Ni wakati wa kuondokana na John Mrema hapa CHADEMA

Ni wakati wa kuondokana na John Mrema hapa CHADEMA

Nilikuwa kumwambia kiongozi mmoja wa chadema kanda ya pwani, mashinji ataenda ccm wakati huo ni katibu mkuu pale cdm reason nakwambia huyu mashinji ana capability ndogo sasa kisiasa. Mbowe anapenda watu wenye uwezo mdogo km kigaila, salumu mwalimu na hata huyu mrema. Mbowe amefika mwisho.
 
c
Vijana wengi wanapenda mabadiliko, lakini kwa sasa wamekosa CHAMA sahihi , chadema sahihi kipotea, mpaka Mbowe aje atoke, kitu ambacho ni kigumu
Wewe unamtaka Mbowe atoke ili iweje? inakuuma nini, unataka wapewe uenyekiti sampuli ya akina Nassari, Mashinji , Katambi na Mwambe?
 
Naomba nitoe ushauri Kwa chama changu Cha CHADEMA, kwamba imefika wakati tuondokane na Business as usual. Kuna Afisa mmoja wa CHADEMA anaitwa John Mrema ambaye kwa ujumla anahusika na uenezi wa chama. Huyu jamaa kusema ukweli amepwaya Sana. Yani hiyo nafasi ni kama haimfai na ni kama amelazimisnwa kufanya. Amejifungia ndani Sana, Wala hatembei kukieneza chama. Na siku akitoka kuongea anaongea pumba.

Kwanini nasema hivyo, huyu Mrema anadai CHADEMA haitajitoa kwenye uchaguzi kwasabubu mwaka 2019 CHADEMA haikushinda hata kitongoji kimoja, hivyo mwaka huu hata CHADEMA ikishinda kitongoji kimoja itakuwa ni ushindi mkubwa. Najiuliza ya kwamba mwaka 2019 CHADEMA ilijitoa kwenye uchaguzi ule ila Leo Mrema anatudanganya kwamba CHADEMA walishiriki.

Nia aibu kwa CHADEMA kuwa na Mwenezi aliyezubaa Kama huyu, ni muda kutafuta Mwenezi atakaye saidia kuleta vijana kwenye chama na kuwavutia watu kusikiliza hoja na matamko ya CHADEMA.
Hicho chama hakina code ya alizeti
 
Kaa kimya wewe. Acha kuingilia mambo ya familia za watu. Kama humtaki Mrema hamia CHAUSTA.

Punguza ushoga. Familia unaijua au unajibaraguza. Mimi naongelea chama unaniletea mambo ya kuleta watoto na familia very stupid idiot.
 
c
Vijana wengi wanapenda mabadiliko, lakini kwa sasa wamekosa CHAMA sahihi , chadema sahihi kipotea, mpaka Mbowe aje atoke, kitu ambacho ni kigumu

Mbowe anakipoteza chama kabisa. Nadhani anataka akimalize ndio aondoke. Ipo siku tutafanya mapinduzi CHADEMA ili waache ujinga.
 
Wewe unamtaka Mbowe atoke ili iweje? inakuuma nini, unataka wapewe uenyekiti sampuli ya akina Nassari, Mashinji , Katambi na Mwambe?

Mbowe atoke maana uwezo wake umefikia mwisho Hana mbinu mpya kabisa, akisaidiwa na akina Mrema waliochoka
 
Naomba nitoe ushauri Kwa chama changu Cha CHADEMA, kwamba imefika wakati tuondokane na Business as usual. Kuna Afisa mmoja wa CHADEMA anaitwa John Mrema ambaye kwa ujumla anahusika na uenezi wa chama. Huyu jamaa kusema ukweli amepwaya Sana. Yani hiyo nafasi ni kama haimfai na ni kama amelazimisnwa kufanya. Amejifungia ndani Sana, Wala hatembei kukieneza chama. Na siku akitoka kuongea anaongea pumba.

Kwanini nasema hivyo, huyu Mrema anadai CHADEMA haitajitoa kwenye uchaguzi kwasabubu mwaka 2019 CHADEMA haikushinda hata kitongoji kimoja, hivyo mwaka huu hata CHADEMA ikishinda kitongoji kimoja itakuwa ni ushindi mkubwa. Najiuliza ya kwamba mwaka 2019 CHADEMA ilijitoa kwenye uchaguzi ule ila Leo Mrema anatudanganya kwamba CHADEMA walishiriki.

Nia aibu kwa CHADEMA kuwa na Mwenezi aliyezubaa Kama huyu, ni muda kutafuta Mwenezi atakaye saidia kuleta vijana kwenye chama na kuwavutia watu kusikiliza hoja na matamko ya CHADEMA.
Hii nafasi jamaa aone aibu ajitoe tu wala asisubiri kutolewa.

Sijawahi kuona anachofanya.
 
Mbowe atoke maana uwezo wake umefikia mwisho Hana mbinu mpya kabisa, akisaidiwa na akina Mrema waliochoka
Hii nafasi ya uenezi mimi kama mwanachamaa wa kawaida nishailamikia san.

Ulimwengu huu wa digital anatakiw kufanya zaidi ya anavyofanya......hana ubunifu wala hana self motivation.
 
Nadhani kuna namna viongozi wa chadema wananufaika na drama zinazofanywa na ccm ktk uchaguzi. Bila hivyo tusingesikia ama kuona kauli kama hizi zikitolewa na viongozi wa chama.

Watu wanapoteza rasilimali fedha na mida halafu wanakatwa, lkn anatokea kiongozi anaongea maneno ya kuudhi kama haya?

Kwakweli amekera Sana. Anasema kwa kujiamini kwamba CHADEMA hakuna msamiati wa kujitoa. Hawa Viongozi wanafanya mambo ya aibu Sana. Kuna uoga gani kusema tunajitoa hatutashiriki? Uoga unatoka wapi?.
 
Chadema imeshajikatia tamaa

Hapana. Viongozi ndio wanatuangusha. Niliwapa ushauri Kwa kutumia chama Cha RENAMO ila wanepuuzia. Wanalazimsha kushiriki uchaguzi haramu halafu kesho waanze ktupigia kelele tu.eibiwa kura.
 
Back
Top Bottom