Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Huwezi kumuelewa Nyerere katika kila jambo, mimi huwa simuelewei Nyerere katika Katiba aliyotuachia, muungano na mwenge.ukiona umeshindwa kumuelewa Nyerere jua unafikra za chini sana!. wewe ni mpuuzi wa mwisho hufai hata kupewa uenyekiti wa nyumba mbili!.