Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania bangi imepigwa ban lakini inatumiwa na karibu na kila mwananchi toka viongozi wa dini na watu serikaliniBangi inafaida kuliko inavyozungumzwa na wala haina madhara kama inavyozungumzwa. Ndani ya bangi kuna kemikali moja nzuri sana ambayo inasaidia kuongeza hamu ya kula. Baada ya wataalamu kuona faida hiyo, wakaiga kemikali hiyo na kutengeneza dawa ya kusaidia kuongeza hamu ya kula. Dawa hiyo hupewa sana wagonjwa wakansa ambao hutumia madawa makali. Madawa makali ya kansa husababisha ukosefu wa hamu ya kula.
Bangi ni dawa nzuri sana ya hangover. Kuvuta au kupata supu ya bangi ni tiba bora sana ya hangover. Licha ya hivyo wakati huohuo ni mboga pia. Pia mbegu zake zina mafuta na mashina yake yanaweza kutoa nkamba na nyuzi. Faida ninyingi sana. Hizo hapo ni chahce tu.
View attachment 3018390
Pia bangi haina madhara kama inavyosemwa. Ujerumani imehalalisha matumizi ya bangi. Juzi wakati wa kuanza kwa mashindano ya Euro imewashauri mashabiki kutumia bangi badala ya pombe ili kupunguza vurugu viwanjani.
Nchi nyingi zimeishaona umuhimu wa bangi.
View attachment 3018391
Nchi za Bluu zimehalalisha. Nchi za njano hazijahalalisha lakini si kosa kuvuta bangi. Nchi za pinki ni kosa kuvuta bangi lakini mara nyingi haushtakiwi. Nchi nyekundu zimepiga marufuku
Elfu 21 ni uchafu...bangi nzuri sado 1 hata laki huwezi kupata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi ndo huwa tunaweka kati kati ya mazao ili waja wa nongwa wasistuke na kutuchomesha,
Ila Bangi ina helaa balaaa, sahivi Sado ni elf 21.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makapiiiii,Elfu 21 ni uchafu...bangi nzuri sado 1 hata laki huwezi kupata
Eeeeh ndioYaani ipigwe marufuku sababu wezi wachache mnaiabuse!!?
Mkuu hujatoa fununu kuhusu kiasi na umri wa watu ambao wanaweza kutumia katika jamii. Nasema hivyo kwa kuwa matumizi ya vilevi kuna tahadhari inatolewa kuhusu wale wenye umri zaidi ya miaka 18, kutokunywa kwa kupitiliza na pia unywaji uwe wenye kumtaka mnywaji kuwajibika mwenyewe endapo matokeo ya unywaji wake yatakapo leta taflani fulani.
Aidha katika matumizi ya mazao ya tumbaku, tunaona tahadhari ikitolewa kwa kuzingatia umri pia kuhusu adhari za kiafya kwa mtumiaji. Sasa hii kitu hii 👉BANGE 👈 tahadhari gani itatolewa kuhusu matumizi yake kwa kuzingatia umri unaokulabilika, sehemu rasmi za uvutaji wake (kwa wale wavutaji), athari zake za kiafya (natambua zipo kwa kuwa bange inaorodheshwa kama mojawapo ya madawa ya kulevya hapa nchini),, harufu (kwa maana kitu huwa kinatema! 😩), ikiwa katika hali yake uasilia, yaani, "crude form" ama "processed" n.k.
Mtoa mada jaribu kudadavua zaidi ili tupime kwa nini nchi chache sana zimehalalisha matumizi yake, wakati nchi nyingi zikiwa zimepiga marufuku matumizi yake. Ukizichunguza kwa umakini baadhi ya haki za binadamu zinakwenda kinyume kabisa na maadili ya Mwafrika, na imani zake za kiroho. Agenda nyingi zenye nia mbaya zinapenyezwa "overtly or covertly" zikiwa na nia mbaya ya kumfanya Mwafrika awe "derailed and brainwashed par excellence"!
😆😆😆😆I love you mpenziView attachment 3018427😂
Kwa huu uzi mjomba umefunguliwa kwa ajili ya watumiaji tu kuchangia?!Halafu kama hujawahi vuta ndumu usichangie Uzi maaña wengi hawajui hata wanaongea nn.Bangi sio drugs it's the gateway to drugs,na Sio kwamba inakufanya uwe na tabia mbaya ila inakufanya ww uwe ww.So kama tabia yako ya kimbuzi ukila ndumu itazidi kuwa ya kimbuzi ila kama ni mstaarabu basi mtu atakuwa mstaarabu kupita zaidi.
Sado 1 inatoa kete ngapi 😂Bangi ina helaa balaaa, sahivi Sado ni elf 21.
Wenzako tumevuta bangi ndiyo tumejua haina madhara. We umejuaje ushoga hauna madhara?Hata Ushoga hauna madhara ni muda wa kutambua Mashoga.
Nimekuwa Shoga nimejua hamna madhara, Pia nchi zote zilizoendelea wanaruhusu na hakuna madhara yoyote.Wenzako tumevuta bangi ndiyo tumejua haina madhara. We umejuaje ushoga hauna madhara?