Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Outdated track, please buy the new one "JPM THE BEST PRESIDENT EVER IN TZ LAND WITH UNFORGETTABLE LEGACY"Icon wa uzalendo gani? Wa kuua , kupiga risasi na kuteka watu?
Au hujui maana ya uzalendo?
Nimekwambia kamjengee iyo sanamu chooni kwako mpuuzi wewe!
Peleka ushahidi mahakamani ikiwa uko sahihi la sivyo huna tofauti na muimba taarabu tu hapa na kujidhalilisha pasipo kujijua.Yeye hakuuwawa Ila Ben Saanane aliuawa na Lwabaje waliuawa
AMA kweli dunia ina mambo! Yaani tujenge sanamu la dictator????Kwa kuwa Magufuli ameacha alama baada ya kifo chake na Africa inaendelea kumuenzi kwa namna alivyotutoa kimasomaso.
Watanzania wengi wameomba lijengwe sanamu la Magufuli iwe kama alama ya kumbukumbu ya kihistoria kwa Africa, ili watu kutoka mataifa mbalimbali duniani waje kumuenzi na kupiga picha za kumbukumbu.
Tuisaidie serikali, sanamu lijengwe wapi?
Mimi nashauri lijengwe Ubungo pale ilipokuwa stend badala ya kuwapa mafisadi eneo lile pawekwe mnara mkubwa wenye sura ya Magufuli na garden yenye muonekano wa kiafrica.
Ila nyie mtauwa watu na pressure...mwenge wa uhuru ukimbizwe pamoja na sanamu ya Jpm kila mwaka.
..kujenga sanamu Ubungo hatutakuwa tumemuenzi vya kutosha kwa kufikia Watz ktk kila pembe ya nchi yetu.
..Kuna Watz wanazaliwa mpaka wanakufa hawajawahi kufika Ubungo.
Cc Tindo
OvaMjengee chumbani kwako na mkeo.
Misitu ya Tabora chagueni huko....Kwa kuwa Magufuli ameacha alama baada ya kifo chake na Africa inaendelea kumuenzi kwa namna alivyotutoa kimasomaso.
Watanzania wengi wameomba lijengwe sanamu la Magufuli iwe kama alama ya kumbukumbu ya kihistoria kwa Africa, ili watu kutoka mataifa mbalimbali duniani waje kumuenzi na kupiga picha za kumbukumbu.
Tuisaidie serikali, sanamu lijengwe wapi?
Mimi nashauri lijengwe Ubungo pale ilipokuwa stend badala ya kuwapa mafisadi eneo lile pawekwe mnara mkubwa wenye sura ya Magufuli na garden yenye muonekano wa kiafrica.
Vipi hajapewa ukiranja wa malaika tu huko....Chumbani kwangu kuna picha yake ukutani. Mkuu wewe unakosaje picha ya Magufuli ndani kwako?
Na mrema je ? Wa ngapi huu?Dikteta yupo ufipa pale kakalia kiti mwaka wa 20 sasa hivi
Visionary leader hawezi kuwa magufuli wewe. Soma vizur uelewe maana ya visionary leader. Nyerere nae tumuiteje sasa?Mkuu yule mwamba alikuwa na maono, wewe uliyepata kibarua serikalini kwa vyeti feki akakubalasa huwezi kumuelewa. Visionary leaders wanaeleweka baada ya muda fulan kama sasa hivi nchi imeelewa vision kubwa aliyokuwa nayo baba yetu Magufuli.
Lijengwe ChatoKwa kuwa Magufuli ameacha alama baada ya kifo chake na Africa inaendelea kumuenzi kwa namna alivyotutoa kimasomaso.
Watanzania wengi wameomba lijengwe sanamu la Magufuli iwe kama alama ya kumbukumbu ya kihistoria kwa Africa, ili watu kutoka mataifa mbalimbali duniani waje kumuenzi na kupiga picha za kumbukumbu.
Tuisaidie serikali, sanamu lijengwe wapi?
Mimi nashauri lijengwe Ubungo pale ilipokuwa stend badala ya kuwapa mafisadi eneo lile pawekwe mnara mkubwa wenye sura ya Magufuli na garden yenye muonekano wa kiafrica.
Kwa kuwa Magufuli ameacha alama baada ya kifo chake na Africa inaendelea kumuenzi kwa namna alivyotutoa kimasomaso.
Watanzania wengi wameomba lijengwe sanamu la Magufuli iwe kama alama ya kumbukumbu ya kihistoria kwa Africa, ili watu kutoka mataifa mbalimbali duniani waje kumuenzi na kupiga picha za kumbukumbu.
Tuisaidie serikali, sanamu lijengwe wapi?
Mimi nashauri lijengwe Ubungo pale ilipokuwa stend badala ya kuwapa mafisadi eneo lile pawekwe mnara mkubwa wenye sura ya Magufuli na garden yenye muonekano wa kiafrica.
Hao tumewazoea ni wale wenye vyeti feki na mashoga hawajawai kumpenda mtenda haki.
Magufuli yupo upande wa kuume kwa mwenyezi.