Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Keep on evaluatingkweli eeeh...Tunaoevaluate failure zake ni sisi wanachadema sio nyie ccm
Waswahili tunausemi usemao "UKIVULIWA NGUO CHUTAMAA" na ndiyo busara. CDM kubalini tu kuwa kamati kuu yenu chini ya mbowe haikuwa na nia ya dhati kujenga chama halisi cha upinzani. MASILAHI BINAFSI YALITAWALAkweli eeeh...Tunaoevaluate failure zake ni sisi wanachadema sio nyie ccm
A prophetic piece.Kushika majiji yote ilikuwa ni "pi" kwa kuwa kazi kubwa sana ilifanywa na Slaa na wanachadema asilia.2015 ilikuwa ni zaidi ya majiji kama ushauri wa Slaa ungefuatwa.
Opportunity iliyopotea 2015 inabadilika na kuwa kaburi la Chadema.
AminaMpaka sasa Chadema wapo katika njia sahihi, hakujawahi kuwa na chadema yenye utulivu na nguvu kubwa kuliko hii ya sasa, huo ushauri wenu mpelekeeni mwenyekiti wa ccm
Maneno kuntu yanayoishi!Fair meningitis!
Meningitis iliyoboreshwa, isiyoweza kuua.
Mstari kwa mstari hadi mwisho ni madini tupu bila makinikia.
Sasa atakayekuchongolea mdomo kwa hili, muwekee "star" na "kumnote" ili baadaye asije akatusumbua kujikosha.
Maneno yote uliyoongea ni sahihi 100%, sichangii kurekebisha neno lolote miye.
Ni ukweli unaojidhihirishaKiukweli bila kipepesa chadema hamna kitu
Hahahaaaaaa Chadema mwendo mdundo.....Pamoja na mapungufu ya Mbowe, Slaa is worse. Mtu ambaye alinunulika cheaply anapooneka ni mtu wa maana, it makes me feel like vomiting.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana laana haitawaacha salamaMwambieni babu mihogo arejeshe zile dola milion 2 alizopewa na CCM.
Yaonekana wanamwonea huruma. Mliishamlipia nyumba aloingizwa mjini na Jose sasa cha kumsaidia, SI mumtafutie nafasi huko. Awe msaidizi wa Mpolampola au mpelekeni idara ya Tambwe Hiza. Kumrudisha kama Propesa Lipumba, kwa CDM haitowezekana.
Dr. Slaa ana Grace Mugabe wake. Muachane apumzike kutoka alipokua hadi kuuza duka canada si jambo dogo
Wanywa Konyagi tena?!Indeed, Leo tunamuona muuza duka na wanywa konyagi.