Ni wakati sasa wa kujenga sanamu la Magufuli. Tukubaliane kama nchi tulijenge wapi?

Ni wakati sasa wa kujenga sanamu la Magufuli. Tukubaliane kama nchi tulijenge wapi?

Icon wa uzalendo gani? Wa kuua , kupiga risasi na kuteka watu?

Au hujui maana ya uzalendo?

Nimekwambia kamjengee iyo sanamu chooni kwako mpuuzi wewe!
Outdated track, please buy the new one "JPM THE BEST PRESIDENT EVER IN TZ LAND WITH UNFORGETTABLE LEGACY"
 
Chini ya bahari ili liwe kivutio cha samaki, wavuvi watafaidika kwa kupata samaki wengi eneo hilo.
Maana Samaki watakua wanalishangaa sanamu basi wavuvi wataweza kujipatia kitoeo na kuja kutuuzia Malikiti na uchumi utapanda.
 
Jengeni kwenu? Hata havisikii unatetea nn huoni aibu? Nn kafanya kuharibu uchumi, demokrasia, biashara,ajira, tuwe wote maskini ambakie yeye na watu wake watungawie pesa? Unasinyaza uchumi??? Siasa yeye tu???. Kukurupukia miradi mingi mikubwa?? Eti tunajenga kwa hela za ndani.
 
Kwa kuwa Magufuli ameacha alama baada ya kifo chake na Africa inaendelea kumuenzi kwa namna alivyotutoa kimasomaso.

Watanzania wengi wameomba lijengwe sanamu la Magufuli iwe kama alama ya kumbukumbu ya kihistoria kwa Africa, ili watu kutoka mataifa mbalimbali duniani waje kumuenzi na kupiga picha za kumbukumbu.

Tuisaidie serikali, sanamu lijengwe wapi?

Mimi nashauri lijengwe Ubungo pale ilipokuwa stend badala ya kuwapa mafisadi eneo lile pawekwe mnara mkubwa wenye sura ya Magufuli na garden yenye muonekano wa kiafrica.
AMA kweli dunia ina mambo! Yaani tujenge sanamu la dictator????
Mwizi na muuaji?
 
..mwenge wa uhuru ukimbizwe pamoja na sanamu ya Jpm kila mwaka.

..kujenga sanamu Ubungo hatutakuwa tumemuenzi vya kutosha kwa kufikia Watz ktk kila pembe ya nchi yetu.

..Kuna Watz wanazaliwa mpaka wanakufa hawajawahi kufika Ubungo.

Cc Tindo
Ila nyie mtauwa watu na pressure.

Hhahah. Maguli City pale jamani.
 
hata na makuburi mtoa mada ujengewe huko alipozikwa ukamtukuze vizuri
 
..mwenge wa uhuru ukimbizwe pamoja na sanamu ya Jpm kila mwaka.

..kujenga sanamu Ubungo hatutakuwa tumemuenzi vya kutosha kwa kufikia Watz ktk kila pembe ya nchi yetu.

..Kuna Watz wanazaliwa mpaka wanakufa hawajawahi kufika Ubungo.

Cc Tindo
True
 
Kwa kuwa Magufuli ameacha alama baada ya kifo chake na Africa inaendelea kumuenzi kwa namna alivyotutoa kimasomaso.

Watanzania wengi wameomba lijengwe sanamu la Magufuli iwe kama alama ya kumbukumbu ya kihistoria kwa Africa, ili watu kutoka mataifa mbalimbali duniani waje kumuenzi na kupiga picha za kumbukumbu.

Tuisaidie serikali, sanamu lijengwe wapi?

Mimi nashauri lijengwe Ubungo pale ilipokuwa stend badala ya kuwapa mafisadi eneo lile pawekwe mnara mkubwa wenye sura ya Magufuli na garden yenye muonekano wa kiafrica.
Misitu ya Tabora chagueni huko....
 
Mkuu yule mwamba alikuwa na maono, wewe uliyepata kibarua serikalini kwa vyeti feki akakubalasa huwezi kumuelewa. Visionary leaders wanaeleweka baada ya muda fulan kama sasa hivi nchi imeelewa vision kubwa aliyokuwa nayo baba yetu Magufuli.
Visionary leader hawezi kuwa magufuli wewe. Soma vizur uelewe maana ya visionary leader. Nyerere nae tumuiteje sasa?
 
Kwa kuwa Magufuli ameacha alama baada ya kifo chake na Africa inaendelea kumuenzi kwa namna alivyotutoa kimasomaso.

Watanzania wengi wameomba lijengwe sanamu la Magufuli iwe kama alama ya kumbukumbu ya kihistoria kwa Africa, ili watu kutoka mataifa mbalimbali duniani waje kumuenzi na kupiga picha za kumbukumbu.

Tuisaidie serikali, sanamu lijengwe wapi?

Mimi nashauri lijengwe Ubungo pale ilipokuwa stend badala ya kuwapa mafisadi eneo lile pawekwe mnara mkubwa wenye sura ya Magufuli na garden yenye muonekano wa kiafrica.
Lijengwe Chato
 
Kwa kuwa Magufuli ameacha alama baada ya kifo chake na Africa inaendelea kumuenzi kwa namna alivyotutoa kimasomaso.

Watanzania wengi wameomba lijengwe sanamu la Magufuli iwe kama alama ya kumbukumbu ya kihistoria kwa Africa, ili watu kutoka mataifa mbalimbali duniani waje kumuenzi na kupiga picha za kumbukumbu.

Tuisaidie serikali, sanamu lijengwe wapi?

Mimi nashauri lijengwe Ubungo pale ilipokuwa stend badala ya kuwapa mafisadi eneo lile pawekwe mnara mkubwa wenye sura ya Magufuli na garden yenye muonekano wa kiafrica.

Naona kifo Cha Magufuli kiliwaacha na msongo wa mawazo. Maana mnajifanya hamuoni mabaya aliyowatendea wengine. Wakati anatesa na kupoteza wengine mlikuwa mnacheka na kufurahi.
 
Hao tumewazoea ni wale wenye vyeti feki na mashoga hawajawai kumpenda mtenda haki.

Ndio mlichobakiza. Alitenda haki yule muuaji?. Mpaka leo damu ya been saanane na Azory inamlilia. Ni vizuri aliondoka naye aonje mauti maana aliona binadamu wengine hawafai kuishi.
 
Back
Top Bottom