Ni wakati wa kuondokana na John Mrema hapa CHADEMA

Huyo ni msemaji wa mwenyekiti
 
c
Vijana wengi wanapenda mabadiliko, lakini kwa sasa wamekosa CHAMA sahihi , chadema sahihi kipotea, mpaka Mbowe aje atoke, kitu ambacho ni kigumu
Chama sahihi kipi,hata kikija kipya kitapwaya hivyo hivyo hadi pale itakapo tenganishwa chama na serikali.
 
Do you still believe that we have real oppositions......in TZ!?
 
amepwaya na alikuwa instrument ya DJ mbowe. pia ni mlevi, ndio yule alipiga ulabu na sugu mbeya hadi saa sita za usiku wakati wa uchaguzi wa nyasa. fukuzia mbali huko.
 
Uliona mbali sana Masta, leo Mrema karudi kwa Agustino wake...
 
Chadema inabidi wasuke mambo yao yakae Sawa kwa haraka wanze kuingiza sera zao kwa wananchi watu wanakata tamaa na CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…