Ni wakati wa kutoa ultimatum kwa watawala, bila Katiba Mpya ya wananchi hakuna uchaguzi

Ni wakati wa kutoa ultimatum kwa watawala, bila Katiba Mpya ya wananchi hakuna uchaguzi

EeeenHeeeee!

Niongeze kwamba:

Hiyo ndiyo Demokrasia sahihi.

Mkuu 'denoo J', bila ya kutaka kuingia kwenye malumbano hapa kwenye mada hii, niseme kwamba hicho kinachopingwa, kinachofanywa na CCM siyo Demokrasia hiyo, au unaonaje?
Kukipinga kisicho halali kwa njia yoyote ile haiwezekani njia hiyo ikawa haram na hicho kinachopingwa kikawa halali.

Hili ninaliachia hapa, mkuu wangu. Silijadili tena zaidi ya hapa.
Sijui hasa kwanini umeamua kuufunga huu mjadala hapa, japo hapo chini tena nakuona ukarudi na mchango mwingine, unarukia vitu nusu nusu tu!.

Nikikusoma between the lines, nakuona kama uli- jump kwenye huu mjadala comment yako # 89 ili univizie, sijui lengo lako ndio ili kutafuta ushindi au vipi, ila kama ni ushindi, basi uchukue!.
 
Utauliwa kwenye mitandao kwa hizi fake I'd. Ingekuwa ni verified user hapo sawa. Kwa hizi fake I'd unajua ni nani?

Sisi ndio tunaona kama fake id but admin wa jf anajua mpaka IP address yako,

So ishu ya kupatiakana au kujulikana ni Jambo easy Sana

Na jf sio salama Sana Kwa 100%

Mimi Nina mfano Hi, kuna mtu nilikuwa nachat nae pm na Hana contact yangu


But alikuwa ananiambia location yangu, Yan zaidi ya mara mbili amenambia na alipatia kabisa
 
Kama wananchi wanataka kuna haja gani ya kuwahamasisha tena.
Wanapewa elimu ili kuondoa ule upotoshaji wanaoletewa na chama cha majizi ya kura kuwa katiba haileti ugali mezani. Na elimu haina mwisho.
 
Sisi ndio tunaona kama fake id but admin wa jf anajua mpaka IP address yako,

So ishu ya kupatiakana au kujulikana ni Jambo easy Sana

Na jf sio salama Sana Kwa 100%

Mimi Nina mfano Hi, kuna mtu nilikuwa nachat nae pm na Hana contact yangu


But alikuwa ananiambia location yangu, Yan zaidi ya mara mbili amenambia na alipatia kabisa

Umesoma privacy policy ya jf au ulivamia tu? Location yako inafahamika kama umeturn On. Mwanzo ilikuwa mods wanaona details za users, lakini kutokana na baadhi ya mods wasiokuwa waadilifu kuvujisha details za users, ilibidi waondoe uwezo wa mods kuona details, na Maxence Melo alikuja na kuweka sawa hilo. Hata hivyo hakuna kitu chenye usalama wa 100% dunia hii.
 
Kama wananchi wanataka kuna haja gani ya kuwahamasisha tena?
Hivi wakati Mwalimu anatafuta uhuru wa Tanganyika, wananchi walikuwa wanataka uhuru au hawakuwa wanautaka? Kama walikuwa wanautaka, kwa nini Mwalimu na viongozi wengine wa TANU walizunguka nchi nzima na kufanya mikutano?
 
Umesoma privacy policy ya jf au ulivamia tu? Location yako inafahamika kama umeturn On. Mwanzo ilikuwa mods wanaona details za users, lakini kutokana na baadhi ya mods wasiokuwa waadilifu kuvujisha details za users, ilibidi waondoe uwezo wa mods kuona details, na Maxence Melo alikuja na kuweka sawa hilo. Hata hivyo hakuna kitu chenye usalama wa 100% dunia hii.

Oh so wewe hapo unaweza kuona location yangu?
 
Oh so wewe hapo unaweza kuona location yangu?
Mimi sio hacker, na wala sihitaji kujua location za users humu ndani. Ingia kwenye settings chagua unataka kipi kionekane na watumiaji wengine.
 
Mimi sio hacker, na wala sihitaji kujua location za users humu ndani. Ingia kwenye settings chagua unataka kipi kionekane na watumiaji wengine.

Thank you, Una madini mengi Sana, shida yako ni moja Tu humtaki mbowe ha ha ha 😂 joking
 
Thank you, Una madini mengi Sana, shida yako ni moja Tu humtaki mbowe ha ha ha 😂 joking
Wapi simtaki Mbowe, nasema hastahili kuendelea kuwa mwenyekiti wa CDM kwa sasa. Hiyo ndiyo kutomtaka?
 
Wapi simtaki Mbowe, nasema hastahili kuendelea kuwa mwenyekiti wa CDM kwa sasa. Hiyo ndiyo kutomtaka?

Ha ha ha sasa yy si ndio gem changer mpaka maridhiano yamepatikana
 
Unauliza au unapigia jibu mstari?

Nakuuliza

Inshort ww jamaa Una hoja Sana, unajua siasa but changamoto ni kwamba hoja zako utekelezwaji wake utakuwa mgumu Sana
 
Nakuuliza

Inshort ww jamaa Una hoja Sana, unajua siasa but changamoto ni kwamba hoja zako utekelezwaji wake utakuwa mgumu Sana

Nothing is impossible in this world.
 
Back
Top Bottom