Ni wakati wa wanafunzi kujifunza kuhusu Yanga mashuleni kama somo

Ni wakati wa wanafunzi kujifunza kuhusu Yanga mashuleni kama somo

Labda kama hujasomea ualimu wa masomo ya sanaa ila tuliosomea history tunafundishwa contribution ya yanga to the independence
Daaaah nmewah isikia hyo mkuu....kumbe ni kweli?
 
Uko sahihi mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila MWAKASIMBA waliovumbiwa MCHELE na VIAZI Mbeya watakuja kukunanga bunbaav zao
Kwel mkuu
FB_IMG_16424858210226631.jpg
 
Salaaaam wana JF......

Nimekua kwenye tafakuri nzito ndani ya wiki hii kwenye suala la michezo ambayo kwa kiasi kikubwa inazidi kuteka hisia duniani na kufanikiwa kuiangusha tasnia ya muziki.

Ili kuleta maendeleo makubwa kwenye tasnia ya michezo ni lazima serikali kufanya mapinduzi makubwa kwenye mitaala ya elimu ambapo somo la YANGA lazima lianzishwe kwa faida zifuatazwo;

1. Somo la YANGA lita inspire wanafunzi wengi kupenda soka na kupunguza uhaba wa vijana wasio na ajira

2..Litafanikiwa kuijenga timu ya taifa kutokana na kuiga timu ya YANGA inavyocheza kwa nidhamu bila kutegemea kadi nyekundu waka penalt

Ongezea sababu zingine ....why YANGA ianze kufundishwa mshulen Kama somo

GENTAMYCINE
ChamasonMorisonBwalyason
Scars


View attachment 2085915

okwi boban sunzu

NAWATAFUNA
Nitakujibu pale tu Hasira zangu dhidi ya Kipigo cha Mbeya Jana, Kocha Pablo, Mshambuliaji Mugalu na Nahodha Boko.

Nahisi GENTAMYCINE ningekuwepo Sokoine Stadium jana kuna Watu Watatu Mmoja wa Benchi la Ufundi, Mmoja Kiongozi wa Simba SC na wa mwisho ni Mchezaji ( tena Mgeni ) wa Simba SC ningewapiga sana Vichwa vyangu vya 'Kondoo' na hata Kuwavunja kabisa Meno yao ya Sebuleni ( ya mbele ) kwani ni Madunduna ( Wajinga ) mno.
 
Timu figisu tushaingia Moro, kuwapa motisha Mtibwa Sugar tumewaambia "tunataka kazi nzuri kama iliyofanywa na Mbeya city" na tumewaahidi milioni 50 za kifutia jasho endapo watamkung'uta tena Kolos FC..
Target yetu Yanga tumalize hili ligi mapema kabla ya mwezi wa 5 Kama inavyojulikana
 
Nitakujibu pale tu Hasira zangu dhidi ya Kipigo cha Mbeya Jana, Kocha Pablo, Mshambuliaji Mugalu na Nahodha Boko.

Nahisi GENTAMYCINE ningekuwepo Sokoine Stadium jana kuna Watu Watatu Mmoja wa Benchi la Ufundi, Mmoja Kiongozi wa Simba SC na wa mwisho ni Mchezaji ( tena Mgeni ) wa Simba SC ningewapiga sana Vichwa vyangu vya 'Kondoo' na hata Kuwavunja kabisa Meno yao ya Sebuleni ( ya mbele ) kwani ni Madunduna ( Wajinga ) mno.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pole Sana mkuu.....mpira sio vita
 
Timu figisu tushaingia Moro, kuwapa motisha Mtibwa Sugar tumewaambia "tunataka kazi nzuri kama iliyofanywa na Mbeya city" na tumewaahidi milioni 50 za kifutia jasho endapo watamkung'uta tena Kolos FC..
Target yetu Yanga tumalize hili ligi mapema kabla ya mwezi wa 5 Kama inavyojulikana
Kabisa mkuu....mtibwa now wapo vzr .....mech iliyopita wameshinda
 
Pale kwenye stori za pilika za kuikomboa nchi kutoka kwa waingereza 61- huko waiorodheshe na Yanga kama ndo timu pekee ya mpira kwenye nchi hii iliyoshiriki izo pilika kikamilifu kabisa mpk tukakomboka
Duuuh Koo kumbe jina la WANANCHI ....halikuja kwa bahati mbaya
 
Salaaaam wana JF,

Nimekua kwenye tafakuri nzito ndani ya wiki hii kwenye suala la michezo ambayo kwa kiasi kikubwa inazidi kuteka hisia duniani na kufanikiwa kuiangusha tasnia ya muziki.

Ili kuleta maendeleo makubwa kwenye tasnia ya michezo ni lazima serikali kufanya mapinduzi makubwa kwenye mitaala ya elimu ambapo somo la YANGA lazima lianzishwe kwa faida zifuatazwo;

1. Somo la YANGA lita inspire wanafunzi wengi kupenda soka na kupunguza uhaba wa vijana wasio na ajira

2. Litafanikiwa kuijenga timu ya taifa kutokana na kuiga timu ya YANGA inavyocheza kwa nidhamu bila kutegemea kadi nyekundu waka penalt

Ongezea sababu zingine why YANGA ianze kufundishwa mshulen kama somo

GENTAMYCINE
ChamasonMorisonBwalyason
Scars


View attachment 2085915

okwi boban sunzu

NAWATAFUNA
hoja imepita
 
Back
Top Bottom