Ni wakati sasa wa kubadili Falsafa za Mwalimu Nyerere na kuchunguza na kuhoji mienendo yake

Ni wakati sasa wa kubadili Falsafa za Mwalimu Nyerere na kuchunguza na kuhoji mienendo yake

ukiona umeshindwa kumuelewa Nyerere jua unafikra za chini sana!. wewe ni mpuuzi wa mwisho hufai hata kupewa uenyekiti wa nyumba mbili!.
Huwezi kumuelewa Nyerere katika kila jambo, mimi huwa simuelewei Nyerere katika Katiba aliyotuachia, muungano na mwenge.
 
Kwa maana ya kuwa Tanganyika inaitawala Znz ?
Ndiyo. Tanganyika inaitawala Zanzibar. SMZ ni kama mchezo wa kitoto tu. Watoto wakivuka mipaka mzazi anachukuwa hatua.
Ya Aboud Jumbe, Idrisa Abdulwakil, Salmin Amour (alipotaka kubadilisha katiba), Seif Sharifu tunayajuwa.
 
Ndiyo. Tanganyika inaitawala Zanzibar. SMZ ni kama mchezo wa kitoto tu. Watoto wakivuka mipaka mzazi anachukuwa hatua.
Ya Aboud Jumbe, Idrisa Abdulwakil, Salmin Amour (alipotaka kubadilisha katiba), Seif Sharifu tunayajuwa.
Noted.

Zanzibar ni koloni la Tanganyika
 
We jamaa unachekesha sana.

Wakat wa Nyerere, mzee akitaka kukufunga anatumia Nini.

Eti Jaji
Hata sasa hivi sasa maelekezo yanatoka juu Tz haijawahi kuwa na mahakama huru ndio maana ccm wanaiba kura na mahakama zinahalalisha ushindi wa dhulma kwa hiyo sio Nyerere pekee aliekuaa juu ya sheria
 
Hata sasa hivi sasa maelekezo yanatoka juu Tz haijawahi kuwa na mahakama huru ndio maana ccm wanaiba kura na mahakama zinahalalisha ushindi wa dhulma kwa hiyo sio Nyerere pekee aliekuaa juu ya sheria
Muundo wa Katiba ndo umefanya hivyo.

Ni yeye aliyeifanya katiba hiyo,

He is the worst mkuu
 
Back
Top Bottom