Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa mkuuDaaaah nmewah isikia hyo mkuu....kumbe ni kweli?
Acheni uzuzu. Yaani watoto wetu wajifunze tabia za ukabwili na umama j mashuleni? Hii nchi ni ngumu Sana.Salaaaam wana JF,
Nimekua kwenye tafakuri nzito ndani ya wiki hii kwenye suala la michezo ambayo kwa kiasi kikubwa inazidi kuteka hisia duniani na kufanikiwa kuiangusha tasnia ya muziki.
Ili kuleta maendeleo makubwa kwenye tasnia ya michezo ni lazima serikali kufanya mapinduzi makubwa kwenye mitaala ya elimu ambapo somo la YANGA lazima lianzishwe kwa faida zifuatazwo;
1. Somo la YANGA lita inspire wanafunzi wengi kupenda soka na kupunguza uhaba wa vijana wasio na ajira
2. Litafanikiwa kuijenga timu ya taifa kutokana na kuiga timu ya YANGA inavyocheza kwa nidhamu bila kutegemea kadi nyekundu waka penalt
Ongezea sababu zingine why YANGA ianze kufundishwa mshulen kama somo
GENTAMYCINE
ChamasonMorisonBwalyason
Scars
View attachment 2085915
okwi boban sunzu
NAWATAFUNA
Daaaah nmepata jbu mkuuKweli kabisa mkuu
Mfano unapasikiaga kwa Aziz Ally
Uyo ni mtanzania wa kwanza kumiliki gari ndiyo akawapa kina nyerere kufanyia kampeni.
Babu yake Dully Sykes Ally sykes mkuu wa mkoa wa Kwanza wa Dares salamm ndiyo mtanzania wa kwanza kuanzisha membership card za card za vyama
Yanga team ya kwanza ya mpira kuanzishwa na ina background na uhuru that's why wanajiita WANANCHI
Kama baba yako leo amekuwa mtoto sawa,Akili za kitoto
Tatizo MWIKO.Ninayo mengi mkuu.....but pia napenda maendeleo ya soka
Mayele ntu nbad sana. Anatisha, ni kama mmaNimeona hadi Sakho na boko .....wanaitumia kwnye mazoez [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]