Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Yanga ndo mlikofika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wamevaa jezi gani mtani wanguAbsolutely..........ili kuthibitisha ili nazani umeona clip inayoonesha Sakho .....na boko wanacheza MAYELE STLYE [emoji23][emoji23]
Sisi tuna Mtu "Ushindi" acha kabisa chama kafulia huyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko kila team inayokutan na simba nyie mnaipa motisha? Kazi mnayo bas khaaaahTimu figisu tushaingia Moro, kuwapa motisha Mtibwa Sugar tumewaambia "tunataka kazi nzuri kama iliyofanywa na Mbeya city" na tumewaahidi milioni 50 za kifutia jasho endapo watamkung'uta tena Kolos FC..
Target yetu Yanga tumalize hili ligi mapema kabla ya mwezi wa 5 Kama inavyojulikana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aliyewaita utopolo hakukosea