Uondoe wachezaji wanacheza nafasi moja kwa wakati moja? replacement yao iki fail unafanyaje?Binafsi naona atoke
1: skudu
2: lomalisa
Kwa wazawa waanze na kibabage, dogo sijui kwann anapata namba lakini hafai kabisa
Abakie mmoja tu kati ya Musonda, Guede na Mzize. Yanga watafute mshambuliaji wa kueleweka, kuna mechi tulipoteza kutokana na ushambuliaji kuwa nyoro nyoro.Yanga inapaswa kufikiria kuachana na Kennedy Musonda.
Tokea aje hapa nchini, Musonda hajatoa kile kilichotegemewa kwa 100%. Ni mchezaji mzuri sana, lakini yapo yanayofikirisha juu yake.
Musonda hana muendelezo mzuri. Ni michezo michache sana amecheza kwa kiwango cha juu, iliyosalia anakuwa wa kawaida tu au kushindwa kutoa kitu chenye tija.
Nadhani, Yanga SC inapaswa kufikiria kumleta mchezaji bora zaidi yake. Ili timu kama timu ipige hatua kwenda mbele. Sio dhambi. Al Ahly iliwasajili Ahmed Kendouci, Walter Bwalya, na wakawaondoa haraka.. baada ya kuonekana hawaisaidii timu kwenda mbele zaidi.
Yanga SC wanapaswa waangalie mchezaji bora zaidi ya Musonda. Ili aje akisogeze mbele kikosi kutoka hapa kilipo na kuwa tishio zaidi hapa AFRIKA.
Lomalisa hapanaBinafsi naona atoke
1: skudu
2: lomalisa
Kwa wazawa waanze na kibabage, dogo sijui kwann anapata namba lakini hafai kabisa
Lomalisa ni mchezaji mzuri sana, Kibabage zaidi ya mbio hana akili za mpira. Kuna mechi anakuwa uchochoro sana, kwani zaidi ya kupanda kushambulia hana uwezo wa kukaba.Binafsi naona atoke
1: skudu
2: lomalisa
Kwa wazawa waanze na kibabage, dogo sijui kwann anapata namba lakini hafai kabisa
Hapo kwa kibabage sikuungi mkono. Dogo anaupiga mwingi.Binafsi naona atoke
1: skudu
2: lomalisa
Kwa wazawa waanze na kibabage, dogo sijui kwann anapata namba lakini hafai kabisa
Fani yako sio mpira aisee hakuna kitu unajua...Binafsi naona atoke
1: skudu
2: lomalisa
Kwa wazawa waanze na kibabage, dogo sijui kwann anapata namba lakini hafai kabisa
Umegusa napopataka pia ongeza Guede na Musonda...Binafsi naona atoke
1: skudu
2: lomalisa
Kwa wazawa waanze na kibabage, dogo sijui kwann anapata namba lakini hafai kabisa
Kibabage kwenye defense akili Hana kabisa, Jana kibu angehamia namba 7 Kule alivyoingia kibabage tungepata shida sana, kampa kazi sana Ibrahim bacca, maana dogo hajui tofauti kati ya namba 3 na 11 Kila saa alikua out of position ashukuru maxi defensively anajua sana kumsaidia left backHapo kwa kibabage sikuungi mkono. Dogo anaupiga mwingi.
Wanga wabaya sabaWanga mmeingia kazini sasa