Hakukumbia umande kama Lema?Erythrocyte anafanya kazi kubwa Sana kwa CHADEMA. Anaweza kuwa Mwenezi mzuri sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakukumbia umande kama Lema?Erythrocyte anafanya kazi kubwa Sana kwa CHADEMA. Anaweza kuwa Mwenezi mzuri sana.
Nitawezaje kuchemsha bila ya kupuliza moto?Umechemsha
Basi unapulizwaNitawezaje kuchemsha bila ya kupuliza moto?
Unapumuliwa wewe, sio bure. Bora nikuache upumuliwe zaidi😁Basi unapulizwa
Babako ndiye anapumuliwa ndiyo maana badala ya kukurithisha elimu amekurithusha usenge watu wanajipigia tu huko lumumba .Unapumuliwa wewe, sio bure. Bora nikuache upumuliwe zaidi😁
Huyo ni msemaji wa mwenyekitiNaomba nitoe ushauri Kwa chama changu Cha CHADEMA, kwamba imefika wakati tuondokane na Business as usual. Kuna Afisa mmoja wa CHADEMA anaitwa John Mrema ambaye kwa ujumla anahusika na uenezi wa chama. Huyu jamaa kusema ukweli amepwaya Sana. Yani hiyo nafasi ni kama haimfai na ni kama amelazimisnwa kufanya. Amejifungia ndani Sana, Wala hatembei kukieneza chama. Na siku akitoka kuongea anaongea pumba.
Kwanini nasema hivyo, huyu Mrema anadai CHADEMA haitajitoa kwenye uchaguzi kwasabubu mwaka 2019 CHADEMA haikushinda hata kitongoji kimoja, hivyo mwaka huu hata CHADEMA ikishinda kitongoji kimoja itakuwa ni ushindi mkubwa. Najiuliza ya kwamba mwaka 2019 CHADEMA ilijitoa kwenye uchaguzi ule ila Leo Mrema anatudanganya kwamba CHADEMA walishiriki.
Nia aibu kwa CHADEMA kuwa na Mwenezi aliyezubaa Kama huyu, ni muda kutafuta Mwenezi atakaye saidia kuleta vijana kwenye chama na kuwavutia watu kusikiliza hoja na matamko ya CHADEMA.
Ona sasa unavyotukana kama vile mpumuliwaji, ha ha ha😁Babako ndiye anapumuliwa ndiyo maana badala ya kukurithisha elimu amekurithusha usenge watu wanajipigia tu huko lumumba .
Chama sahihi kipi,hata kikija kipya kitapwaya hivyo hivyo hadi pale itakapo tenganishwa chama na serikali.c
Vijana wengi wanapenda mabadiliko, lakini kwa sasa wamekosa CHAMA sahihi , chadema sahihi kipotea, mpaka Mbowe aje atoke, kitu ambacho ni kigumu
The first time positive comment from kipara in line with speaking amicably for opposition parties.Kwa hiyo unataka aseme uongo!
Ahsante kwa kunifuatilia!The first time positive comment from kipara in line with speaking amicably for opposition parties.
Utakuwa mgeni CHADEMA.Big no.
amepwaya na alikuwa instrument ya DJ mbowe. pia ni mlevi, ndio yule alipiga ulabu na sugu mbeya hadi saa sita za usiku wakati wa uchaguzi wa nyasa. fukuzia mbali huko.Naomba nitoe ushauri Kwa chama changu Cha CHADEMA, kwamba imefika wakati tuondokane na Business as usual. Kuna Afisa mmoja wa CHADEMA anaitwa John Mrema ambaye kwa ujumla anahusika na uenezi wa chama. Huyu jamaa kusema ukweli amepwaya Sana. Yani hiyo nafasi ni kama haimfai na ni kama amelazimisnwa kufanya. Amejifungia ndani Sana, Wala hatembei kukieneza chama. Na siku akitoka kuongea anaongea pumba.
Kwanini nasema hivyo, huyu Mrema anadai CHADEMA haitajitoa kwenye uchaguzi kwasabubu mwaka 2019 CHADEMA haikushinda hata kitongoji kimoja, hivyo mwaka huu hata CHADEMA ikishinda kitongoji kimoja itakuwa ni ushindi mkubwa. Najiuliza ya kwamba mwaka 2019 CHADEMA ilijitoa kwenye uchaguzi ule ila Leo Mrema anatudanganya kwamba CHADEMA walishiriki.
Nia aibu kwa CHADEMA kuwa na Mwenezi aliyezubaa Kama huyu, ni muda kutafuta Mwenezi atakaye saidia kuleta vijana kwenye chama na kuwavutia watu kusikiliza hoja na matamko ya CHADEMA.
Uliona mbali sana Masta, leo Mrema karudi kwa Agustino wake...Naomba nitoe ushauri Kwa chama changu Cha CHADEMA, kwamba imefika wakati tuondokane na Business as usual. Kuna Afisa mmoja wa CHADEMA anaitwa John Mrema ambaye kwa ujumla anahusika na uenezi wa chama. Huyu jamaa kusema ukweli amepwaya Sana. Yani hiyo nafasi ni kama haimfai na ni kama amelazimisnwa kufanya. Amejifungia ndani Sana, Wala hatembei kukieneza chama. Na siku akitoka kuongea anaongea pumba.
Kwanini nasema hivyo, huyu Mrema anadai CHADEMA haitajitoa kwenye uchaguzi kwasabubu mwaka 2019 CHADEMA haikushinda hata kitongoji kimoja, hivyo mwaka huu hata CHADEMA ikishinda kitongoji kimoja itakuwa ni ushindi mkubwa. Najiuliza ya kwamba mwaka 2019 CHADEMA ilijitoa kwenye uchaguzi ule ila Leo Mrema anatudanganya kwamba CHADEMA walishiriki.
Nia aibu kwa CHADEMA kuwa na Mwenezi aliyezubaa Kama huyu, ni muda kutafuta Mwenezi atakaye saidia kuleta vijana kwenye chama na kuwavutia watu kusikiliza hoja na matamko ya CHADEMA.