boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Mbowe chadema itamfia mkononi hii ndo afrika Lipumba na CUF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrema hafai kua kwenye nafasi ile,anapwaya mnoNdio shida inaanzia hapo. Mimi nadhani Kuna vijana wangepewa hiwawaya mno yo nafasi ya Mrema wangefanya vizuri Sana. Maana Mrema ndio mwenezi wa chama ila amejifungia ndani hatoki.
Ikimfia wewe unapata hasara gani?Mbowe chadema itamfia mkononi hii ndo afrika Lipumba na CUF
Huyo ni UWT namjua vizuriPunguza kebehi, hakuna chama kinaanzishwa na familia kasome sheria ya vyama vya siasa. Halafu mwaka 1992 nilikuwa chuo kikuu nasoma.
Wewe umo chadema,hujafanya yote hayaNi kweli, ingawa CHADEMA tumefanya kosa la kutokuwa na succession plan. Kila ikifika uchaguzi wa mwenyekiti tunadai mwamba tuvushe.
Vyama vinaanzishwa na wanadamu ambapo hawa wanadamu wana familiaPunguza kebehi, hakuna chama kinaanzishwa na familia kasome sheria ya vyama vya siasa. Halafu mwaka 1992 nilikuwa chuo kikuu nasoma.