Ni wakati wa kuondokana na John Mrema hapa CHADEMA

Ni wakati wa kuondokana na John Mrema hapa CHADEMA

Aliyepwaya siyo Mrema tu, hadi MWENYEKITI wake DJ Mbowe kapwaya.

Kwa kweli Mwenyekiti kapwaya. Na hataki kuachia madaraka. Haya bwana, kenge huwa hasikii mpaka damu imtoke , ila kwa CHADEMA imezidi.
 
Chawa wa mzee huyo hapo hatoki...elewa neno MZEE

Basi awe chawa ila afanye kazi. Mwenezi wa chama kikuu Cha upinzani ila kajifungia ndani. Mpaka mtu anadhani CHADEMA haina wenezi.
 
Kwa mara nyingine mbowe amefanya biashara, trust me jamaa ni opportunistic sana. Mbaya ameilemaza chadema. Lisu out, lema out, heche out, msigwa out.

Naanza kuaminika jamaa yupo CHADEMA kimaslahi.
 
Nilikuwa kumwambia kiongozi mmoja wa chadema kanda ya pwani, mashinji ataenda ccm wakati huo ni katibu mkuu pale cdm reason nakwambia huyu mashinji ana capability ndogo sasa kisiasa. Mbowe anapenda watu wenye uwezo mdogo km kigaila, salumu mwalimu na hata huyu mrema. Mbowe amefika mwisho.

Kwakweli mashinji sijui Mbowe alimtolea wapi.
 
Wewe unamtaka Mbowe atoke ili iweje? inakuuma nini, unataka wapewe uenyekiti sampuli ya akina Nassari, Mashinji , Katambi na Mwambe?

Bora hao walikuwa wazi kuliko Mbowe anayejificha . Mara sitamtukana mama na bla bla nyingi.
 
Kwanini nasema hivyo, huyu Mrema anadai CHADEMA haitajitoa kwenye uchaguzi kwasabubu mwaka 2019 CHADEMA haikushinda hata kitongoji kimoja,
Nakuunga mkono, huyo jamaa hana msaada kwa Chama. Halafu anapotosha anaposema 2019 CHADEMA haikushinda hata kitongoji kimoja wakati kule Wilayani Rungwe kuna Halmashauri mojawapo mkurugenzi wake aliondolewa baada ya CHADEMA kushinda kitongoji
 
Wewe ndo nani kwenye hicho chama.ulipaswa utambulike kwa jina ili tupime ushauri wako.isije kua ni mamluki ndani ya chama mnaotaka watu msio wataka waondoke ili mkizike chama.Unamwona mrema hafai uku hujaleta pendekezo lolote la unayemwona anafaa kwahiyo nafasi.Kuna watu mnajua sana kukosoa mitandaoni ila mkitakiwa kuonyesha mchango wowote hakuna au mkipewa nyie hizo nafasi unakuta ndo bure kabisa.Siku zote kuongea na kukosoa ni rahisi sana ikiwa jambo hulifanyi wewe.
 
Erythrocyte anafanya kazi kubwa Sana kwa CHADEMA. Anaweza kuwa Mwenezi mzuri sana.
Mrema ana cheo gani Chadema? Ukitutajia cheo chake ndio tunaweza kumjadili maana nahisi hata wewe hujui cheo cha Mrema.
 
Hii nafasi ya uenezi mimi kama mwanachamaa wa kawaida nishailamikia san.

Ulimwengu huu wa digital anatakiw kufanya zaidi ya anavyofanya......hana ubunifu wala hana self motivation.

Asante mkuu. Tuendelee kupiga kelele. Hii nafasi ndio yakuipa CHADEMA milage na engagement kwa vijana na wanawake
 
Nakuunga mkono, huyo jamaa hana msaada kwa Chama. Hala anapotosha anaposema 2019 CHADEMA haikushina wakati kule Wilayani Rungwe kuna Halmashauri mojawapo mkurugenzi wake aliondolewa baada ya cHADEMA kushinda kitongoji

Kweli mkuu. Jamaa Hana facts kabisa.
 
Wewe ndo nani kwenye hicho chama.ulipaswa utambulike kwa jina ili tupime ushauri wako.isije kua ni mamluki ndani ya chama mnaotaka watu msio wataka waondoke ili mkizike chama.Unamwona mrema hafai uku hujaleta pendekezo lolote la unayemwona anafaa kwahiyo nafasi.Kuna watu mnajua sana kukosoa mitandaoni ila mkitakiwa kuonyesha mchango wowote hakuna au mkipewa nyie hizo nafasi unakuta ndo bure kabisa.Siku zote kuongea na kukosoa ni rahisi sana ikiwa jambo hulifanyi wewe.

Punguza ujuaji. Tafuta thread zangu kuhusu CHADEMA na nimetoa ushauri mara ngapi. Juzi nimeshuri kuhusu kuanguka kwa RENAMO huko Msumbiji, nimetoa ushauri jinsi ya kushinda uchaguzi wa 2025 nk. Kasome nyuzi zangu hata 20 tu kuhusu CHADEMA halafu urudi kunihukumu.

Kuhusu nafasi ya Mrema Mimi sihitaji kabisa, ila naangalia maslahi ya chama. Huwezi kuhangaika na mshambuliaji ambaye hafungi. Mrema yupo kwenye hiyo nafasi kwa miaka zaidi ya 14, nikikuuliza ubunifu wowote alioufanya utanitajia ni upi? Hasa kwenye uenezi.

Pia nikushauri, chama kukubali kushauriwa , sio kila ushauri ni mamluki na pandikizi. Tupo CHADEMA milele.
 
Mrema ana cheo gani Chadema? Ukitutajia cheo chake ndio tunaweza kumjadili maana nahisi hata wewe hujui cheo cha Mrema.

Punguza ujinga. Kama huna la kuongea usipende mazoea. Stupid idiot.
 
Back
Top Bottom