Ile company nilikuwa Kabudi, Chamuhiro, Bashiru, Polepole, Lukuvi, Ndugai, Majaliwa , na Kalemani ...Nimejikuta namkumbuka Spika Ndugai.
Jamaa alikuwa hamkubali Rais Mwanamke. Akaja kuliwa kichwa
a.ka. mjamaa😁Mhishiwa DK Bashiru Alli Kakurwa
Kwani waliachia ? 😂😂😂😂Sukuma gang hawakupenda kuachia urais kilaini
Nyie ikiletwa hoja ambayo hamtaki kuijadili au inawagusa huwa mnaingiza Chama letu la Chadema. AibuChadema sijui wakoje
Umeuliza swali la msingi sana.Katiba inasemaje, walipompitisha kuwa mgombea mwenza hawakujua kuwa raisi anaweza kufa akiwa madarakani.
K nyama wanakaa walinzi hapo.Huu ni uwongo wa Pro max. Na ukiendelea ntawatuma vijana wangu Rama na Frenk wakufuate wakulete hapa K/nyama utuelezee vizuri usoni.
Waliachia kwa nguvu. Tumshukuru sana CDFKwani waliachia ? 😂😂😂😂
Mashujaa wa Taifa,hata mi ningekuwa kwenye jopo la madaktari ningekata umemeKama ukisikiliza kwa makini maneno ya mstaafu CDF ...
Kuna ujumbe anataka kutuambia yaani anadai walimuongeza prof.dr mwingine ili asaidie matibabu na kwamba muda wote alikuwepo prof.JANABI..
sasa hoja IPO hapo kwamba janabi alikuwepo muda wote na JPM(Kwamba ameshiriki assassination!???)
Kiuhalisia Hiyo nafasi ilikuwa kubwa sana kwa Samia ukizingatia ndo ilikuwa mara ya kwanza kuwa na Rais Asiyechaguliwa na wananchi wala Bunge..
Hivyo iliwawia Vigumu kukubali kwa sababu waliamini lazima tu ataharibu
SawA mkuu nimekusoma vizur kabisaJaji mkuu ni mtu wa mbali sana kushika Nchi mkuu..
Na sidhani kama anaweza kushika kwa umbali alionao..
Yaani Asiwepo VP,Asiwepo PM,Asiwepo KM ,Asiwepo Spika, Ni ngumu sana
Comment ya kijinga kuliko zote hii. Kwahiyo wakati wanamteua Samia kuwa Makamu hawakujua kuwa kikatiba makamu ni mtu mwenye majukumu gani kikatiba?Kiuhalisia Hiyo nafasi ilikuwa kubwa sana kwa Samia ukizingatia ndo ilikuwa mara ya kwanza kuwa na Rais Asiyechaguliwa na wananchi wala Bunge..
Hivyo iliwawia Vigumu kukubali kwa sababu waliamini lazima tu ataharibu
Na kama Magufuli ndio angekuwa makamu na Samia Rais, baada ya kuapishwa hao wote waliotaka kuingiza nchi kwenye historia ya keep shetani wangekuwa hawapo dunianiMbona ipo wazi kabisa; hao watu ni waliokuwa na taarifa za kifo sababu wasingeweza kushauri kama hawana taarifa za kifo.
Swali ni je, walishauri swala hilo kabla ya mama kupata taarifa za kifo au baada ya mama kupata taarifa za kifo.
Uchu, ubinafsi na tamaa za madaraka ni vitu vibaya sana. Vinauwezo wa kuliangusha taifa lolote duniani.
Prof. Shivji aliandika makala akasema kama sio yule mwenye nguvu ya juu kusema Katiba ifuatwe basi tulikuwa tunaangukia mtego mbaya kama taifa.
Sasa ni wazi kuwa hayakuwa propaganda bali mambo ya kweli. Ashukuriwe sana Gen. Mabeyo kwa utumishi na uzalendo wake.
✅Ile company nilikuwa Kabudi, Chamuhiro, Bashiru, Polepole, Lukuvi, Ndugai, Majaliwa , na Kalemani ...
Wakakutana na mziki wa watu watatu tuu ... General Mwamunyange, CDF Mabeyo na Jakaya Kikwete ...
Sio sababu ya kutofuata katiba, alikuwa makamu wa raisi una maana gani ilikuwa nafasi kubwa, dharau za kishamba sanaKiuhalisia Hiyo nafasi ilikuwa kubwa sana kwa Samia ukizingatia ndo ilikuwa mara ya kwanza kuwa na Rais Asiyechaguliwa na wananchi wala Bunge..
Hivyo iliwawia Vigumu kukubali kwa sababu waliamini lazima tu ataharibu