Ni wakati wa kumpa credit zake Baraka Mpenja

Ni wakati wa kumpa credit zake Baraka Mpenja

Commentators wa Tanzania hawajaiva
Sehemu ya kurelax yeye anatupigia makelele
Sehemu ya kushangilia wao wanatoa history ya mchezaji

Poor they still have a way to go,they should learn from developed
 
Commentators wa Tanzania hawajaiva
Sehemu ya kurelax yeye anatupigia makelele
Sehemu ya kushangilia wao wanatoa history ya mchezaji
Poor they still have a way to go,they should learn from developed
Kweli kuna sehemu wanateleza.
 
Ni wakawaida sana huyu jamaa tuache unafiki azamtv bado haijapata MTU sahihi wa matangazo ya TV kwenye mpira
 
Kuna muda hayo maneno yanazidi na kukera sana. Awe professional aache uswahili mwingi. Ndio kutia chumvi mda mwingine sio mbaya ila ikizidi inakuwa kero sana sasa.

Nawashauri ma commentator wa kibongo wawasikilize akina Peter Drury watajifunza namna ya kuwa ma pro.

Still a learner though.
Tusisubiri mpaka mtu afe ndio tumpe sifa.

Kwa heshima na taadhima, leo nimeona tumpe sifa zake mtangazaji bora wa mpira hapa Tanzania kwa upande wa televisheni, ndugu Baraka Hudson Mpenja wa Azam Tv.

Huyu jamaa ni mbunifu sana, ana matumizi ya maneno yake flani flani hivi ambayo huleta ladha pale unapofatilia hizi mechi zetu za kibongo. Hakika kwa wafatiliaji wa mpira wa kibongo watakuwa wanaelewa nazungumzia nini!

Kwasasa Baraka Mpenja ndio anaifanya Azam Tv iendelee kuwa juu katika mechi za kibongo, na amechochea watu wengi kufatilia ligi ya bongo, ni wakati sasa wa Azam Tv kumleta Mwl Kashasha ili awe mchambuzi kando ya utangazaji wa Mpenja.

Hongera sana, Baraka Mpenja endelea kutupa burudani kwa karama yako kubwa uliyopewa na Mungu.
Shabiki wa Mikia FC huyo ndo huwa anaipamba.
 
We akil zako hazina akili
Kuna muda hayo maneno yanazidi na kukera sana. Awe professional aache uswahili mwingi. Ndio kutia chumvi mda mwingine sio mbaya ila ikizidi inakuwa kero sana sasa.

Nawashauri ma commentator wa kibongo wawasikilize akina Peter Drury watajifunza namna ya kuwa ma pro.

Still a learner though.
 
Wacha brah brah Braza...
Big up Mpenja
 
Mm yanga ila jamaa namuelewa kinyama alafu ukiangalia mwili wake na sauti yake ni vitu viwili tofauti. Kwangu mm kwa sasa watangazaji wa mpira wakali bongo
1. Barack Adson Mpenja
2.Ashimu Ibwe
 
Huyo jamaa akajifunze kutangaza mpira. Mpira hautangazwi hivyo. Anatia kichefuchefu kumskiza.
 
Kuna muda hayo maneno yanazidi na kukera sana. Awe professional aache uswahili mwingi. Ndio kutia chumvi mda mwingine sio mbaya ila ikizidi inakuwa kero sana sasa.

Nawashauri ma commentator wa kibongo wawasikilize akina Peter Drury watajifunza namna ya kuwa ma pro.

Still a learner though.
Hua nafikiri hili hua naliona pekeangu,anazidisha mpaka anatoka kwenye uhalisia, maneno yanapoisha inabidi atangaze kawaida tu.

Siku hizi naona anaandaa kabisa akaseme Nini goli likifungwa nahapo ndipo inapokosa uhalisia, wakati hivyo vitu vinakuja vyenyewe tu kama freestyles
 
Maaajabu!! Haya ni maajabu!!
Linafungwa goal Gani Hili!!.
Nauliza!, Linafungwa Goal Gani Hili?.
Hivi Macho Yake Yanaona Kama Mimi!!.
Au Macho Yako Yanaona Kama Mimi.
Nani Alisema Simba Hawaendi hatua ya Makundi!!?.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Raha Sana Aiseh!!
Hii nafikiri ni comment bora toka Mpenja
 
Back
Top Bottom