie ni zigo la kinyesi kwa taifa sasa Babake JOSHUA ile clip kaiyona kakataaa kuwa yule sio mtoto wake wala awafanani na mtoto wake manake ile clip ni kijana mwengine pengine kutoka Africa au America lkn yule sio Joshua zwazwa ww!!!!!!
Wewe ni boya na fala uliyepitiliza. Ni lini uliongea na baba yake akasema huyo siyo Joshua.
Yaani utumwa wa kiarabu umekukaa akilini hadi umekuwa msukule.
Kwa hiyo marafiki zake waliyosoma naye SUA nao walikataa. Matusi tu kumbe ushakuwa zwazwa la kiarabu. Usiniweke kundi moja na wewe kwa sababu mimi sishobokei tamaduni za watu kama wewe.

Huo uislmau wako haukupeleki popte na haitotokea ukawa mwarabu na huo weusi wako. Kuna watu mna laana na upambavu umewazidi sana.
 
Back
Top Bottom