Yanga walipeleka malalamiko yao Azam huyu dogo asitangaze mechi ya Yanga Vs Simba kwamba anaumiza sana mashabiki wa Yanga,anaweza kuua yanga kwa presha.
Kudos Baraza
Kuna lile goli la Chama kwa AS Vita,..........Chama babaaa....ila hua inanoga sana mpenja akitangaza goli halafu Idd Salum Kidedea anakuja kupiga kile kiarabu chake
Kweli kuna sehemu wanateleza.Commentators wa Tanzania hawajaiva
Sehemu ya kurelax yeye anatupigia makelele
Sehemu ya kushangilia wao wanatoa history ya mchezaji
Poor they still have a way to go,they should learn from developed
Kuna muda hayo maneno yanazidi na kukera sana. Awe professional aache uswahili mwingi. Ndio kutia chumvi mda mwingine sio mbaya ila ikizidi inakuwa kero sana sasa.
Nawashauri ma commentator wa kibongo wawasikilize akina Peter Drury watajifunza namna ya kuwa ma pro.
Still a learner though.
Shabiki wa Mikia FC huyo ndo huwa anaipamba.Tusisubiri mpaka mtu afe ndio tumpe sifa.
Kwa heshima na taadhima, leo nimeona tumpe sifa zake mtangazaji bora wa mpira hapa Tanzania kwa upande wa televisheni, ndugu Baraka Hudson Mpenja wa Azam Tv.
Huyu jamaa ni mbunifu sana, ana matumizi ya maneno yake flani flani hivi ambayo huleta ladha pale unapofatilia hizi mechi zetu za kibongo. Hakika kwa wafatiliaji wa mpira wa kibongo watakuwa wanaelewa nazungumzia nini!
Kwasasa Baraka Mpenja ndio anaifanya Azam Tv iendelee kuwa juu katika mechi za kibongo, na amechochea watu wengi kufatilia ligi ya bongo, ni wakati sasa wa Azam Tv kumleta Mwl Kashasha ili awe mchambuzi kando ya utangazaji wa Mpenja.
Hongera sana, Baraka Mpenja endelea kutupa burudani kwa karama yako kubwa uliyopewa na Mungu.
Kuna muda hayo maneno yanazidi na kukera sana. Awe professional aache uswahili mwingi. Ndio kutia chumvi mda mwingine sio mbaya ila ikizidi inakuwa kero sana sasa.
Nawashauri ma commentator wa kibongo wawasikilize akina Peter Drury watajifunza namna ya kuwa ma pro.
Still a learner though.
Mikia FC kazini.Mara zote bao la kwanza ni tamu...medie kagere nguvu ya mamba kumaji...
Acha guba mtoto wa kiume weweHuyo jamaa akajifunze kutangaza mpira. Mpira hautangazwi hivyo. Anatia kichefuchefu kumskiza.
Hua nafikiri hili hua naliona pekeangu,anazidisha mpaka anatoka kwenye uhalisia, maneno yanapoisha inabidi atangaze kawaida tu.Kuna muda hayo maneno yanazidi na kukera sana. Awe professional aache uswahili mwingi. Ndio kutia chumvi mda mwingine sio mbaya ila ikizidi inakuwa kero sana sasa.
Nawashauri ma commentator wa kibongo wawasikilize akina Peter Drury watajifunza namna ya kuwa ma pro.
Still a learner though.
Wanaona kila mtu ndio chanzo cha matatizo yao, poor Yanga.Yanga mnachojua sasa hivi ni kulalamika tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hii nafikiri ni comment bora toka MpenjaMaaajabu!! Haya ni maajabu!!
Linafungwa goal Gani Hili!!.
Nauliza!, Linafungwa Goal Gani Hili?.
Hivi Macho Yake Yanaona Kama Mimi!!.
Au Macho Yako Yanaona Kama Mimi.
Nani Alisema Simba Hawaendi hatua ya Makundi!!?.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Raha Sana Aiseh!!